zubedayo_mchuzi
JF-Expert Member
- Sep 2, 2011
- 4,873
- 1,216
Habari wadau ??
Nimeona matamko kadha wa kadha kuhusu uhakiki wa vyeti,ushauri wangu kwa WAZIRI NDALICHAKO,uhakiki huo kabla hawajaanza kwa wanyonge,waanze na magrupu yafuatayo.
Grupu la kwanza- Wabunge wote wa bunge la jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Grupu la pili-Vyombo vya ulinzi na usalama vyote.
Grupu la tatu; Watumishi wa UMMA WOTE,kuanzia ikulu mpaka mtendaji wa mtaa.
jambo hili likifanyika kwa weledi litatusogeza mbele mnoo.
Mods naomba msi iunganishe hii thread na zilizo tangulia.
Nimeona matamko kadha wa kadha kuhusu uhakiki wa vyeti,ushauri wangu kwa WAZIRI NDALICHAKO,uhakiki huo kabla hawajaanza kwa wanyonge,waanze na magrupu yafuatayo.
Grupu la kwanza- Wabunge wote wa bunge la jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Grupu la pili-Vyombo vya ulinzi na usalama vyote.
Grupu la tatu; Watumishi wa UMMA WOTE,kuanzia ikulu mpaka mtendaji wa mtaa.
jambo hili likifanyika kwa weledi litatusogeza mbele mnoo.
Mods naomba msi iunganishe hii thread na zilizo tangulia.