nyingi ni made from india na germany, majina yake cyakumbuki kwa harakaUmetumia dawa gani mpaka sasa.
Dawa ya vidonda vya tumbondio nini, naomba nieleweshe mkuu
Hii nimeisoma sehemu ila bado naitagitimimi nakula pilipili (kwa wingi sana)
na sijawahi ugua ulcers. hiyo ndo dawa nzuri ila usile mbegu
wadudu wa vidonda vya tumbo wanakuwaga wabishi kusikia dawa jaribu kutumia omeprazole 20mg asubuhi na jioni dk 30, kabla ya kula levofloxacin 500mg kimoja kwa siku na amoxicillin 1g asubuhi na jioni. tumia kwasiku 14. hakikisha hauna allergy na penicillin. omeprazole ni dawa ya kuzuia utengenezwaji wa asidi unaweza tumia hadi kwa siku 14 zingine baada ya kumaliza dozi.nyingi ni made from india na germany, majina yake cyakumbuki kwa haraka
Nitafute mimi nikupe dawa upate kutumia siku 30 utapona na hata kula vyakula vyovyote unavyopenda.Ukihitaji tiba oka kwangu Unaweza kunitafuta kwa Mawasiliano Herbalist Dr. MziziMkavu Email barua ya pepe.fewgoodman@hotmail.com What's App na Viber +905344508169 Au Ni add Kwa Facebook tumia jina hili mzizimkavu.Habari za jioni, popote ulipo. Nasumbuliwa na vidonda vya tumbo nahitaji msaada wa dawa. Vinaninyima raha, nahitaji kurudia hali yangu ya kawaida. Tafadhalini
Elezea vizuri,zinatibuje, zimethibitishwaDawa zipo za miti shamba Kwa cronic ulcer 100,000/=, normal 70,000/=. Kwa anaitaji anichek namba hizi 0652247221/0755429928
Elezea vizuri,zinatibuje, zimethibitishwa
Mbona sioni tbs wala tfda hapoDawa ya vidonda vya tumbo
Vidonda vya tumbo ni pathology, haviwezi kuwa normal. Sijakuelewa unaposema normal =70,000 unamaanisha nn?Dawa zipo za miti shamba Kwa cronic ulcer 100,000/=, normal 70,000/=. Kwa anaitaji anichek namba hizi 0652247221/0755429928
Vidonda vya tumbo ni pathology, haviwezi kuwa normal. Sijakuelewa unaposema normal =70,000 unamaanisha nn?
Basi Mkuu pengine neno acute au uncomplicated lingekuwa sahihi zaidi kwa mtazamo wangu zaidi ya normal.Normal hali ya kawaida ambayo bado havijaanza kutoa damu kwa kuarisha au kutapika.
Mkuu bima kubwa ni ipi?Noooo dawa ulizozitaja ni tabaka tofauti sana na H.Pylori Kit, pls mgonjwa muone daktari akupime akikukuta na huyo bacteria atakupa Heligo Kit, na utapona.
Amoxylin?? Uko serious kweli na mgonjwa? Fkagylin zinakwangua tumbo na ukiwa na buku unapata dose nzima, sasa unafananishashe na dose ya elfu 50??
Ukiwa huna bima ya maana(kubwa) H.Pylori hupimwi ng'oo! Na ukiwa huna bima kubwa hiyo hiyo dose katu hupewi, km huna bima tumia gharama nadhani laki itatosha vipimo na dawa.
Mwombe Mungu atakusaidia
Ya kijani ndiyo kubwa ya nhifMkuu bima kubwa ni ipi?
Mi nataka nikafanye vipimo vya huyo bakteria ila nina hii bima ya kijani ya NHIF sijui nayo inaingia kwenye hizo bima unazozisemea au inabidi niingie mfukoni?
Na ni hospitali ipi hapa Dar ambayo vipimo vya huyo bakteria huwa ni vya uhakika?
Nimekuwa mgonjwa takliban miaka 3 najisikia tumbo likiwaka moto maumivu kifuani kuchoka kwumwamgongo mwilikukonda nk nimee zahanati malimbali mahospitar mbambali nishaenda nikapata dawa lakini spati nafuu kwa anae jua dawa msaada maaana bado napenda kuishi
Mkuu asante na mimi nitajaribu. Je ushawahi tumia au kuna jamaa yako alipona kwa njia hiyoTafuta Asali Mbichi ni vyema isiwe ya kuchakachuliwa
Nenda Sokoni kanunue BAMIA changa ( ambazo hazijakomaa)
Kisha Uwe unatafuna BAMIA Pamoja na Kijiko cha Asali
BAMIA TATU PLUS VIJIKO VITATU VYA ASALI
ASUBUHI MCHANA NA JIONI
Ukitumia ipasavyo Baada ya Week njoo tena Ulete mrejesho coz utakuwa umepona kwa uwezo wa Mola
Ila ni vyema ukaendelea kutumia hata mwezi mmoja kama ni ttz la muda mtefu