Jembemtaji
JF-Expert Member
- Aug 21, 2014
- 1,193
- 926
Mtoa mada big up
Mtanzania mwenye akili timamu anayehitaji kazi ataenda kuitafuta popote pale. Ni punguani pekee atakayekaa nchini bila kipato kwa uzalendo uchwara akaacha fursa nchi jirani kama ipo.Knock out kapigwa Uhuru
Hakuna mtanzania mwenye akili timamu anaweza kwenda kenya kuomba kazi,wao ndio wanakuja kwetu kupora kazi na wanataka sana ardhi yetu
Na wewe hapo ndio unafanya kazi!acha unafiki kijana muda wa kufanya kazi huu unaleta porojo zako
Hawezi kukuelewa ndg yangu. Kwa kifupi ni sikio la kufa. Na hizi damu za watu zinazomwagika kila kukicha itafikia mahali hata kusaini hataweza atakuwa anaweka dole gumba. Ukilisoma tamko la Kenyatta kwa makini utaona namna ambavyo anwaambia wafanyabiashara na wananchi wenye mawazo positive "kama huko anawaona wa nini, huku tunajitafakari tutawapataje, njooni huku mle mema ya nchi". Ukweli aliyemfundisha Kenyatta hiyo mbinu ni bingwa haswa na akasema "am not putting a condition that other countries should do the same". Hii ni akili kubwa. Huku kwetu akili kubwa inatumika kupanga namna ya kuvuruga uchaguzi kwa kukatakata mawakala na kuwapiga. Shame!Uamuzi wa Rais Magufuli wa hivi karibuni wa kupiga mnada ng'ombe wa Masai waliovuka kuja Tanzania, uchomaji wa vifaranga na mapokezi ya kiserikali ya Odinga alipoitembelea Tanzania hivi karibuni, wengi wamesema yaliingiza Tanzania na Kenya katika uhusiano mbaya kuliko ilivyowahi kutokea tangu ilipovunjika Jumuiya ya Afrika Mashariki miaka ya 1978.
Wengi walitegemea Kenya ingeanza kulipiza kisasi katika mambo kadhaa madogo madogo na makubwa. Lakini cha ajabu kabisa, wakati wa kuapa kwake, Uhuru Kenyatta ametamka kuwa Watanzania wanakaribishwa Kenya na wahudumiwe kama vile raia wa Kenya wanavyohudumiwa, na hata wakiomba kazi wapewe bila masharti. Uhuru hata akatania kwamba hata Watanzania na Wakenya wakitaka kuoana wasiwekewe masharti!
Taarifa nchini Kenya zinaonyesha kwa kufanya hivyo Kenyatta amemtoa kwa knock out Rais Magufuli katika round ya kwanza kabisa! In fact, wengi wanasema "it must be very embarrassing kwa Magufuli". Wale walio katika mtazamo wa kidini wanasema Kenyatta amemwacha Magufuli ajiwekee makaa ya moto kifuani!
