Uhamaji wa Watumishi kutoka Dar kwenda Dodoma: Ndoa za Watumishi hatarini kufuatia kuingia kwenye radar za Warangi, Wanyaturu na Wanyilamba

Daimler

JF-Expert Member
Sep 11, 2018
556
973
Tangu Serikali ya Awamu ya Tano, iamue kuhamia Dodoma, Watumishi wengi wa Serikali Kuu wamekuwa wakihamia mkoani Dodoma kutoka Dar es Salaam. Wizara zote, pamoja na Makamu wa Rais, wameshahamia Dom. Hata Rais Dk. John Pombe Magufuli alishatangaza kuhamia Dom kabla ya mwisho wa mwaka huu 2018.

Kumbuka kuwa, uhamaji wa Watumishi wa Wizara ni tofauti na watumishi wa kada za chini kwani hawa wa Wizara huwa wana vipato vikubwa, so it's likely kuwa, wengi wao wameshajenga makazi ya kudumu jijini Dar es Salaam, huku wakiwa na miradi mingi ya kibiashara ambayo kwa namna yoyote ni ngumu kuiacha ndani ya muda mfupi. So kinachofanyika, wengi wa Watumishi hao watalazimika kuziacha familia zao jijini Dar (aidha forever ama kwa muda).

Wakati Watumishi hao wanaanza kazi, wengi wao walianzia vijijini huko mikoani ila baada ya kupata uzoefu walipanda ngazi na kujikuta wakifanya kazi wizarani. Hata hivyo, wengi wao walioa huko walikoanzia maisha tena kabla hela hazijawatembelea na probably wengi wa wake zao wa awali hawakuwa na mvuto mkubwa coz na wao hawakuwa na nafasi kubwa serikalini.
Sasa, Watumishi hawa wana fedha za kutosha, halafu wanapelekwa Dodoma, huku wakiziacha familia zao Dar, what will happen?

Mkoa wa Dodoma unakaliwa na Makabila makubwa mawili: Wagogo na Warangi, huku yakiwepo makabila madogo madogo ya Wakaguru, Waalagwa, Wabulunge na Wasandawe. Of course wapo wakuja Wahehe, Wasagara, Wakaguru na Wanyaturu.
Makabila hayo ni ya Wabantu isipokuwa Waalagwa na Wabulunge (Hamites). Pia wapo Bushmen (Wasandawe), pamoja na yenye mchanganyiko wa Wabantu na Hamites (Warangi, Wanyaturu, Wanyilamba na Wagogo).

So, utaona kuwa, Waalagwa na Wabulunge huwa ni weupe lakini ni wachache sana kiasi cha kutokuwa na impact kubwa mkoani Dodoma kama ilivyo kwa Warangi wa Kondoa. Warangi wengi ni weupe na wana sura za kuvutia kama ilivyo kwa Wanyaturu na Wanyilamba.

Watumishi mpo. Ngojeni ila nina uhakika kama ambavyo imekuwa ikiwatokea wanaume wote wanaoacha nyuma familia zao na kwenda kufanya kazi Kondoa, Singida, Kiomboi, Babati, Mbulu, Karatu, Arusha, Rombo, etc, etc, etc; ni muda mchache tu watumishi wengi wataangukia kwenye radar za Warangi, Wanyaturu, Wanyilamba na Wagogo mkoani Dodoma.
Karibuni Dodoma.

IMG_8213.JPG

Wanafunzi wa kirangi wilayani Kondoa wakiwa na Waziri wa TAMISEMI, Selemani Jafo.

IMG_9211.JPG

Walimbwende wa Miss Tanzania mwaka 2011. Sura nyingi zinazoonekana hapo zinajionyesha dhahiri ni za Ukanda gani. Sasa haya yanahamia Dom.
 
