DERRO G
New Member
- Jul 26, 2022
- 3
- 3
Kutengeneza mobile au web application haitofautiani sana na ukandarasi wa majengo, kwamba kabla Engineer hajanyanyua mjengo ni lazima awe na design au ramani ya jengo, kutoka kwa Architect.
Ndivyo ilivyo kwa application development, UI/UX Designers ndio wanaotengeneza muonekanao wa hiyo app kabla ya kutengenezwa na kuipa muonekano halisi ndipo programmer aanze kufanya mambo yake sasa. Kwa hapa Tanzania ni watu wachache sana ndio tunaujuzi huo, maana kazi nyingi tunazofanya ni za kutoka njee ya Tz, bado wabongo wanachukulia vitu poa sana. Ngoja nionyeshe sample zangu kwanza. Pia unaweza nicheki 0657257607 kwa msaada zaidiView attachment 2864259View attachment 2864258View attachment 2864260View attachment 2864261
Ndivyo ilivyo kwa application development, UI/UX Designers ndio wanaotengeneza muonekanao wa hiyo app kabla ya kutengenezwa na kuipa muonekano halisi ndipo programmer aanze kufanya mambo yake sasa. Kwa hapa Tanzania ni watu wachache sana ndio tunaujuzi huo, maana kazi nyingi tunazofanya ni za kutoka njee ya Tz, bado wabongo wanachukulia vitu poa sana. Ngoja nionyeshe sample zangu kwanza. Pia unaweza nicheki 0657257607 kwa msaada zaidiView attachment 2864259View attachment 2864258View attachment 2864260View attachment 2864261