Uhaini wa Mtwara ulipangwa

Uhaini wa Mtwara ulipangwa

KIBE

JF-Expert Member
Joined
Nov 23, 2010
Posts
943
Reaction score
186
Watanzania tumeze moto tu hata kama moto ...ukweli kwa hali iliyokuwa inaonekana na kilichotokea jana hapa Mtwara ukweli ulio wazi jambo hili lilipangwa na wako wanaoliongoza ila walikuwa wanangoja sababu ya kuanzia kutekeleza uhaini wao... Cha kushangaza kwa vurugu zinazolipuka wakati huo huo ni nadra kuyapata mabomu ya samaki na magobore, mapanga... Hili jambo tukatae tukubali lilipangwa na wako wanaofanya mipango hiyo.. Na walipanga wafanye hiki na hiki...

Binafsi nawapongeza jeshi la polisi kwa jitihada zao walizozitumi kunusuru hali isiendele kuwa mbaya ukweli hata mkiwabeza lakini ukweli uko wazi wamesaidia kwa kiwango kikubwa..Tukumbuke pia si wananchi wote wanapenda kinachoendelea hapa Mtwara. Naomba JWTZ endelee kuangalia hali inavyoendele ili amani iwepo msiingie kazi kutekeleza sheria za kijeshi mana khali itakuwa mbaya zaidi kwa wananchi mana jeshi 99% mafunzo yao ni kuua..

Shime watz turudi nyuma tuache ushabiki wa kisiasa tuliangalie hili jambo kiiundani zaidi na nyuma kuna nini tusiingizwe kichwa kichwa .

Leo asubuhi ya saa mbili na dakika 56 (08:56:16am) nimepokea ujumbe wa simu kutoka kwa mmoja wa Viongozi wa juu wa Chama Cha Mapinduzi CCM, ambae kwa cheo ni Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM (NEC). Ujumbe wenyewe ni huu ufuatao:


Ujumbe huu uliniongezea simanzi na majonzi niliyonayo juu ya maafa mbalimbali yaliyojitokeza katika vurugu za Mtwara jana. Simanzi hii ilitokana na kuona hali ya unyonge, woga na wasiwasi mkubwa walionao viongozi wenzangu wa Chama, wasiwasi huo hautokani na woga wa kitoto bali kutokana na hatari wanayoiona mbele yao ya kuwindwa, kushambuliwa na kufanyiwa hujuma na matendo mengine ya kudhuru mwili.

Swali la msingi na lenye kufikirisha ni kwanini wahaini hao wanawalenga wanaCCM..? je inaweza kuwa watu hao wanamlengwa mwingine wa kisiasa ambao unakinzana na CCM hivyo kuifanyia CCM na Viongozi wake mambo haya..? Sitaki kuamini kuwa vurugu hizi zina unasaba wa aina yeyote na Siasa zetu hapa nchini bali najilazimisha kuamini kuwa vurugu hizi ni hujuma na uhaini unaofanywa na wahuni, wahaini ambao hawaitakii mema nchi yetu. Najilazimisha kuamini hivyo kutokana na maana halisi ya Siasa, ama harakati za siasa kuwa hazihafikiani na kinachofanyika mtwara, bali vitendo hivyo vinashabihiana na maana ya hujuma na uhaini kama ifuatavyo.

Maana ya maneno mawili ya mwanzo ya yaani hujuma na uhaini yanafuatana kwa maana hujuma inaweza kutumika kama mkakati wa uhaini. Uhaini ni tendo la kusaliti nchi, serikali au mfadhili; uasi. Hujuma ni shambulio ama vamio: fisidi, kuvuruga ama kuharibu.

Maana ya kipengele cha tatu ambacho kimebeba maneno mawili harakati na siasa, ama siasa ina maana ni mfumo wa mawazo yaongozayo utawala wa serikali ya nchi tafsir nyingine ni utaratibu wa utekelezaji au uendeshaji wa jambo kwa kutumia busara na hekima ili kufikia lengo linalotarajiwa.,na maana ya neno la mwisho yaani harakati ni juhudi zinazoafanywa na watu kwa ajili ya kufikia lengo fulani, bidii, jitihada.

