Game Theory
Platinum Member
- Sep 5, 2006
- 8,545
- 835
ilevya asali changa imekaaa vizuri
Kuna daktari wa tiba asili anapatikana pale buguruni Kiomboi Kisiriri pharmacy ni bingwa wa kutibu vidonda vya tumbo duniani kwa kutumia tiba asili.wasiliana nae mimi nina ndugu zangu wawili wamepona kabisa ugonjwa huu.namba yake ya simu ni 0784 338513.Anaitwa Dr Rahabu.
HELIGO KIT in antibiotics ndani yake!
Ushauri!
Aende kwa vipimo zaidi, inawezekana sio vidonda vya tumbo ambavyo tunavihisi/fahamu (hivyo vya H. pylori, NSAIDs, ama vya mawazo); yaweza kuwa ugonjwa mwingine kama Crohn's disease, matatizo ya kifuko cha nyongo, na syndrome yenye my favourite name- Zollinger-Ellison syndrome!
There is a very poor old lady who is diabetic.Ndio Akinge (Urine) wake awe anakunywa kila Asubuhi kabla ya kula kitu kwa muda wa wiki moja aende kupima hivyo Vidonda vyake vya Tumbo vitakuwa Vimekwisha kauka na Matatizo yake yatakuwa yamekwisha nasema kweli simtanii hiyo dawa imewasaidia wengi.
Wakuu JF,
Mimi niko nje ya DAR na nimesikia kuna Mtu anaitwa DR. RAHABU amegundua dawa ya kuponya vidonda vya tumbo, ULCERS .
Je wakuu, habari hizi zina ukweli wowote wa kitaalamu?
Eti dawa hiyo inatolewa kwa mazingira ya kutatanisha kama si ya kitaalamu?
Naomba kujuzwa.
Dawa ya vidonda vya tumbo Mfahamishe huyo jamaa anayeumwa na Vidonda vya Tumbo atumie Dawa ya Hii ya Kienyeji Akiamka Asubuhi kabla ya kula kitu akojowe mkojo wake mwenyewe kwa kipimo cha Glasi moja awe anakunywa mkojo wake kila siku Asubuhi kabla ya kula kitu kwa muda wa Siku Saba kisha Aende kupima hivyo Vidonda vya Tumbo Vitapona na kukauka kabisa Mwambie ajaribu kutumia hiyo Dawa itamsaidia Sana.
Wakuu JF,
Mimi niko nje ya DAR na nimesikia kuna Mtu anaitwa DR. RAHABU amegundua dawa ya kuponya vidonda vya tumbo, ULCERS .
Je wakuu, habari hizi zina ukweli wowote wa kitaalamu?
Eti dawa hiyo inatolewa kwa mazingira ya kutatanisha kama si ya kitaalamu?
Naomba kujuzwa.