Uhuru ni kitu gani kwa mwanamke?

Uhuru ni kitu gani kwa mwanamke?

Deeboyfrexh

JF-Expert Member
Joined
Apr 3, 2015
Posts
3,422
Reaction score
5,594
Habari wana jf,

Kwa mara kadhaa huwa nmeskia kwamba ni vizuri kumpa uhuru mpenzi wako hasa wa kike kwa maana tupunguze kuwafuatilia,tuwe majentromeni maana kum trace ni kuonyesha udhaifu na wivu na upungufu wa kumuamini eti.

Kwa mantiki hii unakuta mtu huyo huyo atakaepewa uhuru baada ya muda anaweza kuanza kukuchezea rafu na dharau juu sasa huwa inatatiza sana, labda tueleweshane huu uhuru unaotakiwa tuwape ni kwamba mnastahili au tuendelee kuwafwatilia nyendo zenu mda wote ukizingatia majanga ni mengi siku hizi!
 
Hawa viumbe sio wa kuwaamini maana hawaeleweki unaweza mpa uhuru bado yakawa majanga
 
Kuna wengine usipo wafuatilia wanaona kama humpendi
 
do kufuatiliwa kwa kiasi lakini si unifuatilie kila saa upo wapi? unaongea na nani? aiii inachosha ukiona vipi vipi ndiyo uniulize lakin si kila saa upo nyuma nyuma kama kalio loh
 
Mi mpnz wangu nisipomfuatilia anahisi kuwa simpendi..Utamsikia " baby mbona siku hizi huna habari na mm??..una mchepuko nn??..So mi namfwatilia 24/7 ili mambo yangu ya pembeni yaende sawa

Duh boss, mbona unajipa kazi nyingi hivyo!???
 
do kufuatiliwa kwa kiasi lakini si unifuatilie kila saa upo wapi? unaongea na nani? aiii inachosha ukiona vipi vipi ndiyo uniulize lakin si kila saa upo nyuma nyuma kama kalio loh

lazima ufuatiliwe wanawake wenyewe wa siku hizi nyinyi matatizo sana
 
do kufuatiliwa kwa kiasi lakini si unifuatilie kila saa upo wapi? unaongea na nani? aiii inachosha ukiona vipi vipi ndiyo uniulize lakin si kila saa upo nyuma nyuma kama kalio loh

hahahahahahahah eti kama kalio umenishindwa we mwanamke hahah nmecheka sana ila kweli ila jamn mi napenda saana kufatiliwa ila wa kunifatilia ndo sina hana hata huo mda mpka itokee akuulize ni ya kuhesabu
 
hahahahahahahah eti kama kalio umenishindwa we mwanamke hahah nmecheka sana ila kweli ila jamn mi napenda saana kufatiliwa ila wa kunifatilia ndo sina hana hata huo mda mpka itokee akuulize ni ya kuhesabu
wengine tunafuatiliwa mapaka shida
 
TRUST!???

Did you just use that word in reference to a female species!???

Hahaha. Most definitely. There are some good girls out-there man, true story. Not one chick i dated ever broke my heart or gave reasons to doubt 'em. And truth be told, i can't front that thing they call love bro, so i gotta trust to enjoy it.
 
Habari wana jf,

Kwa mara kadhaa huwa nmeskia kwamba ni vizuri kumpa uhuru mpenzi wako hasa wa kike kwa maana tupunguze kuwafuatilia,tuwe majentromeni maana kum trace ni kuonyesha udhaifu na wivu na upungufu wa kumuamini eti.

Kwa mantiki hii unakuta mtu huyo huyo atakaepewa uhuru baada ya muda anaweza kuanza kukuchezea rafu na dharau juu sasa huwa inatatiza sana, labda tueleweshane huu uhuru unaotakiwa tuwape ni kwamba mnastahili au tuendelee kuwafwatilia nyendo zenu mda wote ukizingatia majanga ni mengi siku hizi!

Labda kwa ile jamii inayowafunika funika ki ninja mpaka kukosa hewa
 
Back
Top Bottom