Rayno
New Member
- Apr 26, 2025
- 1
- 0
Kukuwa kwa tasnia ya bongo move sio jambo lakumtegemea mtu au taasisi ni kutumiya akili tuu.
Sasa hivi watu wanaotumika kweny uigizaji ni wale waliokwisha kuwa maarufu kwenye mitandao ya kijamii na kusahau kumbe kuna Watu wenye vipaji wanaoweza kuinua tasnia hii wako mtaani, na wengin ndo sisi ambao tunatafuta nafasi za kuonyesha tulichonacho bila kupata mafanikio.
Sasa hivi watu wanaotumika kweny uigizaji ni wale waliokwisha kuwa maarufu kwenye mitandao ya kijamii na kusahau kumbe kuna Watu wenye vipaji wanaoweza kuinua tasnia hii wako mtaani, na wengin ndo sisi ambao tunatafuta nafasi za kuonyesha tulichonacho bila kupata mafanikio.