Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 20,900
- 30,235
UHURU DAY: TUWAKUMBUKE MASHUJAA WA UHURU WA TANGANYIKA
Mohamed Said December 08, 2017 0
Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere
(1922 - 1999)
MASHUJAA WALIONYANYUA SILAHA
Bushiri Bin Harith
Sultani Abdulrauf Songea Mbano
Shujaa wa Maji Maji
Selemani Mamba
Shujaa wa Maji Maji
MISINGI YA UTAIFA ILIYOWEKWA NA AFRICAN ASSOCIATION
1929 - 1954
Kushoto aliyesimama ni Ally Kleist Sykes, na kulia kwake ni
Abdulwahid Kleist Sykes, mbele kushoto ni Kleist Sykes
Mbuwane na Abbas Kleist Sykes. Katika hawa aliye hai ni Abbas.
Ukoo huu umeacha kumbukumbu nyingi kwa maandishi katika harakati za
kuunda African Association 1929 na kuunda TANU 1954. Picha hii imepigwa
mwaka wa 1942 Abdul aliporudi Dar es Salaam kutoka Lower Kabete Kenya
alipokuwa akipata mafunzo ya kijeshi katika King's African Rifles kabla
hajakwenda Burma kujiunga na Burma Infantry. Angalia utaona Abdul amevaa
sare ya Jeshi la Mfalme wa Uingereza. Ilikuwa akiwa Burma Vita Vya Pili Vya Dunia
(1938 - 1945) ndipo alipoamua kuwa 6th Battalion iliyokuwa na askari kutoka
Tanganyika waunde TANU wakirudi Tanganyika kudai uhuru.
WAZALENDO WAPIGANIA UHURU KATIKA TANU
1954 - 1961
Waasisi wa TANU 7 Julai 1954
Baraza la Wazee wa TANU
Barua ya kujiuzulu kazi ya Mwalimu Julius Nyerere, 1955
Hamza Kibwana Mwapachu
(1913 - 1962)
Abdulwahid Sykes
(1924 - 1968)
Kushoto: Dossa Aziz, Julius Nyerere, Abdulwahid Sykes na Lawi Sijaona
katika dhifa ya kumuaga Nyerere safari ya pili UNO 1957
Kushoto: Bi. Tatu bint Mzee, wa tatu Julius Kambaraga Nyerere wa tano Bi. Titi Mohamed wanamsindikiza Mwalimu Nyerere Uwanja wa Ndege safari ya UNO 1955
Kulia: Bi. Titi Mohamed, Clement Mohamed Mtamila, Sheikh Suleiman Takadir, Julius Nyerere
Nyuma kulia: John Rupia, Rajab Diwani na Mama Maria Nyerere
UPINZANI WA SHEIKH HUSSEIN JUMA (UTP) 1956
NA
ZUBERI MTEMVU (ANC) 1958
Sheikh Hussein Juma
Vice President United Tanganyika Party
Zuberi Mtemvu
President African National Congress
MIKUTANO YA TANU MNAZI MMOJA NA JANGWANI 1954/55
Idd Faiz Mafungo (Mweka Hazina wa TANU na Al Jamiatul Islamiyya) Mratibu wa safari ya Baba wa Taifa UNO 1955,
Sheikh Mohamed Ramiyya wa Bagamoyo, Julius Kambarage Nyerere, Abdu Kandoro na Haruna Taratibu Dodoma 1956
Kulia: Sheikh Issa Nasir, Oscar Kambona, Bi. Mugaya Nyang'ombe kulia kwa Mwalimu Nyerere Rajab Diwani
Karimjee Hall
Mohamed Said December 08, 2017 0
Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere
(1922 - 1999)
MASHUJAA WALIONYANYUA SILAHA
Bushiri Bin Harith
Sultani Abdulrauf Songea Mbano
Shujaa wa Maji Maji
Selemani Mamba
Shujaa wa Maji Maji
MISINGI YA UTAIFA ILIYOWEKWA NA AFRICAN ASSOCIATION
1929 - 1954
Kushoto aliyesimama ni Ally Kleist Sykes, na kulia kwake ni
Abdulwahid Kleist Sykes, mbele kushoto ni Kleist Sykes
Mbuwane na Abbas Kleist Sykes. Katika hawa aliye hai ni Abbas.
Ukoo huu umeacha kumbukumbu nyingi kwa maandishi katika harakati za
kuunda African Association 1929 na kuunda TANU 1954. Picha hii imepigwa
mwaka wa 1942 Abdul aliporudi Dar es Salaam kutoka Lower Kabete Kenya
alipokuwa akipata mafunzo ya kijeshi katika King's African Rifles kabla
hajakwenda Burma kujiunga na Burma Infantry. Angalia utaona Abdul amevaa
sare ya Jeshi la Mfalme wa Uingereza. Ilikuwa akiwa Burma Vita Vya Pili Vya Dunia
(1938 - 1945) ndipo alipoamua kuwa 6th Battalion iliyokuwa na askari kutoka
Tanganyika waunde TANU wakirudi Tanganyika kudai uhuru.
WAZALENDO WAPIGANIA UHURU KATIKA TANU
1954 - 1961
Waasisi wa TANU 7 Julai 1954
Baraza la Wazee wa TANU
Barua ya kujiuzulu kazi ya Mwalimu Julius Nyerere, 1955
Hamza Kibwana Mwapachu
(1913 - 1962)
Abdulwahid Sykes
(1924 - 1968)
Kushoto: Dossa Aziz, Julius Nyerere, Abdulwahid Sykes na Lawi Sijaona
katika dhifa ya kumuaga Nyerere safari ya pili UNO 1957
Kushoto: Bi. Tatu bint Mzee, wa tatu Julius Kambaraga Nyerere wa tano Bi. Titi Mohamed wanamsindikiza Mwalimu Nyerere Uwanja wa Ndege safari ya UNO 1955
Kulia: Bi. Titi Mohamed, Clement Mohamed Mtamila, Sheikh Suleiman Takadir, Julius Nyerere
Nyuma kulia: John Rupia, Rajab Diwani na Mama Maria Nyerere
UPINZANI WA SHEIKH HUSSEIN JUMA (UTP) 1956
NA
ZUBERI MTEMVU (ANC) 1958
Sheikh Hussein Juma
Vice President United Tanganyika Party
Zuberi Mtemvu
President African National Congress
MIKUTANO YA TANU MNAZI MMOJA NA JANGWANI 1954/55
Idd Faiz Mafungo (Mweka Hazina wa TANU na Al Jamiatul Islamiyya) Mratibu wa safari ya Baba wa Taifa UNO 1955,
Sheikh Mohamed Ramiyya wa Bagamoyo, Julius Kambarage Nyerere, Abdu Kandoro na Haruna Taratibu Dodoma 1956
Kulia: Sheikh Issa Nasir, Oscar Kambona, Bi. Mugaya Nyang'ombe kulia kwa Mwalimu Nyerere Rajab Diwani
Karimjee Hall