Ugumba mwingine sio mapenzi ya Mungu

Ugumba mwingine sio mapenzi ya Mungu

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
371,076
Reaction score
859,172
Miaka ya 90 katikati kuna filamu fupi iliyoitwa 'Silent Scream' ilikuwa ya kutisha na kuzunisha mno, ilihusu utoaji mimba, ikionyesha wazi wazi mikasi, sindano na madawa vilivyokuwa vikiteketeza vichanga.

Ni uuaji wengi wameshiriki huu mchezo wa mauti hata humu jamvini wamo. Wengi hawataki kuzaa mapema wanakula ujana kwanza lakini wakati huo huo hawatumii kinga, wakija kunasa wanakimbilia kutoa.

Unatoa mimba zaidi ya tatu inafika mahali unapata mume muanzishe familia unataka kuzaa inashindikana, unaanza kuhangaika na hospitali, kwenye maombi mpaka kwenye mitishamba, inagoma.

Usitafute mchawi wale uliowaua ndio ulikuwa uzazi wako, majuto ni mjukuu mshukuru Mungu, Mwambie mwenzako ukweli maisha yasonge mbele.

NB: Wanaume ni chanzo cha aborting nyingi.
 
Dada yulee....ni dada mzuri lkn hakutulia, kipindi kile.....alikuwa akipata mimba ye anatoa....leo anataka mtoto hapati mtoto anabaki kulia.....amesahau ya nyuma..anakesha kwa waganga...ndoa yataka vunjika...utavuna ulichopanda. By Ney wa Mitego
 
Dada yulee....ni dada mzuri lkn hakutulia, kipindi kile.....alikuwa akipata mimba ye anatoa....leo anataka mtoto hapati mtoto anabaki kulia.....amesahau ya nyuma..anakesha kwa waganga...ndoa yataka vunjika...utavuna ulichopanda. By Ney wa Mitego

asante kwa mashairi, kumbe nawe umo
 
Miaka ya 90 katikati kuna filamu fupi iliyoitwa 'SILENT SCREAM' ilikuwa ya kutisha na kuzunisha mno, ilihusu utoaji mimba, ikionyesha wazi wazi mikasi, sindano na madawa vilivyokuwa vikiteketeza vichanga ni UUWAJI!!! wengi wameshiriki huu mchezo wa mauti hata humu jamvini wamo. wengi hawataki kuzaa mapema wanakula ujana kwanza lakini wakati huo huo hawatumii kinga, wakija kunasa wanakimbilia kutoa, unatoa mimba zaidi ya tatu inafika mahali unapata mume muanzishe familia unataka kuzaa inashindikana, unaanza kuhangaika na hospitali, kwenye maombi mpaka kwenye mitishamba, inagoma! usitafute mchawi wale uliowaua ndio ulikuwa uzazi wako, majuto ni mjukuu mshukuru Mungu, Mwambie mwenzako ukweli maisha yasonge mbele NB: WANAUME NI CHANZO CHA ABORTION NYINGI

Hapo mwisho sikubaliani na wewe wanaume sio chanzo , chanzo ni nyie kwani ndio mnajua tare he hatari, hata hivyo hatuombagi mtoto tunaomba papuchi tu. Unaposema kukupa raha ni 50 tshs hausemi including mtoto
 
Hapo mwisho sikubaliani na wewe wanaume sio chanzo , chanzo ni nyie kwani ndio mnajua tare he hatari, hata hivyo hatuombagi mtoto tunaomba papuchi tu. Unaposema kukupa raha ni 50 tshs hausemi including mtoto

Wewe nitake radhi kama hukukusudia mimi si mwanamke
 
Wanaume wanakuwaje chanzo wakati mimba ipo tumboni kwa mwanamke?

Hivi wewe unaweza kulazimishwa kufanya usichokitaka?

Ntakuelewa ukisema makosa ni ya wote
 
Wanaume wanakuwaje chanzo wakati mimba ipo tumboni kwa mwanamke?

Hivi wewe unaweza kulazimishwa kufanya usichokitaka?

Ntakuelewa ukisema makosa ni ya wote

kwa watu wazima ni sawa lakini vp kwa wale mabinti wa mimba za utotoni? waliorubuniwa na wanaume mabazazi wenye kipato?
 
Wengine ndio wanaishia kuiba watoto wa watu....

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Wengine ndio wanaishia kuiba watoto wa watu....

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums

wanaongeza tatizo juu ya tatizo, huna uzazi, unatamani upate mtoto, shetani anakushawishi ukaibe, unatimiza lengo lakini unakamatwa, unakuwa na kesi ya wizi wa mtoto
 
ni kweli ukiula ujana sana utashindwa kuja kuumeza uzee,na nimependa ulivyomalizia,lait wanaume mngepunguza kukana mimba zenu labda hili janga la utoaji lingepungua
 
Kweli wanaume wanachangia sana..na wengine wako kwenye ndoa lakin wanashawishi wake zao watoe mimba na mwanamke ukiwa mbumbumbu unakubali tu kufanya mauaji😭
 
Back
Top Bottom