hermanthegreat
JF-Expert Member
- Mar 2, 2021
- 853
- 2,037
Habari wanajf
The fact kwamba jf watu wengi ni anonymous, inawafanya wanatumia majina ya ajabu sana.
Kuna majina jf ukiyasoma unaweza cheka, kushangaa au kufikiria sana,
Pongezi kwa wanajf wanaotumia majina yao mawili kama Lukas Mwashambwa leo tuwatag watu wenye majina ya ajabu humu watupe ufafanuzi kidogo mfano.
labia majora
KENGE 01
AKILI TATU
Panzi Mbishi
Nzi Chuma
MFALME WETU
Kijakazi
3 Angels message
Kitimoto
kina kirefu
mdudu
The fact kwamba jf watu wengi ni anonymous, inawafanya wanatumia majina ya ajabu sana.
Kuna majina jf ukiyasoma unaweza cheka, kushangaa au kufikiria sana,
Pongezi kwa wanajf wanaotumia majina yao mawili kama Lukas Mwashambwa leo tuwatag watu wenye majina ya ajabu humu watupe ufafanuzi kidogo mfano.
labia majora
KENGE 01
AKILI TATU
Panzi Mbishi
Nzi Chuma
MFALME WETU
Kijakazi
3 Angels message
Kitimoto
kina kirefu
mdudu