Katika tafsir hizo tatu, kinachoendelea mtwara hivi sasa tunakitoa kabisa katika maana halisi ya harakati za kisiasa, kwa kuwa maana ya harakati za kisiasa ni juhudi za kupanga utaratibu wa mfumo wa mawazo yaongozayo (ama yanayolenga kuongoza) utawala wa serikali ya nchi.

Kwa maana ya Hujuma kuwa ni shambulio, kuvuruga ama kuharibu ni sahihi kwa upande mmoja kuwa hiki ndicho kinachoendelea mtwara lakini kwa tafsir ya uhaini ndiyo hasa inayoelezea kinachoendelea Mtwara.

Ndio ni uhaini uliopangwa na kutekelezwa na watu wenye nia mbaya na nchi hii, wasio wazalendo na waliokosa utaifa. Wanaoendesha mkakati wa nchi kutotawalika, kwa kuibua hujuma mbalimbali dhidi ya serikali na chama kiendeshacho serikali hiyo yaani CCM.

Sio ajenda na hoja ya gesi, bali hoja hii imetumika kimbinu kuendesha mkakati huu wa kihaini ambao unawawinda wanaCCM, ofisi zao, mali zao pamoja na serikali yao. CCM ni chama cha siasa kinafanya siasa ya kuendesha nchi hii, vipo vyama vya upinzani navyo vinalenga kuelekea katika mlengwa huu wa kisiasa, lakini wakati mwingine vinapotoka na kuacha Siasa ama harakati za kisiasa na kujikuta wakifanya hujuma na vitendo vingine vya kihaini. Kwani kama hoja ni gesi vipi vurugu zilenge katika mali, ofisi na uhai wa wanaCCM..?
 
Watanzania tumeze moto tu hata kama moto ...ukweli kwa hali iliyokuwa inaonekana na kilichotokea jana hapa Mtwara ukweli ulio wazi jambo hili lilipangwa na wako wanaoliongoza ila walikuwa wanangoja sababu ya kuanzia kutekeleza uhaini wao... Cha kushangaza kwa vurugu zinazolipuka wakati huo huo ni nadra kuyapata mabomu ya samaki na magobore, mapanga... Hili jambo tukatae tukubali lilipangwa na wako wanaofanya mipango hiyo.. Na walipanga wafanye hiki na hiki...

Binafsi nawapongeza jeshi la polisi kwa jitihada zao walizozitumi kunusuru hali isiendele kuwa mbaya ukweli hata mkiwabeza lakini ukweli uko wazi wamesaidia kwa kiwango kikubwa..Tukumbuke pia si wananchi wote wanapenda kinachoendelea hapa Mtwara. Naomba JWTZ endelee kuangalia hali inavyoendele ili amani iwepo msiingie kazi kutekeleza sheria za kijeshi mana khali itakuwa mbaya zaidi kwa wananchi mana jeshi 99% mafunzo yao ni kuua..

Shime watz turudi nyuma tuache ushabiki wa kisiasa tuliangalie hili jambo kiiundani zaidi na nyuma kuna nini tusiingizwe kichwa kichwa .

Kwa akili yako umeona kwamba hapa umetoa hoja yenye mashiko? Ndiyo tatizo la "KUBINAFSISHA AKILI". Wakati wote unatoka na mawazo ya kuwafurahisha MABWANA.

ZINDUKA!!!!
 
Kumbuka kuwa kuwatumia Polisi na Wanajeshi kulazimisha watu ni kuongeza hasira na chuki zaidi kutoka kwa raia.
 
