Ketoka
JF-Expert Member
- Sep 23, 2015
- 1,087
- 1,913
Acha ukwel ubaki ukweli ,sera ya Uhuru na maendeleleo ya watu inampaisha Tundu Lissu.
Ukata, mzunguko wa pesa,,biashara zimedorola, fremu zimefungwa, watu hawana akiba account zao zinasoma negative
Mijini na vijijini wanalia na ukata wa hela, hapa CCM hatapata kura kwa sababu hiyo
Unaambiwa wanaume wanaotembea na wallet mifukoni ni wachache na kama yupo amejaza vitambulisho.
Hakuna haja ya Lissu kufika vijijini,, ukata wa fedha ni kampeni tosha kwa Lissu
Kumpa Magufuli kura ni kuongeza ufukara mara dufu kwa miaka 5 ijayo
Ukata, mzunguko wa pesa,,biashara zimedorola, fremu zimefungwa, watu hawana akiba account zao zinasoma negative
Mijini na vijijini wanalia na ukata wa hela, hapa CCM hatapata kura kwa sababu hiyo
Unaambiwa wanaume wanaotembea na wallet mifukoni ni wachache na kama yupo amejaza vitambulisho.
Hakuna haja ya Lissu kufika vijijini,, ukata wa fedha ni kampeni tosha kwa Lissu
Kumpa Magufuli kura ni kuongeza ufukara mara dufu kwa miaka 5 ijayo