Mwanaukweli
JF-Expert Member
- May 18, 2007
- 4,786
- 1,710
TandaleOne viongozi wa CCM Mtwara wameanza kuwakimbia kwa kuwa msimamo ya CCM ni kujitenga na Wanamtwara na matakwa yake.
Taarifa nilizozipata kwa ndugu yangu kutoka mtwara ni kwamba baadhi ya viongozi wa Chama Cha Mapinduzi mkoani Mtwara wameanza kuachia nafasi zao na kuungana na wananchi wa mji huo kupigania gesi iwanufaishe
Mtoa taarifa wangu ameeleza kuwa leo hii majira ya asubuhi kiongozi wa Chama hicho kata ya Mjaengo ametangaza kupitia redio moja mkoani humo kuwa anawarudishia kadi yao na wasimuhesabu kama kiongozi wa Chama hicho na mwanachama wao
Last edited by a moderator: