Uhuru wa Habari Tanzania: Je, Vyombo Viko Huru? Je, Waandishi wa Habari wako huru? Wanathaminiwa?.

Uhuru wa Habari Tanzania: Je, Vyombo Viko Huru? Je, Waandishi wa Habari wako huru? Wanathaminiwa?.

Lakini pia bwana Pascal Mayalla ningependa ungeuliza maswali katika upande wenu ili na sisi walaji wa habari toka kwenu mtuteendee haki
1.,Je waandishi wa habari wetu wanakidhi sifa ya uandishi wa habari?

2. Je waandishi wa habari wetu wana credibility (wana aminika)??
Hakuna taaluma ya kipumbavu kama Uandishi
Ukitaka kupima kumbuka jinsi walivompa COVERAGE mtu kama DR. SHIKA..
Hawa sio waandishi na kama wamesoma basi ndio zile takataka zilizotoka JALALANI alikokuwa Kabudi
 
3. Jee Waandishi wa Habari wa Tanzania Wanathaminiwa?. Maslahi ya Waandishi yakoje?. Jee Wanathamani gani katika jamii?.
Waandishi wa Tanzania, hawathaminiwi, uandishi wa habari ni kazi nzuri na kazi rahisi, haswa utangazaji, hauhitaji kuwa na elimu kuubwa kivile, elimu ya form four inatosha sana kwa utangazaji wa kawaida, kinachotakiwa ni good look, good voice na kipaji. Utangazaji wa serious programs ndio unahitaji elimu nzuri, na specialization, very unfortunate, kwenye electronic media ya Tanzania, hatuna such serious programs zenye kuhitaji specializalization, kinachofanyika ni watangazaji kuwatumia professionals na kuwasilisha vipindi. Watangazaji wa TV na redio angalau, wanathaminiwa thaminiwa na jamii, ukienda mahali unajulikana, unapewa preferential treatments. Kwenye vinywaji unakula sana offers, na kwenye mambo ya ujana, kama ni mtangazaji wa kiume, unagombewa, na kama ni wa kike, wenye vipochi vinene, wanagombea. ila kuthaminiwa kote huku ni superficial tuu, mtangazaji akipata matatizo akaishiwa uwezo wa kutangaza, kiukweli utamuhurumia, wale marafiki waliokuwa wakikutafuta kukupa offers za kinywaji, simu zako hawapokei.

Lakini tukija kwa uandishi wa habari za magazeti, hii ni kazi inayohitaji elimu, na haswa uandishi wa habari za uchunguzi ni kazi ngumu na ya hatari, lakini sijui kama kuna media yoyote Tanzania, waandishi wake wana bima ya maisha. Kiukweli kabisa, ukiondoa sekta ya waalimu ambayo ndio inayoongoza kwa kuwa poorly paid, sekta ya habari ndio ya pili kwa malipo duni ukilinganisha na kinachofanywa, hivyo mkisikia waandishi wanagombea zile bahasha, naomba msiwashangae.

Kiukweli katika jamii, waandishi tunathaminiwa sana, when in need, lakini need ikiisha, tunadharauliwa na hatuna thamani yoyote. Hata kwenye hiyo mikutano, semina, warsha na kongamano, bahasha za waandishi huwa nyembamba ukilinganisha na bahasha za wajumbe wengine.

P.

Kuna waandishi au njaa njaa, nyie wote njaa kali tu hata ungekwepo wewe ungegombania hela tu....We mwenyewe njaa kali tu
 
Wanabodi,
Leo ni siku ya kimataifa ya uhuru wa habari, kila mwaka sisi waandishi huwa tunakutana mahali kwa siku 2 na kujadili mambo mbalimbali kuhusu uhuru wa habari, na katika mkusanyiko huo, serikali, vyama vya habari na Taasisi za habari hutoa matamko kede kede kuhusu uhuru wa habari, lakini kwa mwaka huu, kufuatia janga la Corona, hakuna maadhimisho yoyote rasmi ya kukutana, ila nilitegemea wizara ya habari, vyama vya habari na mashirika na Taasisi za habari zitoe matamko mbalimbali.

