Mtendaji wa kaya
JF-Expert Member
- Mar 16, 2014
- 334
- 59
mkuu inaniuma sana unajua eenh, mi nikiangalia huko sina hata mfagiaji anaenijua... namuomba tu MUNGU kimya kimya!
sijui tutumie njia gani kupata kazi sie wenye vigezo halafu tunatupwa kapuni kisa hatujulikani kwa wakubwa.
btw, tushukuru kwa uzima..
Mungu wa babu zetu ndio tegemeo letu