kimarabucha
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 791
- 621
Kikwete kapata FAIDA gani kumkata lowassa? Mbona nae kashindwa kukamilisha malengo yake ya kuweka Membe?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii habari ni kutoka gazeti la Mwananchi. Mwanalumumba kaizoa tu. Niliwaambia Mwananchi kuwa wamechoka pamoja na kuwa ni haki yao kuandika cho chote maana ndiyo kazi yao.
Huyu popoma ufipa_kinondoni hajielewi kama uchwara wake. Labda kasahau kuwa uchwara amejinasibu na Raila hadi aibu.
Uchwara kwa hii miaka miwili kajipambanua kwa chuki na matumizi mabaya ya raslimali za taifa. Anahujumu upinzani kwa namna ile ile ya hoja za kichina. Tuombe Mungu Lowasa awe boya kwa manufaa ya uchwara. Tunaoelewa kampeni za 2020 zilishaisha siku nyingi na hazitegemei nani atampigia nani kampeni. Uchambuzi wa kina unaonyesha kuwa uchaguzi was 2020 ni hati hati kwa sababu ya serikali kukabiliwa na utata wa kuendesha siasa baada ya kukanyaga katiba na sheria za nchi. Viwonder vinajengwa kwa kasi, nafasi zilizo wazi za kisiasa kwa sasa haijulikani zitajazwaje.
Kwa ujumla hoja zinazolenga nafsi ya mtu badala ya maono, matendo na mafanikio yake ni hoja za kipumbavu zisizo endelevu.
Naona huna majibu ya hoja zangu. Pole, tafuta hekima na busara kwenye mijadala.Hii taarifa umeichukia nini? Kwa vile nimeileta au Mwananchi wamechapisha?
Hatutaki tukosolewe ila tukosowe!!!
Tusikilize wote ili tijirekebishe. Haitasaidia ukichukia.
Naona huna majibu ya hoja zangu. Pole, tafuta hekima na busara kwenye mijadala.
JPM 2015-2025 na akimaliza tunamuongezea mingine.Hata uhuru amuunge mkono 2020 wanaopiga kura ni watanzania na hawawezi kuamuliwa na mgeni yeyote kumchagua mtu fulani...hii ni tz na ile ni kenya.
Sent using Jamii Forums mobile app