Uhitaji wa whatsapp newsletter application ni fursa kwa developers

miamiatz

JF-Expert Member
Dec 4, 2017
504
927
Habari wakuu,

Wote tunajua kuwa mambo ya kutumiwa news na mambo nyeti kwa whatsapp ni jambo muhimu sana badala ya zile email newsletters zilizozoeleka. Watu wengi wanaitumia njia ya whatsapp groups na whatsapp broadcast kufikia lengo.

Ila njia hizi ni too mannual ikimaanisha lazima uwasevu watu kwa simu yako, ucreate list then ukicreate content kwa blog ama popote ukopy url ama shortnote uipaste utume.

Pia tunajua groups zina limit ya 256 participants kama sikosei. Kwa mtu anaetaka kutuma kwa watu 10,000 ama zaidi kwa siku inakuwa ni kitengo kabosa cha kuajiri mtu.

Hivyo basi hii ni fursa adhimu ya kuandaa application inayomuwezesha mtumiaji kukusanya subscribers wa whatsapp newsletters, na messenger newsletters.

Application inafaa kuwa simple na inayoweza kutumia kwenye whatsapp newsletters, fb messenger newsletters, etc.

Mtumiaji anaweza kuwa mmiliki wa blog ama mmiliki wa website inayohitaji kutuma alerts kwa watu wengi kupitia whatsapp, fb messenger, etc.

Kuna wanaofanya hii biashara kwa nchi za ughaibuni ila kwa afrika mashariki bado sijaiona. Ni fursa angavu sana kwa huku afrika mashariki mana zile za kule nje ni ghali sana kiasi kwamba unakuta mtumiaji wa application analipia zaidi ya dola 1200 kwa mwezi.

We need something cheap inayomuwezesha mtu kutuma kwa watu wengi bila kutumia muda mwingi kufanya mannually.

App inafaa iwe na phonebook, iwe na whatsapp business api, etc ili kuweza kutumia feature ya whatsapp broadcast kwenye kusambaza newsletters.
 
Kama Whatsapp ina option ya kufanya integration ya hizo newsletter inawezekana
Japokuwa inaweza kuongeza idadi katika kusomwa/kupitiwa na wateja ukilinganisha na gmail au yahoo n.k watu wakichoka kutumiwa wana kublock. Kwa kuwakera na newsletter kila Mara ni tofauti na zile za google watu uzipptezea
Ila tujaribu pia kama kuna uwezekano Wa Whatsapp kuto integration access
 
Kama Whatsapp ina option ya kufanya integration ya hizo newsletter inawezekana
Japokuwa inaweza kuongeza idadi katika kusomwa/kupitiwa na wateja ukilinganisha na gmail au yahoo n.k watu wakichoka kutumiwa wana kublock. Kwa kuwakera na newsletter kila Mara ni tofauti na zile za google watu uzipptezea
Ila tujaribu pia kama kuna uwezekano Wa Whatsapp kuto integration access
Mtu kukublock inategemea na issue unazotuma. Mfano kuna wakati unapata request za watu wengi kuwa ukipost makala naomba nitumie kwa whatsapp pls.

Hapa tayari mtu kashapenda content. Sasa hawa watu wanakuwa wengi kwaiyo ukiweza kucreate newsletter ambazo ni simple ambayo mtu atasoma summary ya ile post. Hii application inapaswa kuwa na uwezo wa kuwa installed kwenye CMS kama plugin na iwe na sehemu ya kutype summary ambayo unataka watu wa whatsapp waipate.

Linkback ya full content inapaswa iwe chini kabisa iwe inserted automatically.

Actually haihitaji whatsapp inc kutoa access mana kinachohitajika ni kupata namba za watu. Mtu aweze kusubscribe na akisubscribe app iweze kuingiza details za subscriber kwa database table.

Pia itafaa zaidi application yenyewe ikawa na uwezo wa kuweka adsense code ikawa inaenda na link ads as well.

I can draw how this shall work but I know little about applications/plugins development.

Ila nna hakika ikitengenezwa inaweza kuwa na users wengi sana.

Pia lazima application iweze ku autocreate broadcast groups ili kama user amesubscribe na broadcast group moja limejaa kulingana na limitation za whatsapp then awekwe kwenye broadcast group linalofata.

Whatsapp for business tayari inasupport managing customers/clients online hivyo ni rahisi ku autocreate broadcast groups as many as possible.