Bado sijabahatika kuona tamko lolote!, ila usikute zile speech huwa zinaandaliwa kwa ajili ya presentations kwenye kongamano hotelini, safari na per diem!, leo hakuna safari, no trip, no per diem, no hotel gathering, hivyo this time hata speech tuu hakuna?!.

Nawatakia waandishi wenzangu, maadhimisho haya ya kimya kimya, nawashauri wale wafadhili mbalimbali wa tukio hili, kwa vile hatukusafiri, wala kula na kulala hotelini, then naomba hao wafadhili watutumie tuu hizo per diem, tutahama majumbani mwetu na kuhamia hotelini 3 days kisha tutatoa matamko.

Paskali
 
Mtwara hakuna mwanahabari yeyote anaweza kwenda kuja na habari ya huko hata huyu anayejiita Pascal Mayalla hawezi kwenda kufanya investigation story akaja kuandika hapa, hata yeye anaogopa mkono wa serikali na maisha yake, kwa nini anatoa hiyo habari
Karibu.
P
 
Wanabodi

Leo ni Siku ya Kimataifa ya kuadhimisha Uhuru wa Habari. Kwa Tanzania, maadhimisho rasmi yanafanyikia jijini Mwanza, katika kuadhimisha siku hii kwa Tanzania tunaadhimisha nini haswa?.

Wakati tukiadhimisha hicho tunachoadhimisha, hakuna ubaya tukitafakari baadhi maswali haya...
1.Jee Vyombo vya Habari vya Tanzania Viko huru?. Kwa kiasi gani?.

2.Jee Wandishi wa Habari wa Tanzania wako huru?. Wako Huru kwa kiwango gani?.

3. Jee Waandishi wa Habari wa Tanzania Wanathaminiwa?. Maslahi ya Waandishi yakoje?. Jee Wanathamani gani katika jamii?.

1.Jee Vyombo vya Habari vya Tanzania Viko huru?. Kwa kiasi gani?.
Japo Tanzania tuna sheria mpya ya uhuru wa habari lakini sheria hiyo bado inavipengele kandamizi, hivyo naweza kukiri kuwa vyombo vya habari vya Tanzania viko huru ila ni uhuru kwa kiasi fulani tuu. Uhuru wa kweli wa vyombo vya habari ni pamoja na uhuru wa kiuchumi. Kwa vile Tanzania ni nchi masikini, then vyombo vya habari vya Tanzania ni vyombo vya kimasikini, hivyo vyombo vikiwa ni masikini haviwezi kuwa huru!.

Kuna huu msemo wa "He who pays the piper may call the tune!". Anayemlipa mpiga zumari ndiye atakayechagua wimbo. Vyombo vingi vya habari Tanzania ni vyombo masikini hivyo nI wapiga zumari tuu, hivyo lazima vifuate matakwa ya mpiga zumari.

Na kama mkuu wa wapiga zumari amaishatoa onyo kuwa media isijidhanie iko huru kiasi hicho!. Nani atakohoa?!.

2.Jee Wandishi wa Habari wa Tanzania wako huru?. Wako Huru kwa kiwango gani?.
Ili vyombo viwe huru lazima viundwe na Waandishi huru, Jee Waandishi wa habari wa Tanzania wako huru na kama wako huru, wako huru kwa kiasi gani au kwa kiwango gani?.

Jibu la swali hili ni kama jibu la lile swali la kwanza, ukiwa na media masikini hoi bin taaban, haziwezi kuwa huru, then vyombo masikini vya habari vyenye Waandishi poorly paid, wasio na vitendea kazi bora, Waandishi wenye njaa, hawawezi kuwa Waandishi huru.

Ukiondoa vyombo vichache vyenye uwezo na vinavyowalipa vizuri Waandishi wake, vyombo vingi ni masikini hivyo Waandishi wengi wanalipwa malipo duni na wana Maslahi duni, hivyo hawawezi kuwa huru, ndio maana kumeibuka kada ya waandishi ma kanjanja wanao practice "petty cash journalism" ( habari zinazolipa), au "yellow journalism" (udaku) badala ya kuandika habari za muhidin kwa jamii na sio ajabu kukuta Waandishi wanakimbizana na bahasha ili angalau nao kushibisha matumbo yao!.

