Uhamiaji vipi?

Uhamiaji vipi?

mkuu inaniuma sana unajua eenh, mi nikiangalia huko sina hata mfagiaji anaenijua... namuomba tu MUNGU kimya kimya!

sijui tutumie njia gani kupata kazi sie wenye vigezo halafu tunatupwa kapuni kisa hatujulikani kwa wakubwa.

btw, tushukuru kwa uzima..

Mungu wa babu zetu ndio tegemeo letu
 
hatuna jinsi mkuu..

tukilia sana tutakufuru. tunaambiwa mpaka sasa sijui kuna application 5000 wakati nafasi ziko 270, tena hapo bado kuna watu wana watu wao, tusubiri tuone matokeo!

uoga na mashaka hukatisha ndoto,kaza
 
unapo tuma maombi ya kaz,tambua wapo weng walio tuma maombi,ukiwemo ss cha kufanya vumilia tu mpaka mwisho
 
Back
Top Bottom