Kuna baadhi ya WanaJF wana majina ya ajabu na ya kufikirisha sana

hermanthegreat

JF-Expert Member
Mar 2, 2021
853
2,037
Aisee kenge kaingiaje apo..
Enewei kuna jamaa anajiita Kichwa kichafu kweli ni kichafu kuna uzi anasimulia alivyombandua ndugu yake wa damu kila nikimfikiria simmalizagi.

Mwingine Maharage ya Ukweni wengine ni Afisa uroda,Afisa ubashiri,Afisa usafirishaji..apo bado kuna Chama wa njombe , Aziz Ki wa bonyokwa aafu kuna mwamba anajiita Babaake moderator
 
Back
Top Bottom