GoldDhahabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2023
- 7,648
- 10,843
Mbona ile fee ya 50 000 haijawekwa. Ingekua rahisi hivo watu whinge pinga fortnight mwezi mzima wana subilia passportNaamini kilichaondikwa kwenye hilo "tangazo" ni kweli! Hakuna tena longo longo kwenye utoaji wa PASI YA KUSAFIRIA! Kinachohitajika ni NIDA, BIRTH CERTIFICATE yako na ya MZAZI wako mmoja!
Hongereni sana UHAMIAJI!