Tangu Serikali ya Awamu ya Tano, iamue kuhamia Dodoma, Watumishi wengi wa Serikali Kuu wamekuwa wakihamia mkoani Dodoma kutoka Dar es Salaam. Wizara zote, pamoja na Makamu wa Rais, wameshahamia Dom. Hata Rais Dk. John Pombe Magufuli alishatangaza kuhamia Dom kabla ya mwisho wa mwaka huu 2018.

Kumbuka kuwa, uhamaji wa Watumishi wa Wizara ni tofauti na watumishi wa kada za chini kwani hawa wa Wizara huwa wana vipato vikubwa, so it's likely kuwa, wengi wao wameshajenga makazi ya kudumu jijini Dar es Salaam, huku wakiwa na miradi mingi ya kibiashara ambayo kwa namna yoyote ni ngumu kuiacha ndani ya muda mfupi. So kinachofanyika, wengi wa Watumishi hao watalazimika kuziacha familia zao jijini Dar (aidha forever ama kwa muda).

Wakati Watumishi hao wanaanza kazi, wengi wao walianzia vijijini huko mikoani ila baada ya kupata uzoefu walipanda ngazi na kujikuta wakifanya kazi wizarani. Hata hivyo, wengi wao walioa huko walikoanzia maisha tena kabla hela hazijawatembelea na probably wengi wa wake zao wa awali hawakuwa na mvuto mkubwa coz na wao hawakuwa na nafasi kubwa serikalini.
Sasa, Watumishi hawa wana fedha za kutosha, halafu wanapelekwa Dodoma, huku wakiziacha familia zao Dar, what will happen?

Mkoa wa Dodoma unakaliwa na Makabila makubwa mawili: Wagogo na Warangi, huku yakiwepo makabila madogo madogo ya Wakaguru, Waalagwa, Wabulunge na Wasandawe. Of course wapo wakuja Wahehe, Wasagara, Wakaguru na Wanyaturu.
Makabila hayo ni ya Wabantu isipokuwa Waalagwa na Wabulunge (Hamites). Pia wapo Bushmen (Wasandawe), pamoja na yenye mchanganyiko wa Wabantu na Hamites (Warangi, Wanyaturu, Wanyilamba na Wagogo).

So, utaona kuwa, Waalagwa na Wabulunge huwa ni weupe lakini ni wachache sana kiasi cha kutokuwa na impact kubwa mkoani Dodoma kama ilivyo kwa Warangi wa Kondoa. Warangi wengi ni weupe na wana sura za kuvutia kama ilivyo kwa Wanyaturu na Wanyilamba.

Watumishi mpo. Ngojeni ila nina uhakika kama ambavyo imekuwa ikiwatokea wanaume wote wanaoacha nyuma familia zao na kwenda kufanya kazi Kondoa, Singida, Kiomboi, Babati, Mbulu, Karatu, Arusha, Rombo, etc, etc, etc; ni muda mchache tu watumishi wengi wataangukia kwenye radar za Warangi, Wanyaturu, Wanyilamba na Wagogo mkoani Dodoma.
Karibuni Dodoma.

View attachment 895323
Wanafunzi wa kirangi wilayani Kondoa wakiwa na Waziri wa TAMISEMI, Selemani Jafo.

View attachment 895329
Walimbwende wa Miss Tanzania mwaka 2011. Sura nyingi zinazoonekana hapo zinajionyesha dhahiri ni za Ukanda gani. Sasa haya yanahamia Dom.
Certified Idiot wewe
Mawazo yako kila mwanaume anawaza rangi kwa mwanamke

Ni vyema ukajua wengine wanawaza uwezo na pesa za mwanamke kuendesha familia

Hizo takataka zako za sura na weupe nimeamini umethibitishwa

You are certified Idiot
 
Kwani hao maofisa wa wizara mbalimbali wanafuta wanawake ama kazi? Kama ni wanawake dar es salaam ndio wamejaa wa kila aina.
 