Hali hii ya umasikini huu umepelelea kila taasisi ukiandaa tukio la kihabari, unatenga na bahasha za Waandishi.

Waandishi wenye njaa wanaotegemea bahasha kuandika habari hawawezi kuwa huru kwa sababu uhuru wao utakuwa compromised na mtoa bahasha kwa mtindo ule ule wa he who pays the piper may call the tune!.
Angalizo:Waandishi wa Habari na Bahasha: Sio Kila Bahasha ni Rushwa - Pasco wa JF!.

3. Jee Waandishi wa Habari wa Tanzania Wanathaminiwa?. Maslahi ya Waandishi yakoje?. Jee Wanathamani gani katika jamii?.
Waandishi wa Tanzania, hawathaminiwi, uandishi wa habari ni kazi nzuri na kazi rahisi, haswa utangazaji, hauhitaji kuwa na elimu kuubwa kivile, elimu ya form four inatosha sana kwa utangazaji wa kawaida, kinachotakiwa ni good look, good voice na kipaji. Utangazaji wa serious programs ndio unahitaji elimu nzuri, na specialization, very unfortunate, kwenye electronic media ya Tanzania, hatuna such serious programs zenye kuhitaji specializalization, kinachofanyika ni watangazaji kuwatumia professionals na kuwasilisha vipindi. Watangazaji wa TV na redio angalau, wanathaminiwa thaminiwa na jamii, ukienda mahali unajulikana, unapewa preferential treatments. Kwenye vinywaji unakula sana offers, na kwenye mambo ya ujana, kama ni mtangazaji wa kiume, unagombewa, na kama ni wa kike, wenye vipochi vinene, wanagombea. ila kuthaminiwa kote huku ni superficial tuu, mtangazaji akipata matatizo akaishiwa uwezo wa kutangaza, kiukweli utamuhurumia, wale marafiki waliokuwa wakikutafuta kukupa offers za kinywaji, simu zako hawapokei.

Lakini tukija kwa uandishi wa habari za magazeti, hii ni kazi inayohitaji elimu, na haswa uandishi wa habari za uchunguzi ni kazi ngumu na ya hatari, lakini sijui kama kuna media yoyote Tanzania, waandishi wake wana bima ya maisha. Kiukweli kabisa, ukiondoa sekta ya waalimu ambayo ndio inayoongoza kwa kuwa poorly paid, sekta ya habari ndio ya pili kwa malipo duni ukilinganisha na kinachofanywa, hivyo mkisikia waandishi wanagombea zile bahasha, naomba msiwashangae.

Kiukweli katika jamii, waandishi tunathaminiwa sana, when in need, lakini need ikiisha, tunadharauliwa na hatuna thamani yoyote. Hata kwenye hiyo mikutano, semina, warsha na kongamano, bahasha za waandishi huwa nyembamba ukilinganisha na bahasha za wajumbe wengine.

Paskali
Nawatakia waandishi wenzangu wote wa habari, maandimisho mema ya siku hii ya kimataifa ya uhuru wa habari.
P.
 
Wanabodi

Leo ni Siku ya Kimataifa ya kuadhimisha Uhuru wa Habari. Kwa Tanzania.
Wakati tukiadhimisha hicho tunachoadhimisha, hakuna ubaya tukitafakari baadhi maswali haya...
1.Jee Vyombo vya Habari vya Tanzania Viko huru?. Kwa kiasi gani?.

2.Jee Wandishi wa Habari wa Tanzania wako huru?. Wako Huru kwa kiwango gani?.