Haya mawazo ni ya kijana mjamzito
Watanzania tumeze moto tu hata kama moto ...ukweli kwa hali iliyokuwa inaonekana na kilichotokea jana hapa Mtwara ukweli ulio wazi jambo hili lilipangwa na wako wanaoliongoza ila walikuwa wanangoja sababu ya kuanzia kutekeleza uhaini wao... Cha kushangaza kwa vurugu zinazolipuka wakati huo huo ni nadra kuyapata mabomu ya samaki na magobore, mapanga... Hili jambo tukatae tukubali lilipangwa na wako wanaofanya mipango hiyo.. Na walipanga wafanye hiki na hiki...

Binafsi nawapongeza jeshi la polisi kwa jitihada zao walizozitumi kunusuru hali isiendele kuwa mbaya ukweli hata mkiwabeza lakini ukweli uko wazi wamesaidia kwa kiwango kikubwa..Tukumbuke pia si wananchi wote wanapenda kinachoendelea hapa Mtwara. Naomba JWTZ endelee kuangalia hali inavyoendele ili amani iwepo msiingie kazi kutekeleza sheria za kijeshi mana khali itakuwa mbaya zaidi kwa wananchi mana jeshi 99% mafunzo yao ni kuua..

Shime watz turudi nyuma tuache ushabiki wa kisiasa tuliangalie hili jambo kiiundani zaidi na nyuma kuna nini tusiingizwe kichwa kichwa .
 
Viongozi wa kiafrika ndivyo walivyo, wana tabia ya kutokuwasikiliza raia wao mpaka baada ya vurugu ndio wanaamka.

Kelele kuhusu Mtwara zilipigwa kipindi kirefu na serikali ilibidi kutafuta ufumbuzi kabla hali haijafikia hapa ilipo.

Kwa hali ilivyo sasa, serikali ndiyo ya kulaumiwa, ingwawaje pia si support utumiaji wa nguvu katika kutatua matatizo.
 
Viongozi wa kiafrika ndivyo walivyo, wana tabia ya kutokuwasikiliza raia wao mpaka baada ya vurugu ndio wanaamka.

Kelele kuhusu Mtwara zilipigwa kipindi kirefu na serikali ilibidi kutafuta ufumbuzi kabla hali haijafikia hapa ilipo.

Kwa hali ilivyo sasa, serikali ndiyo ya kulaumiwa, ingwawaje pia si support utumiaji wa nguvu katika kutatua matatizo.

Kama wewe ni mfuatiliaji mzuri wa habari naomba uniambie katika kata ya Madimba Mtwara kuja project kubwa 3 zinahusu nini? na wanachokidai watu wa Mtwara na lindi ni kipi hasa?
 
Watanzania tumeze moto tu hata kama moto ...ukweli kwa hali iliyokuwa inaonekana na kilichotokea jana hapa Mtwara ukweli ulio wazi jambo hili lilipangwa na wako wanaoliongoza ila walikuwa wanangoja sababu ya kuanzia kutekeleza uhaini wao... Cha kushangaza kwa vurugu zinazolipuka wakati huo huo ni nadra kuyapata mabomu ya samaki na magobore, mapanga... Hili jambo tukatae tukubali lilipangwa na wako wanaofanya mipango hiyo.. Na walipanga wafanye hiki na hiki...

Binafsi nawapongeza jeshi la polisi kwa jitihada zao walizozitumi kunusuru hali isiendele kuwa mbaya ukweli hata mkiwabeza lakini ukweli uko wazi wamesaidia kwa kiwango kikubwa..Tukumbuke pia si wananchi wote wanapenda kinachoendelea hapa Mtwara. Naomba JWTZ endelee kuangalia hali inavyoendele ili amani iwepo msiingie kazi kutekeleza sheria za kijeshi mana khali itakuwa mbaya zaidi kwa wananchi mana jeshi 99% mafunzo yao ni kuua..

Shime watz turudi nyuma tuache ushabiki wa kisiasa tuliangalie hili jambo kiiundani zaidi na nyuma kuna nini tusiingizwe kichwa kichwa .

