mr vata
JF-Expert Member
- Jan 30, 2017
- 462
- 605
Sio kwamba nataka uhusiano usio na dosari, nafahamu kuwa hilo haliwezekani. Nataka mtu ninayeweza kumuamini na ambaye hatakua akinidanganya kimwili au kihisia.
Kila mtu anahitaji mtu ambaye anampenda kabisa na ambaye hatacheza mchezo na moyo wake.
Mwisho kabisa, mimi ni muumini thabiti kwamba linapokuja suala la uhusiano, kubaki muaminifu sio chaguo bali ni kipaumbele.... Uaminifu unamaanisha ulimwengu!
Kila mtu anahitaji mtu ambaye anampenda kabisa na ambaye hatacheza mchezo na moyo wake.
Mwisho kabisa, mimi ni muumini thabiti kwamba linapokuja suala la uhusiano, kubaki muaminifu sio chaguo bali ni kipaumbele.... Uaminifu unamaanisha ulimwengu!