Ushauri wangu wa bure kwa Rais Magufuli ni kwamba pengine sasa ni wakati wa yeye kutafakari kwa kina kwamba kuna mambo katika uongozi ambayo ni kweli yanahitaji utumiaji wa nguvu, u-bulldozer, kwa mfano ufisadi, ujambazi, nk. Lakini kuna mambo mengi sana yanahitaji utumiaji wa busara na diplomasia. Nitawakumbusha machache kati ya mambo ambayo Rais Magufuli alitumia nguvu pale ambapo haikutakiwa kutumia nguvu, tangu kabla hajawa raisi hadi sasa;
- Kugomea usafirishaji wa boti za kasi toka Dar kwenda ziwa Victoria - ambapo baadaye Kenya walikubali zipelekwe Ziwa Victoria kupitia barabara zao kutoka bandari ya Mombasa
- Kufukuza mkandarasi wa barabara bila kufuata utaratibu wa kisheria - ambapo matokeo yamekuwa bombardier yetu kushikiliwa Canada
- Kugomea mega-buses zilizokuwa zikisafirishwa kwenda Zambia kupita barabara ya Tanzam - ambapo baadaye JK aliamuru ziruhusiwe
- Kushinikiza jengo la TANESCO libomolewe (wakati wa JK) badala ya kutafuta njia mbadala - ambapo JK alimwamuru Pinda amkatalie kubomoa jengo hilo (baada ya kuwa Rais Magufuli karudi tena kuamuru libomolewe kwa kuwa yeye ndiye Rais sasa)
- Kuchoma vifaranga na kupiga mnada ngo'ombe wa Masai waliovuka kuja Tanzania kwa desturi ya Kimasai iliyodumu kwa mamia ya miaka - ambapo Kenya walitoa tamko hawatalipiza kisasi
- Kutumbua viongozi kwa mambo madogo madogo kama kutoa kauli asiyoipenda - ambapo wengi wao imebidi waendelee kupata mishahara bila kuwa kazini au kuonekana walitumbuliwa kimakosa
- Ubomoaji wa nyumba za watu kulingana na sheria ya eneo la barabara iliyobadilishwa - ambapo kisheria mtu aliyejenga kwa kibali cha serikali au kuishi eneo katazwa muda mrefu bila kuingiliwa na serikali ana haki ya kufidiwa anapobomolewa
- Kutoa amri kwa hisia (impulsive directives) - ambapo mara nyingine zimekuwa ni kinyume na katiba ya nchi na hata kuleta migogoro ya kisiasa nchini
- Kuzuia safari za nje za ku-ujumla hata zile ambazo zimefadhiliwa na ni sehemu ya uanachama wetu katika tasisisi za kimataifa pamoja na zile za Umoja wa Mataifa - ambapo ushiriki wa Tanzania katika mambo ya kimataifa sasa umekuwa nyuma na kusababisha tukose fursa nyingi za kimaendeleo
- Nk, nk, nk
Kauli yako inasadifu jina lakoHamia Kenya mkuu usitusumbue
Hamia Kenya mkuu usitusumbue
Uoni hafifu! Utaenda kenya wakati hujiamini? Unafikiri Kenya unaweza kuwaamrisha tu kajipangeni barabarani msimamishe gari la rais au kushangilia mwenge? Kwa kifupi ni wenye kujiamini na aggressive tu ndo watakaoweza kuishi na kufanya kazi Kenya. Na watakaofanya hivyo (kama mimi nimeshaanza process za kutokomea huko) nwatajifunza kuwa agressive, sifa ambayo ni muhimu kwa mtu anayetaka kudumu kwenye uchumi mamboleoKnock out kapigwa Uhuru
Hakuna mtanzania mwenye akili timamu anaweza kwenda kenya kuomba kazi,wao ndio wanakuja kwetu kupora kazi na wanataka sana ardhi yetu
Kwa nin Nyerere alifikia hatua ya kujitoa E.AC ??? Tanzania hatuna cha kupoteza kwa wa Kenya wao ndo wanahtaj Tanzania zaidi ya unavyofkria...istoshe nchi yao inaenda kugawanyika vipande vipande...Wakenya hawafai..
Angekuwa karibu yako ungemmiminia risasi maana huna hojaHamia Kenya mkuu usitusumbue
Hayo ni maoni yako binafsi, rohoni kwa mtu ni mbali, umefikaje kwenye hiyo mioyo?, endelea na Ramli chonganishi upate mkate wa siku, paka shume mkubwa wee!Uamuzi wa Rais Magufuli wa hivi karibuni wa kupiga mnada ng'ombe wa Masai waliovuka kuja Tanzania, uchomaji wa vifaranga na mapokezi ya kiserikali ya Odinga alipoitembelea Tanzania hivi karibuni, wengi wamesema yaliingiza Tanzania na Kenya katika uhusiano mbaya kuliko ilivyowahi kutokea tangu ilipovunjika Jumuiya ya Afrika Mashariki miaka ya 1978.