Wewe KIBE! ishu ya kugoma gesi kugomewa na wanamtwara haikuanza jana ni muda wabunge wa upinzani kwa muda mrefu walipigia kelele bungeni kuhusu mgawanyo wa mapato, mwaka jana wananchi wa mtwara waliandamana sana kupinga, hadi baadhi wakaja ikulu ya dar, na kama utakumbuka vizuri kuna BIBI alilaani kwamba wakichimba tu bomba litatowa maji na sio gesi........., akatumwa mn'goa kucha mmoja kwa bibi wananchi wakamshtukia nusura auwawe akakimbia gari lake likachomwa moto. wananchi wa mtwara wakaendelea kuwa na msimamo kwamba gesi haitoki..kwa hiyo yanayofanyika ni ya wanamtwara wenyewe na sio msukumo toka nje.

1. Silaha za wananchi ni mabomu ya uvuvi,mishale na mapanga ambayo yapo kila siku,miaka yote hayajaagizwa kutoka nje ya nchi.

2. Hivi wewe unataka kuniambia mwananchi akidai haki zake eti "katumwa na wachochezi'' kana kwamba yeye hana akili timamu.......unataka kutuambia hata wazee wetu wapigania uhuru waliambiwa na watu wa nje kwamba nchi zetu zilikuwa zinanyonywa na wakoloni.

3. Hata kama makosa yalifanyika nyuma kwa mikoa ya tabora,shy,mza,mara (migodi ya dhahabu na almasi) sio lazima turudie mtwara.

4. Ingekuwa Mza,A-town,Dar,Moshi serikali ya CCM ingekuja na jibu rahisi kwamba CDM inachochea, ingekuwa Zenj CUF wangetuhumiwa, Sasa mtwara tunadanganya ''mkono wa nje"

5. Wewe kama Mtz em pita vijiwe vya watu wa kawaida Kariakoo,manzese,tandale,Tmk,Kndoni,Mza,Arusha,Musoma,Bk jaribu kuuliza au kusikiliza maoni ya wananchi ndio uende kuwaambia wakuu wako pale lumumba.

6. Tunataka masahihisho yaanzie mtwara, mji ufanane kama miji maarufu ya uchimbaji wa madini kule africa kusini tusirudie makosa ya mwanza,Shy,Tbr,Mara nk.

7. Unaposema mtwara ni mbali, unamaanisha mbali na wapi? kwasababu wanaihitaji gesi watalipia gharama za usafiri kuifuata sababu ni adimu.

8. Eti Mtwara hamna wataalamu ni uongo, Nchi yetu haina wataalamu ndio kwanza wameenda shule.......kama hiyo ni sababu bomba lingejengwa kumwaga gesi urusi ndio kuna wataalam.

9. Wasomi wote wako Dar sababu ya ajira na asilimia zaidi ya 90% si wazawa wa Dar, ni matumaini yangu kwamba hata bomba lingekuwa mtwara bado wasomi wangelifuata mtwara kupata ajira nzuri, mbona migodi ya dhahabu haijahamishwa Tbr,Shy nk lakini vijana wasomi kibao wanakimbilia huko kupata ajira nono.

Kwahiyo ni vema kukaa chini na kuja na suluhisho la juu juu, kwa sasa serikali ya CCM haiwezi kudanganya watu, sababu watu wamekufa kahama,mererani,tarime kwa manufaa ya viongozi walafi pasipo hata manufaa kwa mwananchi. Pia wananchi wakipinga usiuite uhaini, tatizo lako na CCM hamjui kwamba hata Polisi na JWTZ ni watanzania na hawafurahishwi dhuluma kwa wananchi...................
 