3. Jee Waandishi wa Habari wa Tanzania Wanathaminiwa?. Maslahi ya Waandishi

Paskali
MEI 3 ya kila mwaka ni Siku ya Kimataifa ya Uhuru wa vyombo vya habari, Mimi Pascal Mayalla, kwa niaba yangu kama mwanahabari ambaye ni mwandishi wa habari huru na wa kujitegemea kwa kujitolea na kwa niaba ya kampuni yangu ya PPR as chombo huru cha habari, niwatakie wanahabari wenzangu wote, maadhimisho mema ya siku hii, huku nikidurusu, niliwahi kusema nini kuhusu uhuru wa habari kwa media zetu za Tanzania yetu.

Nawatakia maadhimisho mema ya siku yetu hii ya leo na uhuru wa habari mwema.
Paskali.
 
Wanabodi

Leo ni Siku ya Kimataifa ya kuadhimisha Uhuru wa Habari. Kwa Tanzania, maadhimisho rasmi yanafanyikia jijini Mwanza, katika kuadhimisha siku hii kwa Tanzania tunaadhimisha nini haswa?.

Wakati tukiadhimisha hicho tunachoadhimisha, hakuna ubaya tukitafakari baadhi maswali haya...
1.Jee Vyombo vya Habari vya Tanzania Viko huru?. Kwa kiasi gani?.

2.Jee Wandishi wa Habari wa Tanzania wako huru?. Wako Huru kwa kiwango gani?.

3. Jee Waandishi wa Habari wa Tanzania Wanathaminiwa?. Maslahi ya Waandishi yakoje?. Jee Wanathamani gani katika jamii?.

1.Jee Vyombo vya Habari vya Tanzania Viko huru?. Kwa kiasi gani?.
Japo Tanzania tuna sheria mpya ya uhuru wa habari lakini sheria hiyo bado inavipengele kandamizi, hivyo naweza kukiri kuwa vyombo vya habari vya Tanzania viko huru ila ni uhuru kwa kiasi fulani tuu. Uhuru wa kweli wa vyombo vya habari ni pamoja na uhuru wa kiuchumi. Kwa vile Tanzania ni nchi masikini, then vyombo vya habari vya Tanzania ni vyombo vya kimasikini, hivyo vyombo vikiwa ni masikini haviwezi kuwa huru!.

Kuna huu msemo wa "He who pays the piper may call the tune!". Anayemlipa mpiga zumari ndiye atakayechagua wimbo. Vyombo vingi vya habari Tanzania ni vyombo masikini hivyo nI wapiga zumari tuu, hivyo lazima vifuate matakwa ya mpiga zumari.

Na kama mkuu wa wapiga zumari amaishatoa onyo kuwa media isijidhanie iko huru kiasi hicho!. Nani atakohoa?!.

2.Jee Wandishi wa Habari wa Tanzania wako huru?. Wako Huru kwa kiwango gani?.
Ili vyombo viwe huru lazima viundwe na Waandishi huru, Jee Waandishi wa habari wa Tanzania wako huru na kama wako huru, wako huru kwa kiasi gani au kwa kiwango gani?.

Jibu la swali hili ni kama jibu la lile swali la kwanza, ukiwa na media masikini hoi bin taaban, haziwezi kuwa huru, then vyombo masikini vya habari vyenye Waandishi poorly paid, wasio na vitendea kazi bora, Waandishi wenye njaa, hawawezi kuwa Waandishi huru.

Ukiondoa vyombo vichache vyenye uwezo na vinavyowalipa vizuri Waandishi wake, vyombo vingi ni masikini hivyo Waandishi wengi wanalipwa malipo duni na wana Maslahi duni, hivyo hawawezi kuwa huru, ndio maana kumeibuka kada ya waandishi ma kanjanja wanao practice "petty cash journalism" ( habari zinazolipa), au "yellow journalism" (udaku) badala ya kuandika habari za muhidin kwa jamii na sio ajabu kukuta Waandishi wanakimbizana na bahasha ili angalau nao kushibisha matumbo yao!.

Hali hii ya umasikini huu umepelelea kila taasisi ukiandaa tukio la kihabari, unatenga na bahasha za Waandishi.

Waandishi wenye njaa wanaotegemea bahasha kuandika habari hawawezi kuwa huru kwa sababu uhuru wao utakuwa compromised na mtoa bahasha kwa mtindo ule ule wa he who pays the piper may call the tune!.
Angalizo:Waandishi wa Habari na Bahasha: Sio Kila Bahasha ni Rushwa - Pasco wa JF!.

