Uhuru Park Live: Sherehe za Mei Mosi Kenya

Ng'wanangwa

JF-Expert Member
Aug 28, 2010
10,827
4,172
Nitakuwa live hapa nikiwapa updates.

sasa ni igizo la boss uchwara anayetoa ajira kwa mtindo wa mkono mtupu haurambwi.
kabla ya hapo kulikuwa na fracas kidogo kati ya wanausalama na watu wa bodaboda. hali imetulia.

saa 5:00 muda wa rhumba.

anaanza bibie faya tess na kibao nadina cha mbilia bel, wanenguaji ni moto faya.

sasa anatumbuiza Nyboma Mwan'dido kama yeye. kazeeka lakini bado wamo.

saa 5:30 burudani nyingine ya wafanyakazi

saa 6:30 anaongea Mike Sonko, Gavana wa Nairobi. anasema leo siyo siku ya siasa. ni siku ya kusherehekea siku ya wafanyakazi duniani. anamaliza.
 
sasa linapigwa rhumba live: nadina

anayeimba ni mashallah. anaitwa faya tess.

wanenguaji ni moto faya.
 
Nitakuwa live hapa nikiwapa updates.

sasa ni igizo la boss uchwara anayetoa ajira kwa mtindo wa mkono mtupu haurambwi.
kabla ya hapo kulikuwa na fracas kidogo kati ya wanausalama na watu wa bodaboda. hali imetulia.
 
Huyu Mwenyekiti ndio sifia sifia kweli.
Mifuko ya hifadhi ya Jamii eti ni tatizo alilitatua wakati lilitengenezwa na wao wenyewe!!!
 
Jiwe asituimbie nyimbo zake za 'Bombadia, Stiglas goji', reli, tulipigwa sana kwenye madini nk
Tunataka kusikia nyimbo mpya, kupanda daraja, kupandisha mishahara (pamoja na fidia /malimbikizo ya miaka mitatu bila ya kupanda) , madeni na malimbikizo ya likizo na mishahara
 
nyinyi endeleeni kutazama maazimisho yaliyoboa ya mbeya, mimi namtizama nyiboma akitumbuiza katika maazimisho ya viwanja vya uhuru park, nairobi.
IMG_20190501_122316.jpeg
 
Nitakuwa live hapa nikiwapa updates.

sasa ni igizo la boss uchwara anayetoa ajira kwa mtindo wa mkono mtupu haurambwi.
kabla ya hapo kulikuwa na fracas kidogo kati ya wanausalama na watu wa bodaboda. hali imetulia.

saa 5:00 muda wa rhumba.

anaanza bibie faya tess na kibao nadina cha mbilia bel, wanenguaji ni moto faya.

sasa anatumbuiza Nyboma Mwan'dido kama yeye. kazeeka lakini bado wamo.

saa 5:30 burudani nyingine ya wafanyakazi

saa 6:30 anaongea Mike Soko, Gavana wa Nairobi.
 
Back
Top Bottom