Uhamiaji yamchunguza mgombea Jaffar Michael (CHADEMA)

Uhamiaji yamchunguza mgombea Jaffar Michael (CHADEMA)

Mgombea wa Saut Izack Kereti amelipwa sh 400000 na mgombea Ubunge wa CCM Devis Mosha ili amuekee pingamizi Jafari na lengo ilikuwa wamkate siku anarejesha fomj ya ubunge lakini ikashindikana huyu Devis licha ya kuweka mabango Mji mzima asubir tareh 25 ndo atajia wananchi wa moshi hawachezewi hata akin na hela zake za unga lazima
Atapigwa chink
 
Ndo Yale yale ya Bashe alikuwa sio raia wa Tanzania ila sahivi ni raia.

Ukishamuona mtu ni tishio basi.Bado kidogo watasema na Lowassa siyo raia.Walisema Ulimwengu si RAIA lakini ameshikanafasi nyeti za uongozi.

Ni ujinga ambao tukiufumbia macho utatuumiza.Halafu cha kushangaza anayeweka pingamizila kijinga ni UPDP MPINZANI ambaye hata afanyeje hawezi kushinda.
 
Ukishamuona mtu ni tishio basi.Bado kidogo watasema na Lowassa siyo raia.Walisema Ulimwengu si RAIA lakini ameshikanafasi nyeti za uongozi.

Ni ujinga ambao tukiufumbia macho utatuumiza.Halafu cha kushangaza anayeweka pingamizila kijinga ni UPDP MPINZANI ambaye hata afanyeje hawezi kushinda.

yah ni kweli mkuu ndo wanakoelekea huko na hizo ni dalili za kushindwa, huyo anaeweka pingamizi ni kweli hawezi kushinda hata iweje anajipotezea muda wake tu.
 
Waziri wa mambo ya ndani na mkurugenzi wa idara ya uhamiaj wajiuzuru ili kupisha uchungu huru
 
Ndiyo maana wasomali na wahindi wameng'ang'ania CCM. Ingekuwaje kama Kinana,Bashe,Rage,Manji,Othman Kazi,wangekuwa upinzani? Kwanini tuhuma za uraia zije ukiwa upinzani au kama si team WAMA? CCM wengi si raia wa Tanzania,ndo' maana hawana uchungu na umaskini wetu.
 
PLEASE

Hivi. hombo vya dola wakati msingine vinidhlilisha nchi. Huyu mtu alikuwepo na amekuwa kiongozi kwa miaka mitano, hatujasikia akichunguzwa, ifike kipindincha uchaguzi anakuwa si raia na wao wanarukia ajenda wakisema wanachunguza! Kwa nini tusichunguze hata huo uria sa Ambrose Mwanguku?
 
Last edited by a moderator:
Watahangaika sana mwaka huu hasa baada ya ccm kugundua kuwa imepoteza mvuto kwa watanzania
 
Kinanaa ni msomalii mbona wanamkumbatia?au hawamuoni
 
hata Ezekiel Wenje aliambiwa ni mkenya lakin kumbe muraaa yaani nchi hii bana
mkapa msumbiji
mkulo mmalawi
idd simba mrundi
dr salim. mwarabu
bashe. msomali
ila kina
dewji
manji
harun suleiman
mohamed raza
jitu son
rostam aziz
hasnain murji
sadiq murad
(ndio watanzania)

Teeeeeh,teeeeeh,teeeeeeh,umemsahau rage
 
yah ni kweli mkuu ndo wanakoelekea huko na hizo ni dalili za kushindwa, huyo anaeweka pingamizi ni kweli hawezi kushinda hata iweje anajipotezea muda wake tu.

Yaani wapinzani badala ya kushikana pamoja lakini tupo busy kutengana kukinufaisha CCM
 
Yaani wapinzani badala ya kushikana pamoja lakini tupo busy kutengana kukinufaisha CCM

Yani inasikitisha sana sio jambo LA kawaida hilo, yani hapo ni vita vya panzi furaha kwa kunguru mwisho tusishangae wote wakakosa.
 
Yani inasikitisha sana sio jambo LA kawaida hilo, yani hapo ni vita vya panzi furaha kwa kunguru mwisho tusishangae wote wakakosa.

Mtu uko busy unananga chama cha upinzani.Duh ipo Bongo tu
 
Nijua tu yule jamaa aliyeruka na helicopter unafkiri atakubali kushindwa na mpunga alioumwaga pale. Vitu vingine huitaji kuelezwa sanaa.
 
Back
Top Bottom