Leo asubuhi ya saa mbili na dakika 56 (08:56:16am) nimepokea ujumbe wa simu kutoka kwa mmoja wa Viongozi wa juu wa Chama Cha Mapinduzi CCM, ambae kwa cheo ni Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM (NEC). Ujumbe wenyewe ni huu ufuatao:
tupo kwenye gari pick up ya DFP. **** niko mimi, mkuu wa wilaya, shakir bimji (mwandishi wa habari) na dereva. tunaelekea Ndanda na Nyangao kuwaona Askari waliopata ajali jana tar. 22/05/2013. Sms hii usiifute mpaka nitakaporejea salama

Ujumbe huu uliniongezea simanzi na majonzi niliyonayo juu ya maafa mbalimbali yaliyojitokeza katika vurugu za Mtwara jana. Simanzi hii ilitokana na kuona hali ya unyonge, woga na wasiwasi mkubwa walionao viongozi wenzangu wa Chama, wasiwasi huo hautokani na woga wa kitoto bali kutokana na hatari wanayoiona mbele yao ya kuwindwa, kushambuliwa na kufanyiwa hujuma na matendo mengine ya kudhuru mwili.

Swali la msingi na lenye kufikirisha ni kwanini wahaini hao wanawalenga wanaCCM..? je inaweza kuwa watu hao wanamlengwa mwingine wa kisiasa ambao unakinzana na CCM hivyo kuifanyia CCM na Viongozi wake mambo haya..? Sitaki kuamini kuwa vurugu hizi zina unasaba wa aina yeyote na Siasa zetu hapa nchini bali najilazimisha kuamini kuwa vurugu hizi ni hujuma na uhaini unaofanywa na wahuni, wahaini ambao hawaitakii mema nchi yetu. Najilazimisha kuamini hivyo kutokana na maana halisi ya Siasa, ama harakati za siasa kuwa hazihafikiani na kinachofanyika mtwara, bali vitendo hivyo vinashabihiana na maana ya hujuma na uhaini kama ifuatavyo.

Maana ya maneno mawili ya mwanzo ya yaani hujuma na uhaini yanafuatana kwa maana hujuma inaweza kutumika kama mkakati wa uhaini. Uhaini ni tendo la kusaliti nchi, serikali au mfadhili; uasi. Hujuma ni shambulio ama vamio: fisidi, kuvuruga ama kuharibu.

Maana ya kipengele cha tatu ambacho kimebeba maneno mawili harakati na siasa, ama siasa ina maana ni mfumo wa mawazo yaongozayo utawala wa serikali ya nchi tafsir nyingine ni utaratibu wa utekelezaji au uendeshaji wa jambo kwa kutumia busara na hekima ili kufikia lengo linalotarajiwa.,na maana ya neno la mwisho yaani harakati ni juhudi zinazoafanywa na watu kwa ajili ya kufikia lengo fulani, bidii, jitihada.

Katika tafsir hizo tatu, kinachoendelea mtwara hivi sasa tunakitoa kabisa katika maana halisi ya harakati za kisiasa, kwa kuwa maana ya harakati za kisiasa ni juhudi za kupanga utaratibu wa mfumo wa mawazo yaongozayo (ama yanayolenga kuongoza) utawala wa serikali ya nchi.

Kwa maana ya Hujuma kuwa ni shambulio, kuvuruga ama kuharibu ni sahihi kwa upande mmoja kuwa hiki ndicho kinachoendelea mtwara lakini kwa tafsir ya uhaini ndiyo hasa inayoelezea kinachoendelea Mtwara.

Ndio ni uhaini uliopangwa na kutekelezwa na watu wenye nia mbaya na nchi hii, wasio wazalendo na waliokosa utaifa. Wanaoendesha mkakati wa nchi kutotawalika, kwa kuibua hujuma mbalimbali dhidi ya serikali na chama kiendeshacho serikali hiyo yaani CCM.

Sio ajenda na hoja ya gesi, bali hoja hii imetumika kimbinu kuendesha mkakati huu wa kihaini ambao unawawinda wanaCCM, ofisi zao, mali zao pamoja na serikali yao. CCM ni chama cha siasa kinafanya siasa ya kuendesha nchi hii, vipo vyama vya upinzani navyo vinalenga kuelekea katika mlengwa huu wa kisiasa, lakini wakati mwingine vinapotoka na kuacha Siasa ama harakati za kisiasa na kujikuta wakifanya hujuma na vitendo vingine vya kihaini. Kwani kama hoja ni gesi vipi vurugu zilenge katika mali, ofisi na uhai wa wanaCCM..?
 
