moonlightj12
Member
- Dec 6, 2022
- 33
- 90
Nilileta thread hapa ya Dr. Ceaser akiongelea uhalali wa kuoa mke zaidi ya mmoja..
Maoni yangu kama mwanamke ntaongea kile nilichogain kutoka huyu mchungaji
Kuna watu kama Yakobo, Abraham, mfalme Daudi, Mwamba Suleiman nk.... Hawa ni watu ambao walikua na mke zaidi ya mmoja
Lakini pia watu hao walikua na uwezo kifedha walimiliki mifugo, ardhi na dhahabu
Mimi kama mwanamke baada ya kumsikiliza na ametoa vifungu vyake vya biblia sioni dhambi Wala kosa mwanamme kuoa mke zaidi ya mmoja
Yaani kama mume wangu atakua na uwezo kifedha sitamzuia kuoa mke wa pili na watu nk......
Mambo ya Dunia yanapita najua wanawake wengi mtanipinga lakini ni swala la muda tu kanisa litàluhusu Hili
Kulikoni kuendelea kuumia na kuuguza maumivu tukubali jambo moja mwanaume sio wa mwanamke mmoja
Ni ngum kumeza ila ni ukweli, ndoa zinavunjika kwa sababu za kijinga tunawatesa watoto kwa sababu tu tunataka tugandane na wanaume mda wote
Tuna haribu sana kizazi kijacho divorce ni nyingi masingle ndo usiseme, tufike mahali tujiulize what are we doing,?
Wazee wetu walikua na mke zaidi ya mmoja na waliishi kwa amani
Siioni dhambi kama mume atatuoa wawili au watatu akaweza kututunza na watoto wetu
Kuliko kuishia kuZaa watoto ambao wanalelewa na wababa tofauti au wamama tofauti
We need to grow
Pastor Dr ceaser na apostle Daniel j musokwa wamenitengeneza niwe mwanamke wa Ivi Mungu awatunze
I hope siku moja ntapa kibali Cha kufundisha haya public.
Maoni yangu kama mwanamke ntaongea kile nilichogain kutoka huyu mchungaji
Kuna watu kama Yakobo, Abraham, mfalme Daudi, Mwamba Suleiman nk.... Hawa ni watu ambao walikua na mke zaidi ya mmoja
Lakini pia watu hao walikua na uwezo kifedha walimiliki mifugo, ardhi na dhahabu
Mimi kama mwanamke baada ya kumsikiliza na ametoa vifungu vyake vya biblia sioni dhambi Wala kosa mwanamme kuoa mke zaidi ya mmoja
Yaani kama mume wangu atakua na uwezo kifedha sitamzuia kuoa mke wa pili na watu nk......
Mambo ya Dunia yanapita najua wanawake wengi mtanipinga lakini ni swala la muda tu kanisa litàluhusu Hili
Kulikoni kuendelea kuumia na kuuguza maumivu tukubali jambo moja mwanaume sio wa mwanamke mmoja
Ni ngum kumeza ila ni ukweli, ndoa zinavunjika kwa sababu za kijinga tunawatesa watoto kwa sababu tu tunataka tugandane na wanaume mda wote
Tuna haribu sana kizazi kijacho divorce ni nyingi masingle ndo usiseme, tufike mahali tujiulize what are we doing,?
Wazee wetu walikua na mke zaidi ya mmoja na waliishi kwa amani
Siioni dhambi kama mume atatuoa wawili au watatu akaweza kututunza na watoto wetu
Kuliko kuishia kuZaa watoto ambao wanalelewa na wababa tofauti au wamama tofauti
We need to grow
Pastor Dr ceaser na apostle Daniel j musokwa wamenitengeneza niwe mwanamke wa Ivi Mungu awatunze
I hope siku moja ntapa kibali Cha kufundisha haya public.