Uhamiaji watangaza ajira

Uhamiaji watangaza ajira

Vp kwa mtu aliyepitia JKT mujibu wa sheria
Moja ya masharti yao


  1. Mwenye shahada ya kwanza/ stashahada ya Juu kutoka chuo cha Elimu ya Juu au taasisi inayotambuliwa na Serikali, waombaji wenye shahada ya TEHAMA, Uhandisi mitambo, Umeme, Eletroniki na Mawasiliano ya Umma, Usanifu wa Majengo, Lugha za Kimataifa, Mass Communications/ Journalism, Project Management and Evaluations watapewa kipaumbele.
 
japo hawajasema wanataka watu wangapi. Na haya ndio mashart yao

Sifa ya kujiunga na usaili huo ni kama ifuatavyo:

  1. Awe raia wa Tanzania mwenye afya njema kimwili na kiakili.
  1. Awe hajawahi kushitakiwa na kutiwa hatiani kwa makosa ya jinai nchini au nje ya nchi.
  2. Mwenye uwezo wa kuzungumza na kuandika lugha ya Kiswahili na Kiingereza kwa ufasaha zaidi, mwenye uwezo wa kuandika, kuzungumza lugha nyinginezo za kimataifa watapewa kipaumbele kwanza.
  3. Mwenye umri wa kuanzia miaka 18 mpaka miaka 30.
  4. Awe tayari kuhudhuria na kuhitimu mafunzo ya awali ya askari wa uhamiaji kwa kipindi kisichozidi miezi tisa katika chuo chochote cha kijeshi.
  5. Mwenye shahada ya kwanza/ stashahada ya Juu kutoka chuo cha Elimu ya Juu au taasisi inayotambuliwa na Serikali, waombaji wenye shahada ya TEHAMA, Uhandisi mitambo, Umeme, Eletroniki na Mawasiliano ya Umma, Usanifu wa Majengo, Lugha za Kimataifa, Mass Communications/ Journalism, Project Management and Evaluations watapewa kipaumbele.
Vijana wenye sifa wanatakiwa kufika kwenye usaili wakiwa na vitu vifuatavyo:

  1. Cheti halisi na nakala moja ya cheti cha kuzaliwa mwombaji.
  2. Nakala ya vyeti vya kuhitimu elimu ya darasa la saba, Kidato cha nne, kidato cha sita na shahada ya juu kutoka chuo au taasisi yoyote inayotambuliwa na serikali.
  1. Cheti halisi cha kuhitimu Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa na kalamu.
 
Idara ya uhamiaji yatangaza Fursa za ajira. Kuangalia sifa na maelezo zaidi pitia website ya www.jkt.go.tz..
UONGO
IMG-20190803-WA0058.jpeg
 
Kweli hawamu ya tano.. But ukiona unavigezo nenda kajaribu
 
Back
Top Bottom