Uhuru Kenyatta overtakes Raila in new poll.

uyu uhuru japokuwa naona anaongea kiswajili kizuri kuliko raila lakini ninawasiwasi na siasa zake za nje ya kenya hasa east African community sijawaghi kumsikia hata siku moja akiitembelea TZ ila RAILA WALA HATUNA HOFU NAYE KILA SIKU TUPO NAYE NI MWENZETU NI RAFIKI WA DHATI WA WATZ NA ATADUMISHA KWA DHATI USHIRIKIANO WA AFRIKA MASHARIKI

Uhuru ni mtu business minded na sidhani aweza kudhuru kwa vyovyote vile uhusiano na nchi jirani haswa Tz.Amewahi kuwa tz not so long ago alipokuwa akitafuta uungwaji mkono wa kikwete katika bid yake ya urais.Alizuru nchi jirani zote pia.
 
Kumbe na nyie jubilee mnapenda matokeo ya kura za maoni.uhuru akiongoza hapo sawa,akiongoza Raila mara ooh mara eeh.
 
Yaonekana kuwa Raila atalia machozi mengi ikija machi 4 jubilee ikinyakua ushindi, anaonekana kuhisi kupoteza kiyanganyiro kwa uhuru na ruto. Naye nafasi zake zinaendelea kupungua

platonist Kenya is tired of serving farao..........
 
platonist Kenya is tired of serving farao..........
Rutashubanyuma,
Naona Roho kwatuuuuuu... na umepongeza Ushehe Yahya..for the first tym..lol.
BTW, Since when The Farao were being served by Kenyan? Believe me,Mr Weak leaf Mudavadi will Kick your Ass come March 4th...Ndo atakaye amua mtanange huu. Na utajuTa na Dark force wako kwa Kumuuza MM.
 
Last edited by a moderator:
Nilitegemea ndugu Dhuks na Kabaridi wapinge huu utafiti kuwa si wa kweli,mbona kimya kwa sasa Ipsos ndio wamepatia na pale alipoongoza RAO walikuwa wamekosea,hata Kabando wa Kabando kakaa kimya kulikoni
 
........KIBAKI alibaka u-rais wa RAO, nani asiyejua hili? safari hii ni zamu yake (sio kwa kumhurumia ila ni kwa uwezo wake aliouonyesha hata katika kucheza karata za muungano wa vyama kumbuka kutoka RAINBOW hadi Cord) hata kama akina Gen. Gichangi (NSIS Chief), Mr Kimeia na Gen. Karangi (Kikuyu at it best level) wameji-engage in partisan activities in favor to UK, wakenya wajiulize baada ya Kenyatta (baba) kutaifisha na kujimilikisha ardhi toka kwa wakoloni alichofanya ni nini kama sio kujenga Kabila lake na sio Taifa, Wakikuyu wanaendelea kujiimarisha na Kenya imeshindwa kabisa kuwa Taifa kwa ajili yake (like father, like son), msitegemee kigeni toka kwa Kenyata (mtoto), Taifa hujengwa na watu walio pamoja na waliodhamiria kujenga taifa, mpeni RAO kwa manufaa yenu ajenge taifa (call a spade, a spade-samahani kwa wanaotaka niseme a big spoon)
 
Hata Uhuru anakuja sana TZ,amekuja kama mara 2 kwa JK kwa maongezi!tusubiri hiyo machi 3 tuone kivumbi!Obama anaharibu sana uchaguzi wa Kenya maana ana support Raila na kuwatisha wakenya kiakili na kiujanja kuwa Uhuru ana kesi wasimfikirie sana,sidhani kama ni sawa!sio nzuri sana kwa demokrasia
 
Duh @Nairoberry anampenda UK hadi anatuletea ndoto zake za jana ha ha ha ha ha ha.Taka usitake Raila ni Rais wako.

This Chap Nairobberry

Ni mkabila na hana ajenda.Nimeona akina Kagame wakitishia kuvunja uhusiano wa kidiplomasia na western countries andapo UK atashinda na Kenya kuwekewa sanctions.hiyo backup ni kwa kuwa hata yeye anajua ICC inamuhusu kwa Genocide
 
Hata Uhuru anakuja sana TZ,amekuja kama mara 2 kwa JK kwa maongezi!tusubiri hiyo machi 3 tuone kivumbi!Obama anaharibu sana uchaguzi wa Kenya maana ana support Raila na kuwatisha wakenya kiakili na kiujanja kuwa Uhuru ana kesi wasimfikirie sana,sidhani kama ni sawa!sio nzuri sana kwa demokrasia

Kwa wakenya hii ngoma imekaa vizuri sana maana kwa sisi tuliokuwapo enzi hizo za haraaaaaambe! tulishuhudia kilichokuwapo na kinachoonekana hadi leo kwamba wakati ule ilikuwa ngoma ni kati ya Mzee na Jaramogi; bila kusahau kitabu kilichomletea Jaramogi mtafaruku na Mzee cha "Not Yet Uhuru"; kwa vile alichokuwa anaona Jaramogi ni land grabbing iliyopelekea UK sasa kumiliki zaidi ya eka 500,000. Kwa Wakenya land issue is centre of politics- kampeni issue kwa lugha ya RAO. Hebu angalia sehemu kubwa wanaokampeni mishale ni kwa UK na siyo RAO. Sijui tueleweje?
Utamu wa ngoma hii ni kwamba ni kati ya RAO/Jaramogi na UK/Mzee Haraaaaaambeeeee. Sijui Wakenya wanatafsiri vipi hii??????????. Hebu tusubiri maana 4/3/201`3 si mbali!
 
