mimiamadiwenani
JF-Expert Member
- Mar 9, 2022
- 5,411
- 7,016
Kwema ndugu zangu? Mimi ndugu yenu nina shida ya hasira sana. Na hivi karibuni tatizo langu limezidi.
Leo ilitokea nilipata hasira sana baada ya kuudhiwa sana, mpaka nywele zikasimama na macho yangu yalikuwa na rangi nyekundu. Ili kutuliza hasira ikabidi nile nyama mbichi.
Nikafanya kila njia ili zipungue ila haikuwezekana. Kulikuwa na steak nusu kilo kwenye fridge.
Ikabidi nichukue nitafune yote pamoja na damu, huku ikiwa bado mbichi kabisa. Hapo angalau hasira zikapoa.
Siyo leo tu, hata siku za nyuma huwa nanunua nyama mbichi na kuiweka frijini. Nikiudhiwa na mtu kosa kubwa, hasira namalizia kwenye kula nyama mbichi frijini.
I'm quitely scared. Naombeni ufafanuzi wataalamu! Ahsanteni.
Leo ilitokea nilipata hasira sana baada ya kuudhiwa sana, mpaka nywele zikasimama na macho yangu yalikuwa na rangi nyekundu. Ili kutuliza hasira ikabidi nile nyama mbichi.
Nikafanya kila njia ili zipungue ila haikuwezekana. Kulikuwa na steak nusu kilo kwenye fridge.
Ikabidi nichukue nitafune yote pamoja na damu, huku ikiwa bado mbichi kabisa. Hapo angalau hasira zikapoa.
Siyo leo tu, hata siku za nyuma huwa nanunua nyama mbichi na kuiweka frijini. Nikiudhiwa na mtu kosa kubwa, hasira namalizia kwenye kula nyama mbichi frijini.
I'm quitely scared. Naombeni ufafanuzi wataalamu! Ahsanteni.