Ila daaa inauma sana kwa kweli kwenye swala la utani umakini unahitajika sanaPwani
baba alijiua kwa kunywa sumu baada ya kugunduwa mwanaye anafanya na mkewe
Mwanza
baba alikuta mwanaye na mkewe wanatafunana ,akapiga mapanga akaua wote, habari zote ziko humu JF