Jerrymsigwa
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 14,069
- 8,326
Si mwanaume au mwanamke mara pua zikipitisha hewa yenye perfume (harufu) mbaya wengi hutema mate. Kwa wajawazito huhusiana na ishu za hormone, je kwa wengine ambao sio waja wazito hua mnatema mate kupunguza harufu au ni imani tu?
Wajuzi mje mtujuze
Wajuzi mje mtujuze