ngafu.fijo
JF-Expert Member
- Oct 3, 2015
- 1,235
- 1,093
Mama yangu aliteseka sana na ulcers kwa muda mrefu.....mlonge ukichanganya na asali ndiyo vilivomsaidia mpaka leo ulcers kwake ni historia
yah ndo njia sahihi wengi watamdanganya na dawa za asili ambazo n ghali...Dawa ni nyingi sana, ila kabla ya dawa nakushauri uende kwa wataalamu, na pima vipimo muhimu kujirizisha kwanza kabla ya tiba, mfano
1.H.pylori test
2.abdominal utrasound especially kama umefikia stages mbaya yaani complications, kama vile perforations
3.oesphageal gastro duodenalscopy (ambacho ndicho sahihi kwa tatizo lako, yaani Diagnostic test)
4.lkn pia tambua tiba sahihi ina husisha kuepuka risks factors, yaani vyanzo vya tatizo, kama sigara, pombe, stress, dawa baadhi NSAIDs,vyakula nk,
.tiba dawa ,na hatua ya mwisho pia ni upasuaji !
Unachanganyaje?FafanuaMama yangu aliteseka sana na ulcers kwa muda mrefu.....mlonge ukichanganya na asali ndiyo vilivomsaidia mpaka leo ulcers kwake ni historia
Mama yangu aliteseka sana na ulcers kwa muda mrefu.....mlonge ukichanganya na asali ndiyo vilivomsaidia mpaka leo ulcers kwake ni historia
Dawa ni nyingi sana, ila kabla ya dawa nakushauri uende kwa wataalamu, na pima vipimo muhimu kujirizisha kwanza kabla ya tiba, mfano
1.H.pylori test
2.abdominal utrasound especially kama umefikia stages mbaya yaani complications, kama vile perforations
3.oesphageal gastro duodenalscopy (ambacho ndicho sahihi kwa tatizo lako, yaani Diagnostic test)
4.lkn pia tambua tiba sahihi ina husisha kuepuka risks factors, yaani vyanzo vya tatizo, kama sigara, pombe, stress, dawa baadhi NSAIDs,vyakula nk,
.tiba dawa ,na hatua ya mwisho pia ni upasuaji !
unachanganya vipi mlonge na asali mkuuMama yangu aliteseka sana na ulcers kwa muda mrefu.....mlonge ukichanganya na asali ndiyo vilivomsaidia mpaka leo ulcers kwake ni historia
Tuelekeze huu mchanganyiko.Mama yangu aliteseka sana na ulcers kwa muda mrefu.....mlonge ukichanganya na asali ndiyo vilivomsaidia mpaka leo ulcers kwake ni historia
Hellow..,habar.mie ni daktar nilyesomea kabisa taaluma yangu.na co km hawa wengine wa tba mbadala wanaojiita madaktar bila ya kusomea udaktar wao.daaaah nitamtafuta coz nasumbuliwa sana na vidonda vya tumbo
thanxHellow..,habar.mie ni daktar nilyesomea kabisa taaluma yangu.na co km hawa wengine wa tba mbadala wanaojiita madaktar bila ya kusomea udaktar wao.
Ushaur wangu kwako,pamoja nakutafuta tiba.kwanza nikupe pole kwa tatizo hilo kinalokusumbua,ila kuweni makin na hizo dawa mbadala ambazo/kama hazijathibitishwa na mamlaka za Afya kwan zingine huwa na madhara hatar sana kwa afya zetu na kutokea kugharimu sana maisha yetu.
Kuna product inaitwa TREVO,hyo imethibitishwa na taasis za Afya za kimataifa na inafanya vizur sana kutbu na shida km hyo yako.(NI USHAURI TU).
Maelezo zaid na jinsi ya kuipata.
0768228904.WhatsApp/Piga.
www.trevo.life/mbilinyinoeli
View attachment 376151View attachment 376152View attachment 376153View attachment 376154
anybody who suffering with ulcers please pm nikusaidie.