Siku zote nimekuwa nikijiuliza huyu TandaleOne ni nani kumbe ni wewe! ok!
Hebu ngoja kwanza tukusanye taarifa halafu tutakujibu kwa facts maswali ambayo hujayapatia majibu mpaka sasa.
 
Last edited by a moderator:
Watanzania tumeze moto tu hata kama moto ...ukweli kwa hali iliyokuwa inaonekana na kilichotokea jana hapa Mtwara ukweli ulio wazi jambo hili lilipangwa na wako wanaoliongoza ila walikuwa wanangoja sababu ya kuanzia kutekeleza uhaini wao... Cha kushangaza kwa vurugu zinazolipuka wakati huo huo ni nadra kuyapata mabomu ya samaki na magobore, mapanga... Hili jambo tukatae tukubali lilipangwa na wako wanaofanya mipango hiyo.. Na walipanga wafanye hiki na hiki...

Binafsi nawapongeza jeshi la polisi kwa jitihada zao walizozitumi kunusuru hali isiendele kuwa mbaya ukweli hata mkiwabeza lakini ukweli uko wazi wamesaidia kwa kiwango kikubwa..Tukumbuke pia si wananchi wote wanapenda kinachoendelea hapa Mtwara. Naomba JWTZ endelee kuangalia hali inavyoendele ili amani iwepo msiingie kazi kutekeleza sheria za kijeshi mana khali itakuwa mbaya zaidi kwa wananchi mana jeshi 99% mafunzo yao ni kuua..

Shime watz turudi nyuma tuache ushabiki wa kisiasa tuliangalie hili jambo kiiundani zaidi na nyuma kuna nini tusiingizwe kichwa kichwa .

Sasa kwanini TISS wameshindwa kuzima njama zote hizo na kuishauri serikali kuchukua hatua za haraka ili kusitokee machafuko kama hayo kiasi cha Watanzania wenzetu kupoteza maisha.

Jeshi la polisi malanyingi wakizuia mikusanyiko ya watu au maandamano, wanatueleza kua, kutokana na taarifa za kiitelijensia kuna viashiria vya uvunjifu wa amani. Na nivema kuzitumia taarifa hizo kuwakamata wahusika kabla mambo hayajaharibika.

Binafsi napenda amani na ninapenda serikali ijifunze kwa kukubali kukosolewa bila kutumia msuli katika mambo ambayo yanaweza yakamalizwa kwa njia ya mazungumzo. Rasimali itakayopatika Mwanambaya Mkuranga ni rasilimali ya Taifa na itumike kuwanufahisha Watanzania wote, lakini swali ni kwamba, sera za usimamizi wa rasilimali hizo zikoje(wale wenyeji wa pale watafaidika vipi kabla ya matumizi ya wote) kungekua na mjadala wa wazi kuwashirikisha wadau wote ili kutoa uwanja sawa kwa kila mtu.
 
unawajua nini au uliwaona
iachie kazi pilisi
au isaidie kazi polis
 
This an attribute of ferocious decisions of CCM government
We have a very serious and huge responsibilities to run the country. Maamuzi yetu yanafanywa kwa kuzingatia uhalisia wa mazingira yetu, siasa zetu na rasimali tulizonazo. Hakuna maamuzi kandamizi ama ya upendeleo ambayo CCM ama serikali yake yanaweza kuya-champion. Ni ajabu na ni muendelezo wa siasa chafu kudai serikali ya CCM inalenga kuitenga na kuionea kusini.
 