Wengi walitegemea Kenya ingeanza kulipiza kisasi katika mambo kadhaa madogo madogo na makubwa. Lakini cha ajabu kabisa, wakati wa kuapa kwake, Uhuru Kenyatta ametamka kuwa Watanzania wanakaribishwa Kenya na wahudumiwe kama vile raia wa Kenya wanavyohudumiwa, na hata wakiomba kazi wapewe bila masharti. Uhuru hata akatania kwamba hata Watanzania na Wakenya wakitaka kuoana wasiwekewe masharti!
Taarifa nchini Kenya zinaonyesha kwa kufanya hivyo Kenyatta amemtoa kwa knock out Rais Magufuli katika round ya kwanza kabisa! In fact, wengi wanasema "it must be very embarrassing kwa Magufuli". Wale walio katika mtazamo wa kidini wanasema Kenyatta amemwacha Magufuli ajiwekee makaa ya moto kifuani!
Ushauri wangu wa bure kwa Rais Magufuli ni kwamba pengine sasa ni wakati wa yeye kutafakari kwa kina kwamba kuna mambo katika uongozi ambayo ni kweli yanahitaji utumiaji wa nguvu, u-bulldozer, kwa mfano ufisadi, ujambazi, nk. Lakini kuna mambo mengi sana yanahitaji utumiaji wa busara na diplomasia. Nitawakumbusha machache kati ya mambo ambayo Rais Magufuli alitumia nguvu pale ambapo haikutakiwa kutumia nguvu, tangu kabla hajawa raisi hadi sasa;
- Kugomea usafirishaji wa boti za kasi toka Dar kwenda ziwa Victoria - ambapo baadaye Kenya walikubali zipelekwe Ziwa Victoria kupitia barabara zao kutoka bandari ya Mombasa
- Kufukuza mkandarasi wa barabara bila kufuata utaratibu wa kisheria - ambapo matokeo yamekuwa bombardier yetu kushikiliwa Canada
- Kugomea mega-buses zilizokuwa zikisafirishwa kwenda Zambia kupita barabara ya Tanzam - ambapo baadaye JK aliamuru ziruhusiwe
- Kushinikiza jengo la TANESCO libomolewe (wakati wa JK) badala ya kutafuta njia mbadala - ambapo JK alimwamuru Pinda amkatalie kubomoa jengo hilo (baada ya kuwa Rais Magufuli karudi tena kuamuru libomolewe kwa kuwa yeye ndiye Rais sasa)
- Kuchoma vifaranga na kupiga mnada ngo'ombe wa Masai waliovuka kuja Tanzania kwa desturi ya Kimasai iliyodumu kwa mamia ya miaka - ambapo Kenya walitoa tamko hawatalipiza kisasi
- Kutumbua viongozi kwa mambo madogo madogo kama kutoa kauli asiyoipenda - ambapo wengi wao imebidi waendelee kupata mishahara bila kuwa kazini au kuonekana walitumbuliwa kimakosa
- Ubomoaji wa nyumba za watu kulingana na sheria ya eneo la barabara iliyobadilishwa - ambapo kisheria mtu aliyejenga kwa kibali cha serikali au kuishi eneo katazwa muda mrefu bila kuingiliwa na serikali ana haki ya kufidiwa anapobomolewa
- Kutoa amri kwa hisia (impulsive directives) - ambapo mara nyingine zimekuwa ni kinyume na katiba ya nchi na hata kuleta migogoro ya kisiasa nchini
- Kuzuia safari za nje za ku-ujumla hata zile ambazo zimefadhiliwa na ni sehemu ya uanachama wetu katika tasisisi za kimataifa pamoja na zile za Umoja wa Mataifa - ambapo ushiriki wa Tanzania katika mambo ya kimataifa sasa umekuwa nyuma na kusababisha tukose fursa nyingi za kimaendeleo
- Nk, nk, nk
Wana akili sana ndio maana they have a lot to looseKwa nin Nyerere alifikia hatua ya kujitoa E.AC ??? Tanzania hatuna cha kupoteza kwa wa Kenya wao ndo wanahtaj Tanzania zaidi ya unavyofkria...istoshe nchi yao inaenda kugawanyika vipande vipande...Wakenya hawafai..
Ametukamata kuoa Kenya? Kupiga mifugo mnada? Kuchoma vifaranga?