3. Jee Waandishi wa Habari wa Tanzania Wanathaminiwa?. Maslahi ya Waandishi yakoje?. Jee Wanathamani gani katika jamii?.
Waandishi wa Tanzania, hawathaminiwi, uandishi wa habari ni kazi nzuri na kazi rahisi, haswa utangazaji, hauhitaji kuwa na elimu kuubwa kivile, elimu ya form four inatosha sana kwa utangazaji wa kawaida, kinachotakiwa ni good look, good voice na kipaji. Utangazaji wa serious programs ndio unahitaji elimu nzuri, na specialization, very unfortunate, kwenye electronic media ya Tanzania, hatuna such serious programs zenye kuhitaji specializalization, kinachofanyika ni watangazaji kuwatumia professionals na kuwasilisha vipindi. Watangazaji wa TV na redio angalau, wanathaminiwa thaminiwa na jamii, ukienda mahali unajulikana, unapewa preferential treatments. Kwenye vinywaji unakula sana offers, na kwenye mambo ya ujana, kama ni mtangazaji wa kiume, unagombewa, na kama ni wa kike, wenye vipochi vinene, wanagombea. ila kuthaminiwa kote huku ni superficial tuu, mtangazaji akipata matatizo akaishiwa uwezo wa kutangaza, kiukweli utamuhurumia, wale marafiki waliokuwa wakikutafuta kukupa offers za kinywaji, simu zako hawapokei.

Lakini tukija kwa uandishi wa habari za magazeti, hii ni kazi inayohitaji elimu, na haswa uandishi wa habari za uchunguzi ni kazi ngumu na ya hatari, lakini sijui kama kuna media yoyote Tanzania, waandishi wake wana bima ya maisha. Kiukweli kabisa, ukiondoa sekta ya waalimu ambayo ndio inayoongoza kwa kuwa poorly paid, sekta ya habari ndio ya pili kwa malipo duni ukilinganisha na kinachofanywa, hivyo mkisikia waandishi wanagombea zile bahasha, naomba msiwashangae.

Kiukweli katika jamii, waandishi tunathaminiwa sana, when in need, lakini need ikiisha, tunadharauliwa na hatuna thamani yoyote. Hata kwenye hiyo mikutano, semina, warsha na kongamano, bahasha za waandishi huwa nyembamba ukilinganisha na bahasha za wajumbe wengine.

Paskali
Leo Mei 3, ni siku ya kimataifa ya uhuru wa vyombo vya habari, hivyo tuendelee kujitafakari.
P
 
MEI 3 ya kila mwaka ni Siku ya Kimataifa ya Uhuru wa vyombo vya habari, Mimi Pascal Mayalla, kwa niaba yangu kama mwanahabari ambaye ni mwandishi wa habari huru na wa kujitegemea kwa kujitolea na kwa niaba ya kampuni yangu ya PPR as chombo huru cha habari, niwatakie wanahabari wenzangu wote, maadhimisho mema ya siku hii, huku nikidurusu, niliwahi kusema nini kuhusu uhuru wa habari kwa media zetu za Tanzania yetu.

Nawatakia maadhimisho mema ya siku yetu hii ya leo na uhuru wa habari mwema.
Paskali.
MEI 3 ya kila mwaka ni Siku ya Kimataifa ya Uhuru wa vyombo vya habari, Mimi Pascal Mayalla, kwa niaba yangu kama mwanahabari ambaye ni mwandishi wa habari huru na wa kujitegemea kwa kujitolea na kwa niaba ya kampuni yangu ya PPR as chombo huru cha habari, niwatakie wanahabari wenzangu wote, maadhimisho mema ya siku hii, huku nikidurusu, niliwahi kusema nini kuhusu uhuru wa habari kwa media zetu za Tanzania yetu.

Nawatakia maadhimisho mema ya siku yetu hii ya leo na uhuru wa habari mwema.
Paskali.
 
Back
Top Bottom