Hata kuingia tumboni kwa mama,mara nyingi binadamu huingizwa tumboni usiku.Wakuu, amani iwe kwenu.
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza nimekuwa nikijiuliza ni kwanini watu wengi hasa wagonjwa waliolazwa mahospitalini hufariki usiku na sio mchana?
Karibuni tushirikishane mawazo.
Na kugegedana mara nyingi ni usiku.Nami niongezee hapo,ni mara nyingi pia wanawake hujifungua usiku.
Hodi=wodindo mida ya kazi ya wanga..
maana wengine huwa hawaumwi kawaida
wanakua wamerogwa
mimi rafiki yangu aliugua akawa anakimbizana na wanga usiku mzima
wakampeleka kwa hodi ya vichaa!
kwaninhii mada naogopa kuchangia!
Hata kuingia tumboni kwa mama,mara nyingi binadamu huingizwa tumboni usiku.
asantenaogopa kifokwanin
utak namimi nijue? nano anaeweza kukuua?naogopa kifo