Si mwanaume au mwanamke mara pua zikipitisha hewa yenye perfume (harufu) mbaya wengi hutema mate. Kwa wajawazito huhusiana na ishu za hormone, je kwa wengine ambao sio waja wazito hua mnatema mate kupunguza harufu au ni imani tu?
Kwa asili harufu ni kemikali katika kiwango cha chini inayopenya kwenye mlango wa fahamu(pua) na kuamsha hisia mwilini.....kutema ama kumeza mate ni response ya mwili inayotokana na aina ya harufu (kemikali) iliyovutwa kama ni mbaya ama yenye kuvutia.
Kwa kifupi ndo hivi nijuavyo