Uhamiaji yamchunguza mgombea Jaffar Michael (CHADEMA)

Uhamiaji yamchunguza mgombea Jaffar Michael (CHADEMA)

PLEASE

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2013
Posts
569
Reaction score
201
Idara ya Uhamiaji imeanza kufanya uchunguzi wa madai kuwa meya wa zamani wa Manispaa ya Moshi na mgombea ubunge wa Moshi Mjini, Jaffar Michael (Chadema) siyo raia wa Tanzania.

Michael aliewekewa pingamizi na mgombea wa Chama cha Sauti ya Umma (Sau) , Issack Kireti kuwa ni raia wa Kenya, lakini baada ya kuwasilisha cheti cha kuzaliwa na pasi ya kusafiria, pingamizi hilo lilitupwa na msimamizi wa uchaguzi, Shaban Ntarambe.

Michael amekuwa diwani na Meya wa Manispaa ya Moshi kwa miaka mitano. Mkuu wa Uhamiaji Mkoa wa Kilimanjaro, Embrossy Mwanguku alisema uchunguzi kuhusiana na tuhuma za mgombea huyo kuwa ni raia wa Kenya umeanza lakini
akakataa kufafanua.

Chanzo: Mwananchi 28/08/2015
 
WASIKUUMIZE KICHWA HAYA NDIO MAJIBU

Swali: Alikuwa wapi siku zote asipande daladala?
Jibu: Alikuwa CCM

Swali: Kwa nini siku zote asinywe chai kwa mama ntilie?
Jibu: Njaa haikumwuma.

Swali: Tutampaje urais mtu anaumwa?
Jibu: Kama watu hawatakiwi kuugua hospitali zimejengwa kwa kazi gani?

Swali: Mtu mwenyewe si amekuja kwa sababu anataka tu urais?
Jibu: Ulitaka aje anapotaka urefarii wa Simba na Yanga?

Swali: Kwa nini amegonjea akatwe ndo aje?
Jibu: Wewe huwa ukikosa kazi mahali huwa unajifungia chumbani na mpenzi wako ama unatafuta kazi kwingine?

Swali: Kwa hiyo nawe utakwenda Jangwani?
Jibu: Nisipoenda mimi mawe yatakwenda.

LOWASAAAAAAAAAAAA!
 
WASIKUUMIZE KICHWA HAYA NDIO MAJIBU

Swali: Alikuwa wapi siku zote asipande daladala?
Jibu: Alikuwa CCM

Swali: Kwa nini siku zote asinywe chai kwa mama ntilie?
Jibu: Njaa haikumwuma.

Swali: Tutampaje urais mtu anaumwa?
Jibu: Kama watu hawatakiwi kuugua hospitali zimejengwa kwa kazi gani?

Swali: Mtu mwenyewe si amekuja kwa sababu anataka tu urais?
Jibu: Ulitaka aje anapotaka urefarii wa Simba na Yanga?

Swali: Kwa nini amegonjea akatwe ndo aje?
Jibu: Wewe huwa ukikosa kazi mahali huwa unajifungia chumbani na mpenzi wako ama unatafuta kazi kwingine?

Swali: Kwa hiyo nawe utakwenda Jangwani?
Jibu: Nisipoenda mimi mawe yatakwenda.

LOWASAAAAAAAAAAAA!

I like this!
 
PLEASE

Katika hili japo mi CCM damu lakini Huyu ni raia maana ni Ndugu yangu!
 
Last edited by a moderator:
watashindana sana lakini hawatashiiiiindaaaaaaaaaa,na tazama lugha yao imevurugwa na sasa hawaelewaniiiiiiiii
 
Miaka mitano alikuwa meya na diwani na muda wote huu alikuwa mtanzania.Leo anagombea ubunge eti raia wa Kenya.Ujinga mwingine haufai hata kufikiriwa.

Ndo Yale yale ya Bashe alikuwa sio raia wa Tanzania ila sahivi ni raia.
 
Hongera kwa sera madhubuti.

Queen Esther

WASIKUUMIZE KICHWA HAYA NDIO MAJIBU

Swali: Alikuwa wapi siku zote asipande daladala?
Jibu: Alikuwa CCM

Swali: Kwa nini siku zote asinywe chai kwa mama ntilie?
Jibu: Njaa haikumwuma.

Swali: Tutampaje urais mtu anaumwa?
Jibu: Kama watu hawatakiwi kuugua hospitali zimejengwa kwa kazi gani?

Swali: Mtu mwenyewe si amekuja kwa sababu anataka tu urais?
Jibu: Ulitaka aje anapotaka urefarii wa Simba na Yanga?

Swali: Kwa nini amegonjea akatwe ndo aje?
Jibu: Wewe huwa ukikosa kazi mahali huwa unajifungia chumbani na mpenzi wako ama unatafuta kazi kwingine?

Swali: Kwa hiyo nawe utakwenda Jangwani?
Jibu: Nisipoenda mimi mawe yatakwenda.

LOWASAAAAAAAAAAAA!
 
hata Ezekiel Wenje aliambiwa ni mkenya lakin kumbe muraaa yaani nchi hii bana
mkapa msumbiji
mkulo mmalawi
idd simba mrundi
dr salim. mwarabu
bashe. msomali
ila kina
dewji
manji
harun suleiman
mohamed raza
jitu son
rostam aziz
hasnain murji
sadiq murad
(ndio watanzania)
 
hata Ezekiel Wenje aliambiwa ni mkenya lakin kumbe muraaa yaani nchi hii bana
mkapa msumbiji
mkulo mmalawi
idd simba mrundi
dr salim. mwarabu
bashe. msomali
ila kina
dewji
manji
harun suleiman
mohamed raza
jitu son
rostam aziz
hasnain murji
sadiq murad
(ndio watanzania)
Wenje ni Onyango Kenya hiyo.
 
Katika hili japo mi CCM damu lakini Huyu ni raia maana ni Ndugu yangu!

Bado tu haujasanda huko hapakufai... yani ukishakua kinyume na matakwa yao wanakuwekea mizengo ya kutosha.

Je hivi baba na mama yake na nyie ndugu zake mnajisikiaje mnapoambiwa huyo sio Mtanzania????/
 
Back
Top Bottom