Hebu great thinkers njooni tuidadavue hii opportunity mana huku jf kumejaa magreat thinkers.

Courtesy of miamiatz
 
Actually I am willing to invest up to 1,000 usd kwa anaeweza kushirikiana nami kuimpliment hii project. Kumbuka lazima application isambazwe kupitia njia rasmi. Kwaiyo ni lazima kujisajili na taasisi husika ili kufanya biashara hii.

I see it is the future of newsletter. Hata kama apllication ikitumiwa na taasisi na bloggers 300 ndani na nje na kila taasisi ama blogger akichangia 2,000 kwa mwezi basi mapato ghafi ni 600,000 kwa mwezi.

Ukizidisha mara 12 ni 7.2m kwa mwaka. Bloggers na taasisi hasahasa za habari kama mcl, etc watakuwa willing kulipia mana kila newsletter inampa mileage na anaweka adsense links kwa newsletter.

Anaweza kupata zaidi ya 30,000 kwa mwezi kupitia adsense ads zilizoambatana na newsletter. Kwaiyo option ya kucharge more kwa taasisi na bloggers ipo pia.

Imagine mtu anasubscribe youtube ili afatilie videos za blogger/media flani ili apate alerts kuwa kuna video mpya imepostiwa youtube.

Je subscribers wa hizi mambo watakuwa wangapi. Unajua habari ngapi zinawapita watu kwa kushindwa kusoma websites zote za media kubwa nchini.

Kwaiyo issue ya kublokiwa naiona itawatokea wataoamua kusambaza video za porn na hate speech ila kwa wanahabari ni bonge la dili kupata njia ya kufikisha habari kwa followers wake kiganjani automatically without sny hustle.

Alieielewa project pls tujadili tuandae project plan hii kitu tuifanye hata kama italazimu ku hire developers wa develop then tuivest kuifanyia marketing. Payback period yake hata mwaka hauishi.

Courtesy of miamiatz
 
Habari wakuu,

Wote tunajua kuwa mambo ya kutumiwa news na mambo nyeti kwa whatsapp ni jambo muhimu sana badala ya zile email newsletters zilizozoeleka. Watu wengi wanaitumia njia ya whatsapp groups na whatsapp broadcast kufikia lengo.

Ila njia hizi ni too mannual ikimaanisha lazima uwasevu watu kwa simu yako, ucreate list then ukicreate content kwa blog ama popote ukopy url ama shortnote uipaste utume.

Pia tunajua groups zina limit ya 256 participants kama sikosei. Kwa mtu anaetaka kutuma kwa watu 10,000 ama zaidi kwa siku inakuwa ni kitengo kabosa cha kuajiri mtu.

Hivyo basi hii ni fursa adhimu ya kuandaa application inayomuwezesha mtumiaji kukusanya subscribers wa whatsapp newsletters, na messenger newsletters.

Application inafaa kuwa simple na inayoweza kutumia kwenye whatsapp newsletters, fb messenger newsletters, etc.

Mtumiaji anaweza kuwa mmiliki wa blog ama mmiliki wa website inayohitaji kutuma alerts kwa watu wengi kupitia whatsapp, fb messenger, etc.

Kuna wanaofanya hii biashara kwa nchi za ughaibuni ila kwa afrika mashariki bado sijaiona. Ni fursa angavu sana kwa huku afrika mashariki mana zile za kule nje ni ghali sana kiasi kwamba unakuta mtumiaji wa application analipia zaidi ya dola 1200 kwa mwezi.

We need something cheap inayomuwezesha mtu kutuma kwa watu wengi bila kutumia muda mwingi kufanya mannually.

App inafaa iwe na phonebook, iwe na whatsapp business api, etc ili kuweza kutumia feature ya whatsapp broadcast kwenye kusambaza newsletters.

Nawasilisha

Kwa hisani ya miamiatz[url][/url]
It's true

Kunahitajika local solution for this

Nimesubscribe kwenye newsletters za India na Us eg Bloomberg wananitumia news kwa siku mara 3

Kukiwa na tukio muhimu mfno mkutano kama Davos wananiuliza kama ningependa kusubscribe pia kwa news specific kutoka hilo tukio, nikikubali zinaendelea kuflow.

Let's chat on how to have local solution

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari wakuu,

Wote tunajua kuwa mambo ya kutumiwa news na mambo nyeti kwa whatsapp ni jambo muhimu sana badala ya zile email newsletters zilizozoeleka. Watu wengi wanaitumia njia ya whatsapp groups na whatsapp broadcast kufikia lengo.

