Habari za muda huu wana jf? Swali langu linawahusu wote ila hasa Wanaume, ivi ni kwanini wanaume wanapenda kusalimia kwa kumpa mkono mwanamke? Na je kuna uhusiano gani kati ya Mapenzi na UGUMU ama ULAINI wa mikono ya Mwanamke? Tueleweshane, Tusishambuliane kwa maneno. Thanx..