UHAMIAJI: Wafanyakazi 18 watimuliwa kazi, picha zao zaanikwa hadharani

Wapigaji baada ya kugundua kuwa huyu Raisi ni kilaza, sasa wanajipigia pasinashaka.
Rais Mtukufu toka chato yy kaja na mbinu zake mpya za kupiga pesa za Umma mapema asubuhi, kaamua kula pesa kijanja haraka hataki kuiba mwisho mwisho kama walivyofanya mkapa na kikwete, wanaiba mapema wanashiba kisha miaka yake ya mwisho mwisho yeye ni kufunga watu kwa wingi hata kwa Uonevu ili watanzania wasahau madhambi yake, chukua chako mapema ndiyo falsafa yake,
 
Wanabodi,

Idara ya uhamiaji imetoa majina (usiku huu) ya wafanyakazi 18 waliofukuzwa kazi.

Tetesi zilizopo ni kwamba watu hawa walishiriki katika kuvujisha taarifa kuhusu mradi wa ePassport.

Ikumbukwe kwamba mradi huo ilibidi ipewe kampuni yenye uzoefu kwa bei ndogo lakini ikaja kupewa kampuni isiyo na uzoefu kwa bei kubwa huku maafisa wa ikulu wakishiriki bila kufahamika kuwa waliagizwa na nani. (Jamuhuri 2018)

Mh raisi aliusifia sana mradi huo, tuendelee kusubiri nini kitatokea.

note: nashindwa ku upload majina na picha zao
Ni mapema sana kujua sababu ya wao kuondolewa. Hizo ulizotoa zaweza kuwa hisia zako licha ya wewe kuziita tetesi
Ikumbukwe kuwa mkuu wa nchi aliiagiza Uamiaji kujisafisha yenyewe baada ya kuwa na ongezeko la wahamiaji haramu kuongezeka na wengine kukamatiwa katikati ya nchi huku wakiwa wamepita mipakani salama. Ndo maana mkuu alihisi kwavyovyote kuna wahusika wa uhamiaji wanaohusika kuhalalisha uhamiaji haramu na vibali feki na hivyo ni budi kushughuliwa. Tutajuaje kuwa hawa hawajaondolewa kwenye harakati za uhamiaji kujisafisha?
 
Mzee baba "anatafuna" kama mchwa huku anatuimbisha uzalendo, daaah mpaka watz shule ipande tutakua tumepigwa balaa
 
Acha dharau na jifunze nidhamu ya Kiuandishi tafadhali. Mahala popote ukitaka kumtaja Kiongozi wa Taifa huanzi na herufi ndogo ya raisi bali unaanza kwa herufi kubwa ya R. Halafu katika Kiswahili chenyewe sidhani kama inaandikwa Raisi bali inapashwa kuwa Rais. Hata kama humpendi Dr. John Pombe Joseph Magufuli ila utake usitake huyo ndiyo Rais wako wa Jamhuru ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu wa sasa mpaka hapo atakapomaliza muda wake.
Povu
 
Wameenda kuonewa makapuku!!! Yale mapapa ya ufisadi bado yanaendelea kutesa.
yupo kigogo mmoja hadi kastaafu alipunguza ukubwa ya njia na majirani zake waliomzunguka karibu miaka 20 sasa ili tumtambue yeye ni nani na kuoa vimwana kibao labda ni fedha ya wahamiaji haramu.
 
Wanabodi,

Idara ya uhamiaji imetoa majina (usiku huu) ya wafanyakazi 18 waliofukuzwa kazi.

Tetesi zilizopo ni kwamba watu hawa walishiriki katika kuvujisha taarifa kuhusu mradi wa ePassport.

Ikumbukwe kwamba mradi huo ilibidi ipewe kampuni yenye uzoefu kwa bei ndogo lakini ikaja kupewa kampuni isiyo na uzoefu kwa bei kubwa huku maafisa wa ikulu wakishiriki bila kufahamika kuwa waliagizwa na nani. (Jamuhuri 2018)

Mh raisi aliusifia sana mradi huo, tuendelee kusubiri nini kitatokea.

note: nashindwa ku upload majina na picha zao

Kwa hiyo, yawezekana "siri" zote ni matatizo, i.e. hazina tija kwa taifa. Kwa nini iwe siri? Kama kweli, hao wamevujisha hiyo siri, nionavyo mimi, kwa manufaa ya Taifa, hivyo kwa mtazamo wangu hao ni kati ya mashujaa wa nchi hii.
 
