Uhakiki TCU

Uhakiki TCU

wazirib28

JF-Expert Member
Joined
Dec 14, 2015
Posts
460
Reaction score
275
Habarini wanajamvi.
Mnamo tarehe 17/10 kun tangazo la TCU lilisambaa kuhusu kufanya uhakiki. Lakini mimi nimejitahidi kutafuta namna ya kufanya lakini nimeshindwa. Kama kuna aliyeweza atujuze tafadhali.
1477762188883.jpg
 
Woi,usichukulie kila kitu serious Mkuu! Zingine potezeaga tu! Kama litatokea basi utaona kila dalili!
 
Inavyoelekea Katibu MKUU wa wizara ya elimu alitoa tangazo hilo bila ya kuwasiliana na TCU hivyo TCU wameamua kuuchuna!
 
Wameshatoa majina 63,773. Pitia majina hayo mpk upate jina lako. Kama halipo ujue wamekutema
 
Walitangaza, kama hutaeza kuta jina lako utapaswa kwenda ofisini kwao.
 
Sasa hiyo huoni ni ya AY 2015/16? Siyo hiyo
 
Mbona sijaona hayo majina kwenye website yoyote ile au ndo tetesi kwanza
 
Back
Top Bottom