Ila njia hizi ni too mannual ikimaanisha lazima uwasevu watu kwa simu yako, ucreate list then ukicreate content kwa blog ama popote ukopy url ama shortnote uipaste utume.

Pia tunajua groups zina limit ya 256 participants kama sikosei. Kwa mtu anaetaka kutuma kwa watu 10,000 ama zaidi kwa siku inakuwa ni kitengo kabosa cha kuajiri mtu.

Hivyo basi hii ni fursa adhimu ya kuandaa application inayomuwezesha mtumiaji kukusanya subscribers wa whatsapp newsletters, na messenger newsletters.

Application inafaa kuwa simple na inayoweza kutumia kwenye whatsapp newsletters, fb messenger newsletters, etc.

Mtumiaji anaweza kuwa mmiliki wa blog ama mmiliki wa website inayohitaji kutuma alerts kwa watu wengi kupitia whatsapp, fb messenger, etc.

Kuna wanaofanya hii biashara kwa nchi za ughaibuni ila kwa afrika mashariki bado sijaiona. Ni fursa angavu sana kwa huku afrika mashariki mana zile za kule nje ni ghali sana kiasi kwamba unakuta mtumiaji wa application analipia zaidi ya dola 1200 kwa mwezi.

We need something cheap inayomuwezesha mtu kutuma kwa watu wengi bila kutumia muda mwingi kufanya mannually.

App inafaa iwe na phonebook, iwe na whatsapp business api, etc ili kuweza kutumia feature ya whatsapp broadcast kwenye kusambaza newsletters.

Nawasilisha

Kwa hisani ya miamiatz[url][/url]
Safi sana... Developers kazi kwenu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Actually I am willing to invest up to 1,000 usd kwa anaeweza kushirikiana nami kuimpliment hii project. Kumbuka lazima application isambazwe kupitia njia rasmi. Kwaiyo ni lazima kujisajili na taasisi husika ili kufanya biashara hii.

I see it is the future of newsletter. Hata kama apllication ikitumiwa na taasisi na bloggers 300 ndani na nje na kila taasisi ama blogger akichangia 2,000 kwa mwezi basi mapato ghafi ni 600,000 kwa mwezi.

Ukizidisha mara 12 ni 7.2m kwa mwaka. Bloggers na taasisi hasahasa za habari kama mcl, etc watakuwa willing kulipia mana kila newsletter inampa mileage na anaweka adsense links kwa newsletter.

Anaweza kupata zaidi ya 30,000 kwa mwezi kupitia adsense ads zilizoambatana na newsletter. Kwaiyo option ya kucharge more kwa taasisi na bloggers ipo pia.

Imagine mtu anasubscribe youtube ili afatilie videos za blogger/media flani ili apate alerts kuwa kuna video mpya imepostiwa youtube.

Je subscribers wa hizi mambo watakuwa wangapi. Unajua habari ngapi zinawapita watu kwa kushindwa kusoma websites zote za media kubwa nchini.

Kwaiyo issue ya kublokiwa naiona itawatokea wataoamua kusambaza video za porn na hate speech ila kwa wanahabari ni bonge la dili kupata njia ya kufikisha habari kwa followers wake kiganjani automatically without sny hustle.

Alieielewa project pls tujadili tuandae project plan hii kitu tuifanye hata kama italazimu ku hire developers wa develop then tuivest kuifanyia marketing. Payback period yake hata mwaka hauishi.

Courtesy of miamiatz
Nimeielewa hii

Sent using Jamii Forums mobile app
 
It's true

Kunahitajika local solution for this

Nimesubscribe kwenye newsletters za India na Us eg Bloomberg wananitumia news kwa siku mara 3

Kukiwa na tukio muhimu mfno mkutano kama Davos wananiuliza kama ningependa kusubscribe pia kwa news specific kutoka hilo tukio, nikikubali zinaendelea kuflow.

Let's chat on how to have local solution

Sent using Jamii Forums mobile app
Kama unaunga mkono hoja basi funguka mkuu kama kweli upo tayari tuingie kwenye hii issue fasta kabla haijabebwa na wasoma ideas.

Na ikiwezekana nikuunge kwenye project management portal yetu kwenyee hii specific project.