Acha dharau na jifunze nidhamu ya Kiuandishi tafadhali. Mahala popote ukitaka kumtaja Kiongozi wa Taifa huanzi na herufi ndogo ya raisi bali unaanza kwa herufi kubwa ya R. Halafu katika Kiswahili chenyewe sidhani kama inaandikwa Raisi bali inapashwa kuwa Rais. Hata kama humpendi Dr. John Pombe Joseph Magufuli ila utake usitake huyo ndiyo Rais wako wa Jamhuru ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu wa sasa mpaka hapo atakapomaliza muda wake.
Kiswahili cha kweli kinaandikwa ' inapaswa au inapashwa-??
Kama hawa?
59999aacc269a639f449314608153199.jpg
 
Wanabodi,

Idara ya uhamiaji imetoa majina (usiku huu) ya wafanyakazi 18 waliofukuzwa kazi.

Tetesi zilizopo ni kwamba watu hawa walishiriki katika kuvujisha taarifa kuhusu mradi wa ePassport.

Ikumbukwe kwamba mradi huo ilibidi ipewe kampuni yenye uzoefu kwa bei ndogo lakini ikaja kupewa kampuni isiyo na uzoefu kwa bei kubwa huku maafisa wa ikulu wakishiriki bila kufahamika kuwa waliagizwa na nani. (Jamuhuri 2018)

Mh raisi aliusifia sana mradi huo, tuendelee kusubiri nini kitatokea.

note: nashindwa ku upload majina na picha zao
Watu wadogo sana kivyeo kujua siri za mradi,wao wanaletewa tu prgram watekeleze.
Hao wana matatizo ya kutoa pasi na vibali kwa wasio husika
 
Kama hawa?
59999aacc269a639f449314608153199.jpg
Msipende kuchafua majina ya watu kwenye jamii MBONA wengine hawako kazini zaidi ya mwaka na hata kabla ya ishu ya e passport.Tangazo lenyewe halina hata tarehe je wakidhurika utabeba dhamana hio?wakikustaki je? Hizi list za kupuuza hazina source.
 
Hayo majina kuna mdau wangu tulisoma wote A level 1990s . jamaa aliacha kitambo huenda 3 yrs imepita, ni mjasiliamali mkubwa tu mtaani. Kabla iwe ni majina mengine, su kaunganishwa tu kwa kuwa hayumo kazini
Hio list haina uhusiano na kilichosemwa kuna watu hapo wapo mtaani walishatoka mda mrefu tu,
 
Wanabodi,

Idara ya uhamiaji imetoa majina (usiku huu) ya wafanyakazi 18 waliofukuzwa kazi.

Tetesi zilizopo ni kwamba watu hawa walishiriki katika kuvujisha taarifa kuhusu mradi wa ePassport.

Ikumbukwe kwamba mradi huo ilibidi ipewe kampuni yenye uzoefu kwa bei ndogo lakini ikaja kupewa kampuni isiyo na uzoefu kwa bei kubwa huku maafisa wa ikulu wakishiriki bila kufahamika kuwa waliagizwa na nani. (Jamuhuri 2018)

Mh raisi aliusifia sana mradi huo, tuendelee kusubiri nini kitatokea.

note: nashindwa ku upload majina na picha zao

Haya maneno yako sio ya kweli habari za uhakika hao watu wametoka mikoa tofauti na wengine wameacha wenyewe na wengine masuala ya vyeti
Unapo andika kuwa na uhakika na unacho kiandika Mungu anakuona na utaulizwa
 
Acha dharau na jifunze nidhamu ya Kiuandishi tafadhali. Mahala popote ukitaka kumtaja Kiongozi wa Taifa huanzi na herufi ndogo ya raisi bali unaanza kwa herufi kubwa ya R. Halafu katika Kiswahili chenyewe sidhani kama inaandikwa Raisi bali inapashwa kuwa Rais. Hata kama humpendi Dr. John Pombe Joseph Magufuli ila utake usitake huyo ndiyo Rais wako wa Jamhuru ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu wa sasa mpaka hapo atakapomaliza muda wake.
Sasa hapo na wewe umeandika nini sasa, mbona unajipendekeza kishamba?
 
Acha dharau na jifunze nidhamu ya Kiuandishi tafadhali. Mahala popote ukitaka kumtaja Kiongozi wa Taifa huanzi na herufi ndogo ya raisi bali unaanza kwa herufi kubwa ya R. Halafu katika Kiswahili chenyewe sidhani kama inaandikwa Raisi bali inapashwa kuwa Rais. Hata kama humpendi Dr. John Pombe Joseph Magufuli ila utake usitake huyo ndiyo Rais wako wa Jamhuru ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu wa sasa mpaka hapo atakapomaliza muda wake.
Totally crap
 
Back
Top Bottom