Ugonjwa wa Homa ya Ini (Hepatitis B): Dalili, ushauri wa kinga na tiba yake

Pole ndugu kwa kuuguliwa.. Huo ugonjwa kiukweli unatisha but kuna neema ya MUNGU pia. Ntakueleza kidogo kwa uelewa na elimu niliyopewa na wataalamu.
Huo ugonjwa ni ugonjwa unaoshambulia Cell ktk INI.
Ni ugonjwa unaosababishwa na kugusana na majimaji na mtu anaeumwa huo ugonjwa. Yawezekana kujamiina, mate nk.

Sijajua ndugu yako alipima kipimo gani, ila kuna kipimo cha awali (HbsAg) ambacho hiki kinaweza kuonesha unao ugonjwa huo. Lakini kumbe ugonjwa ulipoingia ukakutana na kinga ya mwili ipo vizuri, ikapigana na hicho kirusi na kukiua so kinapokufa inachukua muda kutoka nje ya INI ndomana ukipima hicho kipimo unaweza ambiwa unayo kumbe kilishauliwa na kinga ya mwili.!

NOTE : HbsAg hiki hupima viashiria vya uwepo wa kirusi. Na (Ag) inamaanisha Antigen. Hii ni miguu ya kirusi. So hatakama mwili/kiini cha kirusi kikiuliwa na kinga ya mwili hii miguu (Antigen) inachelewa kuondoka ktk ini ndo mana ukipimwa unaambiwa unaugonjwa.

So ukishapimwa kipimo hicho kuna kipimo ambacho hiki kinathitisha kuwa kuwa kweli kirusi kipo na kinashambulia INI so ugonjwa anahitaji tiba. Kipimo hiki kinapima uwepo wa kirusi kamili
*Hb e Ag
*Hb core Ag
Baada ya kupima vipimo hivyo ndo itathibitisha hali ya mgonjwa je amefikia stage ya yeye kuambukiza wengine au lah..Inasemekana mgonjwa akishafikia stage hii ya kuambukiza mwingine huwa kupona ni ngumu kwani cell zake ktk INI zinakuwa zimesha shambuliwa sana na mwisho zinapelekea cancer ya INI.

TIBA
Kuhusu matibabu ikishafikia stage ya kuambukiza wengine ni ngumu kupata tiba ya moja kwa moja. Japo kuwa huku mwanzoni wanasema ukitumia maji ya dafu na juice ya miwa inasaidia sana
Zaidi zaidi fatilieni zaidi kwa wataalamu hospitals

ZINGATIA: Huu ugonjwa ni hatari mno na wengi tupo ktk hatari ya kuupata. Kibaya zaidi dalilizake huanza kuonekana wakati ambao umeshakushambulia mno na upo ktk nyakati za mwisho. So tunapaswa kuchukua tahadhari kubwa sana coz ni rahisi kuambukizwa huu ugonjwa kuliko Ukimwi
Iv antigen ni miguu ya virus!!?? Ok ila ume jitahd ku elezea!!!
 
ARV??? Umehakikisha kuwa ana HIV infection huyo mgonjwa?, kasema kaka yake amekutwa na hepatitis.....unaweza ukapata hepatitis bila hata ya kuwa muathirika, ingekuwa vyema kumshauri apimwe na HIV lakini sio kwenda kwenye conclusion kuwa aanze ARV....tujitahidi kuwajibu watu maswali na kutatua shida zao za kiafya kitaalamu.
PREVALENCE OF HEPATITIS B, BY SEX, AGE, AND HIV STATUS
CONCLUSIONS
Of 15,504 eligible households, 14,811 (95 percent) completed a household interview. Of 19,852 eligible women and 16,235
eligible men ages 15 years and older, 90 percent of women and 85 percent of men were interviewed and tested for HIV. Of
10,452 eligible children ages 0 to 14 years, 92 percent were tested for HIV. A representative subsample of 1,310 adults ages 15
years and older were tested for hepatitis B.
HIV prevalence testing was conducted in each household using a serological rapid diagnostic testing algorithm based on
Tanzania’s national guidelines, with laboratory confirmation of seropositive samples using the BioRad Geenius HIV-1/HIV-2
supplemental assay. Viral load testing was conducted on all positive samples. A laboratory-based incidence testing algorithm
(HIV-1 Limiting Antigen (LAg) avidity plus viral load) was used to distinguish recent from long-term infection, and incidence
estimates were obtained using the CDC Incidence Calculator, which uses the formula recommended by the WHO Incidence
Working Group and Consortium for Evaluation and Performance of Incidence Assays, with time cutoff (T)=1.0 year and
residual proportion false recent (PFR)=0.00. Survey weights are utilized for all estimates.
RESPONSE RATES AND HIV TESTING METHODS
THIS also tested a subset of participants for hepatitis to get a national estimate of chronic active hepatitis B prevalence.
Among adults ages 15-64, prevalence of active hepatitis B infection is similar among HIV positive and HIV negative individuals.
Although the estimate for HIV positive individuals (5.2 percent) is slightly higher compared with HIV negative individuals
(3.6 percent), the estimates are not statistically different. These are the first national estimates of hepatitis B in Tanzania
and will be foundational for developing the national hepatitis response
 
