tumeskia ktk vyombo vya habari kuwa lowasa anakubalika kwa asilimia kubwa. Ila napata ukakasi ktk hili swala zito la richmond lililomtoa madarakani, moja ya swala tunalotaka rais ajaye awe nalo ni pamoja na uadilifu. Pamoja na kwamba ktk mawaziri wakuu naweza sema wote lowasa alionekana kuwa mtendaji (na wote tumelishuhudia hilo) je hili la richmond limekaaje?