Tuandae project plan fasta tukutane tujuane tujadili tufanye kazi haraka.

Ila yafaa tumobilize watu kama watatu wengine tuwe watano. Nahisi patahitajika mkwanja. Mi nimelimit kuweka usd 1000 najua haitoshi ila tukiwa wengi issue inakamilika.

I guess inahitaji around usd 3000 - 4000.

Courtesy of miamiatz
 
Nahisi tukiitangaza kazi freelancer.com kuna watu watadevelop faster. Ila kwanza tujimobilize wenyewe kimkwanja na ki idea tunataka ikaaje na ifanyaje.

Mana cha msingi ni kuweza kuintergrate na CMS kama joomla, blogspot, wordpress, na hata sites za kawaida zisizo na cms.

Courtesy of miamiatz
 
Nahisi tukiitangaza kazi freelancer.com kuna watu watadevelop faster. Ila kwanza tujimobilize wenyewe kimkwanja na ki idea tunataka ikaaje na ifanyaje.

Mana cha msingi ni kuweza kuintergrate na CMS kama joomla, blogspot, wordpress, na hata sites za kawaida zisizo na cms.

Courtesy of miamiatz
Yah true, am also looking trying to ask hawa indian nilio jisubscribe kwao

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ipo hii ya nje ambayo charges zake sio rafiki kwa watanzania. Bado nafanya research kama wa reseller package.

Courtesy of miamiatz
 
Actually the software wont cost more than 400 usd but server, human resources, office, etc will cost more. We might end up spending 5m upfront.

Courtesy of miamiatz
 
Hayo yote yanawezekana kwa kutumia telegram

telegram supergroups inachukua watu mpaka 100000,telegram channel inachukua watu unlimited

pia inawezekana kwa sababu telegram ni open source project pia API yako iko public mtu yoyote anaweza kutazama na kuunda applications anazohitaji

Idea yako ni lazima uwe na API kama utatumia whatsApp labda utumie modified whatsApp ambazo wametangaza kuzifungia pia ni KINYUME CHA SHERIA

Kuweza kufanikisha lengo lako kwenye telegram lazima utumie Telegram bot kisha unganishe hiyo bot na channel

inamaana taarifa zitaanzia kwenye bot ziende kwenye api kisha iende kwenye channel

kiufupi unachofikiria kishafanyika kwa baadhi ya watumiaji wakubwa wa telegram(sio tanzania) pia kinawezekana FOR FREE kupitia telegram

kutumia whatsApp utazunguka sana kuweza kufanikisha

kama upo serious ni pm nikupe ushauri zaidi wa kibiashara
 
Hayo yote yanawezekana kwa kutumia telegram

telegram supergroups inachukua watu mpaka 100000,telegram channel inachukua watu unlimited

pia inawezekana kwa sababu telegram ni open source project pia API yako iko public mtu yoyote anaweza kutazama na kuunda applications anazohitaji

Idea yako ni lazima uwe na API kama utatumia whatsApp labda utumie modified whatsApp ambazo wametangaza kuzifungia pia ni KINYUME CHA SHERIA

Kuweza kufanikisha lengo lako kwenye telegram lazima utumie Telegram bot kisha unganishe hiyo bot na channel

inamaana taarifa zitaanzia kwenye bot ziende kwenye api kisha iende kwenye channel

kiufupi unachofikiria kishafanyika kwa baadhi ya watumiaji wakubwa wa telegram(sio tanzania) pia kinawezekana FOR FREE kupitia telegram

kutumia whatsApp utazunguka sana kuweza kufanikisha

kama upo serious ni pm nikupe ushauri zaidi wa kibiashara
It works on all messengers. See atms.at

The flow is:
-user visits a website
-user reads sports articles
-user intends to leave the website
-a box pops up asking him to subscribe to whatsapp newsletter
-user inputs mobile phone number
-user inputs category of preferred articles
-the website stores the phone number and preferences to a subscribers database table
-the db table is structured to contain a limit of 250 subscribers
-the 251st subscriber will be saved in the next db table auto created and auto incremented
-the 501st subscriber will be saved in bext db table and so on
-website sends a whatsapp msg to the phone number telling her to save the number from which the msg came from
-next time a post is published in the website the author fills a box with summary to be sent to whatsapp subscribers
-once the post is published the users will get a summary based on the category of the post and which users subscribed to that category.

Courtesy of miamiatz
 
Back
Top Bottom