Ebana huo ugonjwa wa manjano nakumbuka nilivokua mdogo wa umri km miaka 9 au 8 niliugua kipindi hiko tuko iringa nikawa nachomwa sindano za masaa napewa sana maji ya miwa na madafu nakumbuka nikiambiwa nikanyage takataka za miwa kwa unayo nashkuru nimepona sijaugua tena sijui pengine unatulia tu au nimepona sshv Nina umri wa miaka 30
Hapa Na me ndo napopata mashaka naona tumekuwa wepesi watisha wagonjwa wengi hufa sababu ya hizi pressure wanazopatiwa humu Nina ndugu yangu anahoma ya manjano tangu akiwa mdogo(naomba niseme napata ukakasi kwenye njia za maambukizi ya huu ugonjwa) jamaa yupo mpaka Leo sema kuna wakati Huwa unamsumbua kidogo lakini now mi naenda 28 namuona jamaa anadunda tu Na afya tele Sasa sijui tatizo ni nini labda wajuzi mtujuze zaidi visababishi vya huu ugonjwa
 
Hapa Na me ndo napopata mashaka naona tumekuwa wepesi watisha wagonjwa wengi hufa sababu ya hizi pressure wanazopatiwa humu Nina ndugu yangu anahoma ya manjano tangu akiwa mdogo(naomba niseme napata ukakasi kwenye njia za maambukizi ya huu ugonjwa) jamaa yupo mpaka Leo sema kuna wakati Huwa unamsumbua kidogo lakini now mi naenda 28 namuona jamaa anadunda tu Na afya tele Sasa sijui tatizo ni nini labda wajuzi mtujuze zaidi visababishi vya huu ugonjwa
Homa ya manjano na hepatitis ni vitu 2 tofauti kaka hepatitis huleta unjano wa macho, ngozi, na kucha ambao kitaalam huitwa jaundice. Homa ya manjano hutibika lakn hepatitis yenyeww ina chanjo.!
 
Homa ya manjano na hepatitis ni vitu 2 tofauti kaka hepatitis huleta unjano wa macho, ngozi, na kucha ambao kitaalam huitwa jaundice. Homa ya manjano hutibika lakn hepatitis yenyeww ina chanjo.!
Ooh apo sawa mkuu mana kuna link imetumwa apo juu wamesema homa ya manjano ndo hepatitis b
 
Ooh apo sawa mkuu mana kuna link imetumwa apo juu wamesema homa ya manjano ndo hepatitis b
Wana chit chat hao ndo wanao leta mabango ya upotoshaji. Hivyo ni vitu tofauti kabsa yellow fever ina hambukizwa na MBU, wakati HEPATITIS ina henezwa kwa kiss( mate) , body fluid kama sperm, ute uke, CSF. Pia jacho kwnye kukumbatiana, sex, pia kushika damu ya mu hathirika!!

Pia siyo virus aina ya Hepatitis B tu ndio wanao sababisha hepatitis pia Wako DNA virus wengne wana sababisha hepatitis.
 
ni Yesu Mkuu. kwa kupigwa kwake sisi tumepona, alijeruhiwa kwa makosa yetu alichubuliwa kwa maovu yetu, adhabu ya amani yetu ilikuwa juu yake na kwa kupigwa kwake sisi tumeponaaaaaaa! Pokea uponyaji kwa Jina la Yesu kristo.

Amen
 
Nyoosha maelezo.Dawa ya ini, ini limefanyaje? limebanjuka limetoboka linavuja au lina nyufa au limehama mahala pake?
 
Ebana huo ugonjwa wa manjano nakumbuka nilivokua mdogo wa umri km miaka 9 au 8 niliugua kipindi hiko tuko iringa nikawa nachomwa sindano za masaa napewa sana maji ya miwa na madafu nakumbuka nikiambiwa nikanyage takataka za miwa kwa unayo nashkuru nimepona sijaugua tena sijui pengine unatulia tu au nimepona sshv Nina umri wa miaka 30

Nani anaongelea Homa ya manjano hapa?
 
Wadau chanjo tunaipata wapi ya huo ugonjwa. Mwenye kujua naomba anielekeze nikaipate jamani.
 
Kwa nyongeza, Hepatitis B, huambukizwa kiurahisi zaidi kwa wale wanaopenda sana French kiss za kibabe. Yaani kwa njia ya mate. So, fanya mapenzi kwa kujiachia tu na mtu mliepima afya. Sio, unakutana na kiruka njia unatia udhungu utakufa.
 
Back
Top Bottom