CARDLESS
JF-Expert Member
- Apr 2, 2017
- 7,786
- 15,732
Dawa peke ni kufanyiwa upasuaji tu. Kuna mdogo wangu alipata akafanyiwa hivyo wanatumia moto wa gesi kuviunguza/kukata na hadi leo vishaponaNaombeni msaada jinsi ya kuondoa hivyo vipele kwa sababu nilishatumia dawa ya kupaka lakini baadae vinarudi tena kwa yeyeto ambaye anafahamu dawa ya kumeza au sindano hata kama ipo ya kupaka ambayo inaweza kuondoa nitashukuru pia.
Kama nikipata doctor pia itakuwa vizuri samahani kwa kupangilia vibaya ila muhimu ni kupata matatibu.Nakaribisha maoni na ushauri