Ndugu yangu Tandale One, naungana nawe katika kuhuzunika kwa yale ambayo yametokea Mtwara. Hata hivyo, sioni mwingine yeyote ya kumlaumu au anayepaswa kufikwa na madhila haya zaidi ya CCM na viongozi wake. Hivi madai ya msingi ya wananchi wa Mtwara ni yepi? Na serikali imeyashughulikiaje?
Pinda alipokwenda Mtwara walifikia makubaliano ya kuiacha gesi mtwara. Iweje kipengele hicho kiingizwe kwenye bajeti ya wizara ya Nishati na Madini tena kwa mbwembwe?
Wananchi wa mtwara tumewaandaaje kisaikolojia katika hili? CCM isirudi kulilia huruma ya wananchi, hili wamelitaka kwa muda mrefu hili, sina shaka linatokea sasa. Wananchi wa Mtwara leo sio wale wa miaka ya " Wreath of Father Mayer"., this is a bit new generation.. Korosho imeshindwa kuwasaidia, bandari imeshndwa kuwasaidia, na gesi pia isiwasaidie???
Noo.,
CCM imepanda kiburi, wacha ivune Kaburi..
 
Mie mumewadharau wananchi wa mtwara musitafute mahala pa kujificha, kwa sababu ya kutekeleza yale tu ambayo mulipewa kama serikali na chama ongozi,wakati kuna mkanganyiko wa bomba la gesi kujengwa na kupelekwa kufuliwa kinyerezi na harafu kulisha bandari ya bagamoyo, hakuna mwana CCM wala kiongozi wa serikali ngazi ya kata,wilaya,mkoa ,taifa aliyechukua jukumu la kutafuta mbinu bora ya mawasiliano,wewe mwenyewe ulikwenda na katibu wako mkuu wananchi wakawazomea,hiyo ilikuwa ishara mungelichukua hatua ya kuzungumza na wananchi mara kwa mara mungeepusha haya.

Kwa hali ilivyo CCM na serikali yake lazima muweweseke kwa sababu mulizoea kupendwa kuheshimiwa nakutukuzwa hata pale mulipotenda makosa sasa watu wamewachoka kwa sababu hawaoni unafuu wowote wa maisha tabu zimewazidi nanyi hamuwasikilizi, na unajua saikolojia ya mwanandamu akipenda kitu kikamkifu ni kukichukia vibaya sana

Vyama vya upinzani vipo kwa mujibu wa sheria,kuwa kwenu madarakani haihalalishi nyie kuwa juu ya sharia,kuhusu uvunaji wa gesi na usafirishwaji wake mumetumia mbinu gani kuwashirikisha wananchi kwa upana wake

sheria zipi zimewaongoza kufikia uwaamuzi wa kuingia mikataba wakati hata sera za sekta ndogo za gesi hazimo
mshauri mwenyekiti wako mgogoro wa kwanza alikuwa ulaya, aliporudi hakwenda mtwara japo wananchi walimhutaji sana watoe kilio chake dharau zake zimezaa mapinduzi ya fikra kati ya wananchi wa mtwara hakuna namna ni mpaka pale mutakapoingia kwenye mazungumzo basi

Rejeeni ahadi za mwana tanu munaweza kurudisha heshima kidogo na wananchi wakarudisha imani kwenu
pole kwa viongozi na wananchi pia huko Mtwara
 
Kama wewe ni mfuatiliaji mzuri wa habari naomba uniambie katika kata ya Madimba Mtwara kuja project kubwa 3 zinahusu nini? na wanachokidai watu wa Mtwara na lindi ni kipi hasa?
Usiwe juha! kama unazifahamu hizo projects zitaje na siyo kuwauliza wenzako kimtego!

Toa hoja na ukome kutoa mapovu!


 
Hiyo ni Michadema tuuu, ipo Siku, NASEMA ipo sikuuuuu.

CHADEMA imetokea wapi tena hapa? Kwann wasiwe TLP au CUF? By the way, CHADEMA ndio walioingia mkataba wa kuipeleka gesi ya Mtwara pale Bagamoyo? Ipo siku utaanza kuogopa hadi kivuli chako..
 
Back
Top Bottom