Certified Idiot wewe
Mawazo yako kila mwanaume anawaza rangi kwa mwanamke

Ni vyema ukajua wengine wanawaza uwezo na pesa za mwanamke kuendesha familia

Hizo takataka zako za sura na weupe nimeamini umethibitishwa

You are certified Idiot
Heshima yako mkuu 🙌🙌🙌
 
Tangu Serikali ya Awamu ya Tano, iamue kuhamia Dodoma, Watumishi wengi wa Serikali Kuu wamekuwa wakihamia mkoani Dodoma kutoka Dar es Salaam. Wizara zote, pamoja na Makamu wa Rais, wameshahamia Dom. Hata Rais Dk. John Pombe Magufuli alishatangaza kuhamia Dom kabla ya mwisho wa mwaka huu 2018.

Kumbuka kuwa, uhamaji wa Watumishi wa Wizara ni tofauti na watumishi wa kada za chini kwani hawa wa Wizara huwa wana vipato vikubwa, so it's likely kuwa, wengi wao wameshajenga makazi ya kudumu jijini Dar es Salaam, huku wakiwa na miradi mingi ya kibiashara ambayo kwa namna yoyote ni ngumu kuiacha ndani ya muda mfupi. So kinachofanyika, wengi wa Watumishi hao watalazimika kuziacha familia zao jijini Dar (aidha forever ama kwa muda).

Wakati Watumishi hao wanaanza kazi, wengi wao walianzia vijijini huko mikoani ila baada ya kupata uzoefu walipanda ngazi na kujikuta wakifanya kazi wizarani. Hata hivyo, wengi wao walioa huko walikoanzia maisha tena kabla hela hazijawatembelea na probably wengi wa wake zao wa awali hawakuwa na mvuto mkubwa coz na wao hawakuwa na nafasi kubwa serikalini.
Sasa, Watumishi hawa wana fedha za kutosha, halafu wanapelekwa Dodoma, huku wakiziacha familia zao Dar, what will happen?

Mkoa wa Dodoma unakaliwa na Makabila makubwa mawili: Wagogo na Warangi, huku yakiwepo makabila madogo madogo ya Wakaguru, Waalagwa, Wabulunge na Wasandawe. Of course wapo wakuja Wahehe, Wasagara, Wakaguru na Wanyaturu.
Makabila hayo ni ya Wabantu isipokuwa Waalagwa na Wabulunge (Hamites). Pia wapo Bushmen (Wasandawe), pamoja na yenye mchanganyiko wa Wabantu na Hamites (Warangi, Wanyaturu, Wanyilamba na Wagogo).

So, utaona kuwa, Waalagwa na Wabulunge huwa ni weupe lakini ni wachache sana kiasi cha kutokuwa na impact kubwa mkoani Dodoma kama ilivyo kwa Warangi wa Kondoa. Warangi wengi ni weupe na wana sura za kuvutia kama ilivyo kwa Wanyaturu na Wanyilamba.

Watumishi mpo. Ngojeni ila nina uhakika kama ambavyo imekuwa ikiwatokea wanaume wote wanaoacha nyuma familia zao na kwenda kufanya kazi Kondoa, Singida, Kiomboi, Babati, Mbulu, Karatu, Arusha, Rombo, etc, etc, etc; ni muda mchache tu watumishi wengi wataangukia kwenye radar za Warangi, Wanyaturu, Wanyilamba na Wagogo mkoani Dodoma.
Karibuni Dodoma.

View attachment 895323
Wanafunzi wa kirangi wilayani Kondoa wakiwa na Waziri wa TAMISEMI, Selemani Jafo.

View attachment 895329
Walimbwende wa Miss Tanzania mwaka 2011. Sura nyingi zinazoonekana hapo zinajionyesha dhahiri ni za Ukanda gani. Sasa haya yanahamia Dom.
Kama MTu alianzia chin hadi sasa yupo serikali mkuu jua kuw huyo n mtumzma kbsa age yake 40+ so atafany umalaya tuu na sio kuoa
 
Tangu Serikali ya Awamu ya Tano, iamue kuhamia Dodoma, Watumishi wengi wa Serikali Kuu wamekuwa wakihamia mkoani Dodoma kutoka Dar es Salaam. Wizara zote, pamoja na Makamu wa Rais, wameshahamia Dom. Hata Rais Dk. John Pombe Magufuli alishatangaza kuhamia Dom kabla ya mwisho wa mwaka huu 2018.

