View attachment 41701
Hapo ni maeneo ya iyovi Dar -Mby Rd.
Hapo wanaovataki kwa pamoja yakipanda mlima.
Je likitokea lori lina shuka mlima itakuwaje?
Kuna hiyo tanker mbele, likija gari na kukumbana nalo, kuna hatari ya moto mkubwa kufunika magari yote hayo. Kuna anayeweza kulitambua hilo basi la kijani linalofuatia tanker kwa nyuma? Hii picha inafaa kusambazawa pia kwenye magazeti ili wananchi wajionee wenyewe jinsi maisha yao yanavyowekwa hatarini.
Bus hilo lililo nyuma ya lori ni 'green star', hawa huwa walau wanaustaarabu na hawakurupuki barabarani. Nimesafiri nalo mara 3 kwenda/kurudi Mbeya.