Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 10,877
- 2,756
Kuna wadau wawili mwanamke na mwanaume. Wote wana ndoa zao. Wameanza kuchakachuana tangu 2001 hivi na hadi leo hawana dalili za kubandukana. Mke mumewe anajua kinachoendelea ila kachemka kuzuia. Sasa hawa wagoni ndio kwamba wanapendana sana? Ndio kusema wangeoana wasingechakachua? Nadhani unapotafuta mwenza tafuta anayekuvutia ili kuepuka haya.