I say na wewe una mapenzi ya ajabu. Sie tunaongelea mambo makubwa yanayohusu geopolitics, sasa hivyo vingine ni namna tu ya kum-profile Magufuli ili uelewe ni mtu wa aina gani. Magufuli anapopiga mnada ng'ombe wa Masai wa Kenya watu wenye akili wanaona beyond ng'ombe kupigwa mnada. Inaonekana wewe unachoona ni kwamba serikali imepata hela ya kuuza ng'ombe wa Kenya na ndio unatetetea.
Let me tell you something lover boy, sidhani kama kuna Mtanzania mwenye akili ambaye hatafurahia Magufuli kuondoa ufisadi, kulinda rasilimali zetu, kuondoa uozo wa uongozi. Lakini kuna mamia ya Watanzania ambao watajiuliza kama ni busara kwa Magufuli kubomoa nyumba za watu bila kufuata utaratibu wa kisheria, kukaidi amri za mahakama, kuvunja katiba kimakusudi, kuzuia ushiriki wa Tanzania katika taaasisi za kimataifa ambazo sisi ni wanachama, kutumbua watu kishabiki, kutumia fedha za serikali bila kufuata taratibu za kitaifa za ununuzi au uanzishaji miradi ya kitaifa, kukandamiza vyama vya upinzani, kunyanyasa viongozi wa upinzani kwa kutumia polisi, kutoa maagizo kwa Bunge kukandamiza wapinzani, nk.
Elewa tunakiri kwamba Magufuli anafanya mazuri mengi tu, lakini hayafanyi iwe halali yeye kufanya yale mengine mabaya mengi tu. Hivi wewe utakubali daktari akutendee kinyume cha maumbile na kuona ni sawa na halali kwake kufanya hivyo kwa kuwa alikufanyia operation na kuokoa uhai wako au wa mtu wako wa karibu? Tumia akili sio ushabiki kutafakari mambo.
Sio Tanzania hata marekani ...mpaka wamemtoa rais pekee mweusi obamaArdhi yao wameshikilia matajiri wachache,mgawanyo wao wa ardhi si mzuri ,ndio maana wanakimbilia Tanzania
Kwani wewe una kaziKnock out kapigwa Uhuru
Hakuna mtanzania mwenye akili timamu anaweza kwenda kenya kuomba kazi,wao ndio wanakuja kwetu kupora kazi na wanataka sana ardhi yetu
Knock out kapigwa Uhuru
Hakuna mtanzania mwenye akili timamu anaweza kwenda kenya kuomba kazi,wao ndio wanakuja kwetu kupora kazi na wanataka sana ardhi yetu
Uamuzi wa Rais Magufuli wa hivi karibuni wa kupiga mnada ng'ombe wa Masai waliovuka kuja Tanzania, uchomaji wa vifaranga na mapokezi ya kiserikali ya Odinga alipoitembelea Tanzania hivi karibuni, wengi wamesema yaliingiza Tanzania na Kenya katika uhusiano mbaya kuliko ilivyowahi kutokea tangu ilipovunjika Jumuiya ya Afrika Mashariki miaka ya 1978.
Wengi walitegemea Kenya ingeanza kulipiza kisasi katika mambo kadhaa madogo madogo na makubwa. Lakini cha ajabu kabisa, wakati wa kuapa kwake, Uhuru Kenyatta ametamka kuwa Watanzania wanakaribishwa Kenya na wahudumiwe kama vile raia wa Kenya wanavyohudumiwa, na hata wakiomba kazi wapewe bila masharti. Uhuru hata akatania kwamba hata Watanzania na Wakenya wakitaka kuoana wasiwekewe masharti!
Taarifa nchini Kenya zinaonyesha kwa kufanya hivyo Kenyatta amemtoa kwa knock out Rais Magufuli katika round ya kwanza kabisa! In fact, wengi wanasema "it must be very embarrassing kwa Magufuli". Wale walio katika mtazamo wa kidini wanasema Kenyatta amemwacha Magufuli ajiwekee makaa ya moto kifuani!