Uhuru ni mtu business minded na sidhani aweza kudhuru kwa vyovyote vile uhusiano na nchi jirani haswa Tz.Amewahi kuwa tz not so long ago alipokuwa akitafuta uungwaji mkono wa kikwete katika bid yake ya urais.Alizuru nchi jirani zote pia.
.............ndio maana atawauza vizuri ili aongeze ekari zingine 500,000 hamna kingine zaidi ya kujenga taifa dogo la Kikuyu lenye nguvu dhidi ya taifa la Kenya.....
 
Nilitegemea ndugu Dhuks na Kabaridi wapinge huu utafiti kuwa si wa kweli,mbona kimya kwa sasa Ipsos ndio wamepatia na pale alipoongoza RAO walikuwa wamekosea,hata Kabando wa Kabando kakaa kimya kulikoni

I am not obsessed with who will become Kenyas next president, show me where i ever trashed the opinion polls even when Raila was leading? I am ready to embrace any winner though i always try to point out numerous propaganda.
FYI i am voting neither of these two gentlemen.
 
.............ndio maana atawauza vizuri ili aongeze ekari zingine 500,000 hamna kingine zaidi ya kujenga taifa dogo la Kikuyu lenye nguvu dhidi ya taifa la Kenya.....

wewe naona unao udhia na wakikuyu.haina haja ya kukujibu
 
Contrary to what one of our esteemed members Nairoberry is trying to say, below is the whole opinion poll that the media did not tell us:

8502491118_2508cc375a_b.jpg



Here's what they couldn't tell you!!

This is a slide extracted from page 37 of the slide of Ipsos presentation that gave Uhuru 44.80% against Raila 44.40%. Talk of madimoni, and how embarrassing it was for them to have forgotten this!!! (Typed for ease of reading for the mobile users)

1. Central - Uhuru 88.10%, Raila 6.40%, Mudavadi 0.90%

2. Coast - Uhuru 18.30%, Raila 73.00%, Mudavadi 0.80%

3. Eastern - Uhuru 41.80%, Raila 52.70%, Mudavadi 1.20%

4. Nairobi - Uhuru 39.60%, Raila 51.90%, Mudavadi 2.70%

5. N. Eastern - Uhuru 37.90%, Raila 44.10%, Mudavadi 2.80%

6. Nyanza - Uhuru 9.80%, Raila 83.80%, Mudavadi 1.30%

7. R. Valley - Uhuru 69.00%, Raila 23.30%, Mudavadi 3.30%

8. Western - Uhuru 3.40%, Raila 53.60%, Mudavadi 34.60%



Final Result before being doctored :

Raila Odinga 52.24%;

Uhuru Kenyatta 41.37%;

Mudavadi 6.40%;


Margin of Error: (+ or - 2)


Let the truth be told!!!
 
I bet some of you are getting too carried away, when Raila was leading i never saw that doctored thing.
 
Kenya politics is tribe first, sphere of influence second ,wealth third,nationalism last.
 
Kumbe na nyie jubilee mnapenda matokeo ya kura za maoni.uhuru akiongoza hapo sawa,akiongoza Raila mara ooh mara eeh.

Ukiona hivyo ya kwamba uhuru anapewa poll maksi zaidi ya Raila, utambue ya kwamba Raila hakuna jinsi ya kumshinda Uhuru. Hizo poll za west zilko against Uhuru. Hiyo small % waliyompa ukija ktk uhalisia Uhuru yuko mbele kwa asilimia kubwa sana. Ni muono wangu lakini, navyoona, Uhuru atakuwa rais kwa first round.
 
The opinion polls should be conducted objectively. When the results are cooked it becomes difficult to believe those who engineer the opinion polls and it may lead people to distrust them.
 
Let Odinga be the President of Kenya. He has been involved in all the reforms you name in Kenya.
 
Nilitegemea ndugu Dhuks na Kabaridi wapinge huu utafiti kuwa si wa kweli,mbona kimya kwa sasa Ipsos ndio wamepatia na pale alipoongoza RAO walikuwa wamekosea,hata Kabando wa Kabando kakaa kimya kulikoni

Na hivyo ndugu ndivyo CORD walibaki kimya siku hizi zote utafiti ulipowataja kuwa na asilimia zaidi ya kuchukua uongozi. Wakati info-track walitoa matokeo ya utafiti ya 50+1 kulitokea mapingano lakini mimi sikupinga maana nilijua kuwa muda ulipokuwa ukizidi kuyoyoma, wale watakaozembea kwenye kampeni watapitwa na wale wale wa kutia juhudi zaidi. Si maajabu kwangu kabisa yanayoendelea uhuru kumpiku raila.

kwa Raila na uhuru sasa, it is a question of who has enough money to ensure the gas tank is always full and the result is now clear even to you mkulu.
 
Back
Top Bottom