Kumbuka kuwa, uhamaji wa Watumishi wa Wizara ni tofauti na watumishi wa kada za chini kwani hawa wa Wizara huwa wana vipato vikubwa, so it's likely kuwa, wengi wao wameshajenga makazi ya kudumu jijini Dar es Salaam, huku wakiwa na miradi mingi ya kibiashara ambayo kwa namna yoyote ni ngumu kuiacha ndani ya muda mfupi. So kinachofanyika, wengi wa Watumishi hao watalazimika kuziacha familia zao jijini Dar (aidha forever ama kwa muda).

Wakati Watumishi hao wanaanza kazi, wengi wao walianzia vijijini huko mikoani ila baada ya kupata uzoefu walipanda ngazi na kujikuta wakifanya kazi wizarani. Hata hivyo, wengi wao walioa huko walikoanzia maisha tena kabla hela hazijawatembelea na probably wengi wa wake zao wa awali hawakuwa na mvuto mkubwa coz na wao hawakuwa na nafasi kubwa serikalini.
Sasa, Watumishi hawa wana fedha za kutosha, halafu wanapelekwa Dodoma, huku wakiziacha familia zao Dar, what will happen?

Mkoa wa Dodoma unakaliwa na Makabila makubwa mawili: Wagogo na Warangi, huku yakiwepo makabila madogo madogo ya Wakaguru, Waalagwa, Wabulunge na Wasandawe. Of course wapo wakuja Wahehe, Wasagara, Wakaguru na Wanyaturu.
Makabila hayo ni ya Wabantu isipokuwa Waalagwa na Wabulunge (Hamites). Pia wapo Bushmen (Wasandawe), pamoja na yenye mchanganyiko wa Wabantu na Hamites (Warangi, Wanyaturu, Wanyilamba na Wagogo).

So, utaona kuwa, Waalagwa na Wabulunge huwa ni weupe lakini ni wachache sana kiasi cha kutokuwa na impact kubwa mkoani Dodoma kama ilivyo kwa Warangi wa Kondoa. Warangi wengi ni weupe na wana sura za kuvutia kama ilivyo kwa Wanyaturu na Wanyilamba.

Watumishi mpo. Ngojeni ila nina uhakika kama ambavyo imekuwa ikiwatokea wanaume wote wanaoacha nyuma familia zao na kwenda kufanya kazi Kondoa, Singida, Kiomboi, Babati, Mbulu, Karatu, Arusha, Rombo, etc, etc, etc; ni muda mchache tu watumishi wengi wataangukia kwenye radar za Warangi, Wanyaturu, Wanyilamba na Wagogo mkoani Dodoma.
Karibuni Dodoma.

View attachment 895323
Wanafunzi wa kirangi wilayani Kondoa wakiwa na Waziri wa TAMISEMI, Selemani Jafo.

View attachment 895329
Walimbwende wa Miss Tanzania mwaka 2011. Sura nyingi zinazoonekana hapo zinajionyesha dhahiri ni za Ukanda gani. Sasa haya yanahamia Dom.

Uchambuzi wako una kasoro kubwa.....wanaohamia Dodoma siyo wanaume tu...Wako wafanyakazi wengi wanawake wanahamia Dodoma na ambao wanawaacha wanaume zao/wao Dar...sasa hapo hao wanawake wanaohamia Dodoma 'watanaswa' na makabila gani huko Dodoma???!!!
 
Mie nasema dodoma muende tu. Kama wewe mchepukaji ni mchepukaji maisha usitafute kisingizio mtu anafanya kazi posta makazi magomeni na nyumba ndogo anayo hapahapa mjini acha kutafuta mchawi kwa hoja hafifu hivyo
 
Back
Top Bottom