Zion Daughter
JF-Expert Member
- Jul 9, 2009
- 8,921
- 4,236
nenda kwa Dk Rahabu.Kila siku anajitangaza amegundua dawa ya Ulcers FITERAWA.hadi bungeni amepata ujiko.
nenda kwa Dk Rahabu.Kila siku anajitangaza amegundua dawa ya Ulcers FITERAWA.hadi bungeni amepata ujiko.
vipi kuhusu tiba,ke wangu vinamsumbua kweli na vinatukosesha amani
Unaweza kuelezea zaidi athari za matumizi ya Coffee kwa undani zaidi maana siku hizi nimetokea kupenda sana Coffee! Japo na hayo yote nashukuru sana kwa Msaada wako ambao kama hautanisqaidia leo utanisaidia kesho ! Naomba kama utaweza elezea matatizo ya kutumia Coffee!
vipi kuhusu tiba,ke wangu vinamsumbua kweli na vinatukosesha amani
Dawa ya vidonda vya tumbo Mfahamishe huyo shemeji yangu mke wako anayeumwa na Vidonda vya Tumbo atumie Dawa ya Hii ya Kienyeji Akiamka Asubuhi kabla ya kula kituNafikiri ungeendelea kutupa Tiba
Dawa ya vidonda vya tumbo Mfahamishe huyo shemeji yangu mke wako anayeumwa na Vidonda vya Tumbo atumie Dawa ya Hii ya Kienyeji Akiamka Asubuhi kabla ya kula kitu
akojowe mkojo wake mwenyewe kwa kipimo cha Glasi moja awe anakunywa mkojo wake kila siku Asubuhi kabla ya kula kitu kwa muda wa Siku Saba kisha Aende kupima hivyo
Vidonda vya Tumbo Vitapona na kukauka kabisa Mwambie ajaribu kutumia hiyo Dawa itamsaidia Sana. Hi Dawa imewasaidia wengi na hayo matatizo ya huo Ugonjwa wa Vidonda vya Tumbo akitumia hii Dawa yatatoweka kabisa. Hakuna Dawa ya hospitalini inayoweza kutibu Vidonda vya tumbo (Ulser)
kama kweli unaumwa unaweza kutumia hiyo dawa.mbona mkuu uko Vs your ID? Mzizi tena mkavu anashauri unywe mkojo!.! Mkuu natania tu ila naona ugumu wa kutumia iyo dawa,japo naumwa. Ngoja nisake ujasiri wa kutumia.
Dawa ya vidonda vya tumbo Mfahamishe huyo shemeji yangu mke wako anayeumwa na Vidonda vya Tumbo atumie Dawa ya Hii ya Kienyeji Akiamka Asubuhi kabla ya kula kitu
akojowe mkojo wake mwenyewe kwa kipimo cha Glasi moja awe anakunywa mkojo wake kila siku Asubuhi kabla ya kula kitu kwa muda wa Siku Saba kisha Aende kupima hivyo
Vidonda vya Tumbo Vitapona na kukauka kabisa Mwambie ajaribu kutumia hiyo Dawa itamsaidia Sana. Hi Dawa imewasaidia wengi na hayo matatizo ya huo Ugonjwa wa Vidonda vya Tumbo akitumia hii Dawa yatatoweka kabisa. Hakuna Dawa ya hospitalini inayoweza kutibu Vidonda vya tumbo (Ulser)
angalizo! huo mkoja usiwe na vimelea vya STD maana utakuwa utakuwa unaruka maji unakaga kinyesi cha binadamu lol!Dawa ya vidonda vya tumbo Mfahamishe huyo shemeji yangu mke wako anayeumwa na Vidonda vya Tumbo atumie Dawa ya Hii ya Kienyeji Akiamka Asubuhi kabla ya kula kitu
akojowe mkojo wake mwenyewe kwa kipimo cha Glasi moja awe anakunywa mkojo wake kila siku Asubuhi kabla ya kula kitu kwa muda wa Siku Saba kisha Aende kupima hivyo
Vidonda vya Tumbo Vitapona na kukauka kabisa Mwambie ajaribu kutumia hiyo Dawa itamsaidia Sana. Hi Dawa imewasaidia wengi na hayo matatizo ya huo Ugonjwa wa Vidonda vya Tumbo akitumia hii Dawa yatatoweka kabisa. Hakuna Dawa ya hospitalini inayoweza kutibu Vidonda vya tumbo (Ulser)
Mkojo wako mwenyewe sio wa Mtu Mwengine jaribu Mkuu kunielewa vizuri . mkojo wako mwenyewe hauna dhara unakutibu wewe mwenyewe sio mkojo wa Mtu Mwengineangalizo! huo mkoja usiwe na vimelea vya STD maana utakuwa utakuwa unaruka maji unakaga kinyesi cha binadamu lol!