Salaam wanajamvi. Kama kawaida yangu nikitingwa na jambo nakimbilia Great Thinkers!
Nimekuwa nikisoma malalamiko mengi humu jamvini kuhusu kuvunjika kwa mahusiano baina ya wapenzi au wanandowa. Nami nimekuwa nikijiuliza hivyo mwanamme analalamika nini iwapo mwanamke kwa hiari yake anaamuwa kuvunja uhusiano? Pengine mtizamo wangu sio sahihi hivyo naomba mawanzo ya jamvi kuhusu hili.Uhusiano unapovunjika nani hasa mwenye hasara zaidi?
Nimekuwa nikisoma malalamiko mengi humu jamvini kuhusu kuvunjika kwa mahusiano baina ya wapenzi au wanandowa. Nami nimekuwa nikijiuliza hivyo mwanamme analalamika nini iwapo mwanamke kwa hiari yake anaamuwa kuvunja uhusiano? Pengine mtizamo wangu sio sahihi hivyo naomba mawanzo ya jamvi kuhusu hili.Uhusiano unapovunjika nani hasa mwenye hasara zaidi?