UHURU DAY: TUWAKUMBUKE MASHUJAA WA UHURU WA TANGANYIKA

Asante mzee Mohammed, taarifa chache nilizopata hapa kwamba mikutano ya awali ya ukombozi ilifanyikia misikitini hasa Msjidi Idrissa. Hii kwania kuwapoteza maboya wakoloni na vibaraka wao. Weka ukweli kuhusu jambo hilo mzee wetu
 
6b8925a1ab7ea79550fb59dc4c35b80c.jpg
Kutoka kulia waliosimama:
1. Abdallah Shomari (Tandamti no. 3 )
2. Nassoro kalumbanya (simba str.)
3. Said Chamwenyewe (Aggrey/Congo str.)
4. Mtoro Ally (Muhonda str.)
5. John Rupia (Misheni kota)
6. Julius Nyerere( Pugu Sekondari ) 7. Said Chaurembo (Congo/ Mkunguni str.)
8. Jumbe Tambaza( Upanga )
9. Sheikh Suleiman Takadir (Mafia /Swahili)
10. Dossa Aziz ( Mbaruku /Somali kipande )
11. Mshume Kiyate (Tandamti)
12. Juma Sultan (Kitchwele karibu na kanisa dogo )
13. Maalim Shubeti (Masasi/ Likoma)
14. Rajab Simba ( kiungani str.)
15. Waziri Mtonga (Kilosa no.18, Ilala)
16. Mwinjuma Mwinyikambi ( Mwananyamala)
17. Maxi Mbwana ( Aggrey /Kongo)
 
Back
Top Bottom