Uhitaji wa chumba maeneo ya mbezi mwisho karibu na stendi mpya

walitola

JF-Expert Member
Nov 28, 2014
4,796
5,520
Habari wandugu, mimi naishi maeneo ya mbezi mwisho, naitaji mtu wa kunirudishia kodi hili nimwachie chumba na sebule ila choo nje. Sababu ya kuama nimeamishwa kazi sasa kutoka home mpaka kazini ni mbali sana kiasi kinachopelekea kuchelewa kazini na kuongezeka gharama kubwa sana.

Kama kuna mtu atakuwa yupo tayali au mtu yoyote ambae anataka chumba maeneo ya mbezi naomba umtaarifu tafazali, kuhusu maji na umeme hakuna usumbufu.
 
Haujaweka kodi ni ngapi per Month.?
Na location pia mana mbezi mwisho ni kubwa sana.
 
Haujaweka kodi ni ngapi per Month.?
Na location pia mana mbezi mwisho ni kubwa sana.
Kodi ni 80,000/= kwa mwezi bosi pia location si mbali kaka kuna njia inaenda makabe ya vumbi ipo roundabout pale kama unaenda goba, sasa unaenda na ya makabe unatembea kama dakika 20 au 25 unakuwa ushafika home
 
Kodi ni 80,000/= kwa mwezi bosi pia location si mbali kaka kuna njia inaenda makabe ya vumbi ipo roundabout pale kama unaenda goba, sasa unaenda na ya makabe unatembea kama dakika 20 au 25 unakuwa ushafika home
Mnarani unafika ? Au kule darajani ? Au Ni makaburini ? Au mtaa wa OG ? Be specific mAn, ikiwezekana na picha mbili tatu kunogesha Uzi
 
Mnarani unafika ? Au kule darajani ? Au Ni makaburini ? Au mtaa wa OG ? Be specific mAn, ikiwezekana na picha mbili tatu kunogesha Uzi
Mkuu pale mnarani nashuka mpk daraja la lubokwe kulia unaenda au ukiuliza kwa ngosha maeneo hayo
 
Nasubiri atoe majibu ya haya maswali niweze kufanya maamuzi
Mkuu we fanya maamuzi wala usijali mazingira yapo powa kabisa maji ya kutosha na umeme matumizi yapo flesh kabisa na location si mbali ukifika mnarani unashuka kwa chini au ukiuliza kwa ngosha ndio maeneo hayo
 
Back
Top Bottom