Mkuu ukipata ukweli tuletee na sisi.Kuna kaukweli flani nahisi ngoja nicheck na mzee Akilimali
Mkuu ukipata ukweli tuletee na sisi.Kuna kaukweli flani nahisi ngoja nicheck na mzee Akilimali
Mkuu unahangaika bure na wale wazee, hivi unadhani ni kwa nini mtu akifika miaka 60 anatakiwa kustaafu kwenye utumishi wa umma, ni kwa sababu akili inakuwa imeshaanza kuchoka hivyo akili ya mzee Akilimali imeshachoka, eti Shaffii amuzuie Maximo kuja du kweli huyu mzee amechoka vibaya baada ya Manji kutumia ujanja wake wote na kuona makubaliano hayajafikiwa huku uchaguzi unakaribia na single ya Nchunga imeshachuja akaamua atoke na single nyingine, mwambieni Manji na wazee wake wawe wakweli na wastaarabu maana kuna washabiki wa Yanga wenye akili kama za Akilimali wanaweza amini maneno ya huyu mzee na kumdhuru Dauda kisa tu wameaminishwa maneno na hawa wazee waganga njaa.hao ndo wafwasi wa rage mmezibwa masikio hakuna linaloendelea,. Vp ile simba tv
Nilimsikia yule mzee akisema kwenye clouds radio. Nilishangaa, hata sielewi kwa nini mtu mzima yule alifanya hivyo. Shaphii fuatilia hili jambo kwa karibu huyu mzee kakumwagia sumu mbaya. Epuka media mtumie wakili amfungulie defamation case ili yeye na wengine wakome. Nilisikia umempa siku saba za redioni hazifai mtumie barua ya wakili kabisa ili kila kitu kiende kwa utaratibu. Ndo ataacha yeye analeta unazi kwa gharama ya mtu mwingine. Pole sana.Mkuu unahangaika bure na wale wazee, hivi unadhani ni kwa nini mtu akifika miaka 60 anatakiwa kustaafu kwenye utumishi wa umma, ni kwa sababu akili inakuwa imeshaanza kuchoka hivyo akili ya mzee Akilimali imeshachoka, eti Shaffii amuzuie Maximo kuja du kweli huyu mzee amechoka vibaya baada ya Manji kutumia ujanja wake wote na kuona makubaliano hayajafikiwa huku uchaguzi unakaribia na single ya Nchunga imeshachuja akaamua atoke na single nyingine, mwambieni Manji na wazee wake wawe wakweli na wastaarabu maana kuna washabiki wa Yanga wenye akili kama za Akilimali wanaweza amini maneno ya huyu mzee na kumdhuru Dauda kisa tu wameaminishwa maneno na hawa wazee waganga njaa.
bado sijaelewaa.. kuna ushahidi..?
Hadithi hii imekaa kimbeambea sana. Hivi kweli Shaffi Dauda anaouwezo wa kumzuia Maximo kuja kufundisha YANGA kama kweli alikuwa na mpango huo!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!??????????????????:sad:
clouds fm imekaa ki-simba zaidi.inaanza kupoteza mwelekeo.
inamana mzee akilimari anakichaa skuizi na kuanza kumsingizia shafii dauda,. Tuache unafiki shafii amezid ukuda
unauhakika kama ana kichaa? hebu weka ushahidi hapaAna kichaa ndiyo. Kama kweli alete ushahidi hapa.
ila ndala a.k.a kandambili anapata shida, mara anafungwa magoli matano, hapohapo simba anamchumbia, kwingine kila siku watu wanamtembelea/wanamkanyaga wanapoenda mitaani na kuoga....yaani yanga inakanyagwa kishenzii aisee.
Nyie watu wa Yanga mna vituko kweli, ile sredi ya Okwi kusaini Yanga ndani ya masaa 72 mliweka hadi source Shafii Dauda blog na mkashadadia kweli, siku akipost kitu ambacho sio positive kwa Yanga anakuwa anatumiwa na Rage lakini akipost ambayo ni positive kwa Yanga mnakuwa wa kwanza kuanzisha sred humu sasa hapo sijui anakuwa ametumiwa na nani.naamini shffi hawezi kufanya kitu kama hicho,lakini fitina na yanga anazo kweli,aache tabia hizo.au Anatumiwa na rage?!
Huyo Shafi ni anti-Yanga kweli. Naweza kuamini maneno ya mzee Akilimali. Mabaya yote ya Yanga hakawii kuyaniika hata kwenye You Tube. Sidhani kama kwa Simba anafanya hivyo. Siku Mwasika alipomtwisha ngumi mwamuzi haraka sana kaweka kwenye You Tube almradi Yanga waonekane wabaya.
Uandishi pasipo elimu au kuzingatia taaluma ni shida sana
hata mimi n ingekua Maximo NIsingefundisha yanga!!! Kutoka kua Kocha wa Timu ya taifa mpaka club?? the same country?????