Josey j
JF-Expert Member
- May 26, 2017
- 466
- 902
Wasalam ndugu zangu wa JF natumai mko na afya njema kabisa , na wale ambao hawako vizuri Mwenyezi Mungu awatie Nguvu na awafanyie wepesi mrudi kwenye Afya Imara.
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza,
Nauliza hivi kuna uhusiano gani kati ya harufu mbaya au vitu vichafu na mate mdomoni
Ni Mechanism gani huwa inafanyika pindi mtu akiona kitu kichafu sana (faeces) au ukipata Harufu mbaya katika mazingira fulani, utajikuta unatema mate tena inaweza isiwe mara moja , unaweza kutema hata zaidi ya mara 3.
Je, kutema mate hupunguza Harufu au huondoa kinyaa juu ya kile ulichokiona?
WAJUVI KARIBUNI MTUJUZE
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza,
Nauliza hivi kuna uhusiano gani kati ya harufu mbaya au vitu vichafu na mate mdomoni
Ni Mechanism gani huwa inafanyika pindi mtu akiona kitu kichafu sana (faeces) au ukipata Harufu mbaya katika mazingira fulani, utajikuta unatema mate tena inaweza isiwe mara moja , unaweza kutema hata zaidi ya mara 3.
Je, kutema mate hupunguza Harufu au huondoa kinyaa juu ya kile ulichokiona?
WAJUVI KARIBUNI MTUJUZE