Ushauri wangu wa bure kwa Rais Magufuli ni kwamba pengine sasa ni wakati wa yeye kutafakari kwa kina kwamba kuna mambo katika uongozi ambayo ni kweli yanahitaji utumiaji wa nguvu, u-bulldozer, kwa mfano ufisadi, ujambazi, nk. Lakini kuna mambo mengi sana yanahitaji utumiaji wa busara na diplomasia. Nitawakumbusha machache kati ya mambo ambayo Rais Magufuli alitumia nguvu pale ambapo haikutakiwa kutumia nguvu, tangu kabla hajawa raisi hadi sasa;
- Kugomea usafirishaji wa boti za kasi toka Dar kwenda ziwa Victoria - ambapo baadaye Kenya walikubali zipelekwe Ziwa Victoria kupitia barabara zao kutoka bandari ya Mombasa
- Kufukuza mkandarasi wa barabara bila kufuata utaratibu wa kisheria - ambapo matokeo yamekuwa bombardier yetu kushikiliwa Canada
- Kugomea mega-buses zilizokuwa zikisafirishwa kwenda Zambia kupita barabara ya Tanzam - ambapo baadaye JK aliamuru ziruhusiwe
- Kushinikiza jengo la TANESCO libomolewe (wakati wa JK) badala ya kutafuta njia mbadala - ambapo JK alimwamuru Pinda amkatalie kubomoa jengo hilo (baada ya kuwa Rais Magufuli karudi tena kuamuru libomolewe kwa kuwa yeye ndiye Rais sasa)
- Kuchoma vifaranga na kupiga mnada ngo'ombe wa Masai waliovuka kuja Tanzania kwa desturi ya Kimasai iliyodumu kwa mamia ya miaka - ambapo Kenya walitoa tamko hawatalipiza kisasi
- Kutumbua viongozi kwa mambo madogo madogo kama kutoa kauli asiyoipenda - ambapo wengi wao imebidi waendelee kupata mishahara bila kuwa kazini au kuonekana walitumbuliwa kimakosa
- Ubomoaji wa nyumba za watu kulingana na sheria ya eneo la barabara iliyobadilishwa - ambapo kisheria mtu aliyejenga kwa kibali cha serikali au kuishi eneo katazwa muda mrefu bila kuingiliwa na serikali ana haki ya kufidiwa anapobomolewa
- Kutoa amri kwa hisia (impulsive directives) - ambapo mara nyingine zimekuwa ni kinyume na katiba ya nchi na hata kuleta migogoro ya kisiasa nchini
- Kuzuia safari za nje za ku-ujumla hata zile ambazo zimefadhiliwa na ni sehemu ya uanachama wetu katika tasisisi za kimataifa pamoja na zile za Umoja wa Mataifa - ambapo ushiriki wa Tanzania katika mambo ya kimataifa sasa umekuwa nyuma na kusababisha tukose fursa nyingi za kimaendeleo
- Nk, nk, nk
Duh! You must really abhor the honourable gentleman . On second thoughts though, isn't that a measure of great persons of this world especially Africa? What then would you say about the one who could only stand against a "black box"? Would you "disrobe" him of the posthumous saintly aura he enjoys in this great nation of ours?Believe me, there is a bigger AH, the bigger devil, in one of the East African countries that would not have any qualms about being sworn in as president if there was only 10% of the voter turnout! I have seen all the symptoms.
Vizuri umempa za akili kubwa na wengine waelewe somo. Watanzania wengi wametapakaa kila kona ya Dunia na kutuma pesa nyumbani ambazo zinakuza uchumo.jaribuni kupata exposure muone fursa na siyo kushinda bongo mkipiga mizinga na majunguHivi wewe uliwahi kufika kenya?Husipende kuongea hivyo.Nenda Mombasa,Nairobi na kisumu ndo utagundua kwamba watanzania wamejikita ktk sekta mbali mbali kwa ajili ya kijikwamua ktk shughuli mbali mbali.Mfano mombasa tu eneo la mwembe tayari utafikiri uko usambaani na Moshi vijana wanachakarika ile mbaya.Hapa simtetei mtu ila ninakufungua macho.