Ugonjwa wa Homa ya Ini (Hepatitis B): Dalili, ushauri wa kinga na tiba yake

ARV??? Umehakikisha kuwa ana HIV infection huyo mgonjwa?, kasema kaka yake amekutwa na hepatitis.....unaweza ukapata hepatitis bila hata ya kuwa muathirika, ingekuwa vyema kumshauri apimwe na HIV lakini sio kwenda kwenye conclusion kuwa aanze ARV....tujitahidi kuwajibu watu maswali na kutatua shida zao za kiafya kitaalamu.
Yuko sahihi ndugu
Kama imeshakua chronic ataanzishiwa ARVs wala haina njia nyingine zaid ya hiyo oky ni vizuri watu wapate kinga za magonjwa haya ni muhimu kwao
 
ARV??? Umehakikisha kuwa ana HIV infection huyo mgonjwa?, kasema kaka yake amekutwa na hepatitis.....unaweza ukapata hepatitis bila hata ya kuwa muathirika, ingekuwa vyema kumshauri apimwe na HIV lakini sio kwenda kwenye conclusion kuwa aanze ARV....tujitahidi kuwajibu watu maswali na kutatua shida zao za kiafya kitaalamu.
Hepatitis ni viral infection kama ilivyo HIV na pia dawa zinazotumika kwenye HIV hutumika kutibia Hepatitis japo ukifika hospitali utapata maelekezo ya matumizi na hutatumia zote kama mwenye HIV kwa maana kuna mpangilio tofauti wa kuzitumia tofauti na wanavyo Tumia wenye HIV

Asante kwa kutaka kueleweshwa
 
Madaktr wameshindwa kjua huo ugonjwa unatibka vp¡<< hila hapa jamvin ndo umeona kuna wajuv wa huo ugonjwa?.
Jf ni uwanja mpana wenye uelewa tofauti. Ulijualo wewe mie silifahamu vivyo hivyo ulichosomea ni tofauti na wengine. Ushauri wangu Usipende kuponda na kudhalau ushauri wa mtu provided ni ushauri ambao unajenga na haubomoi maadili yetu.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Inasemekana baada ya ukimwi ukipatiwa tiba tutabaki tunapambana na hepatitis b
 
Inasemekana baada ya ukimwi ukipatiwa tiba tutabaki tunapambana na hepatitis b
Hepatitis ni tatizo sana kwa kipindi hiki hapa Tanzania japokuwa haujapewa kipaumbele sana. Kiwango cha uambukizo ya hepatitis kwa baadhi ya mikoa au wilaya hapa Tanzania ni kikubwa sana kushinda ukimwi. Usishangae Kati ya watu 10 wakipimwa HIV kuwakuta wako negative lakini 2 au 3 kati ya hao 10 wakawa hepatitis positive.
 
Kwanza mnatakiwa muwe watulivu maana kwa speed ya hamasa ulokuwa nayo unaweza kucreate tatizo jengine kwa mgonjwa,
Pili kama ameambiwa aanze clinic basi na aanze huku mkitazama taratibu nyengine ila zingatia ushauri wa doctor.
 
Ni juzijuzi tu niliona b/news ikidai kuwa, kuanzia mwakani mwezi june kama sikosei, hospitali ya Taifa ya Muhimbili wataanzisha tiba kamili ya huo ugonjwa, pia kutoa huduma ya upandikizaji wa ini.
Kama upo maeneo ya Dsm, jaribu kufika Muhimbili kupata ufafanuzi zaidi.
 
Ebana huo ugonjwa wa manjano nakumbuka nilivokua mdogo wa umri km miaka 9 au 8 niliugua kipindi hiko tuko iringa nikawa nachomwa sindano za masaa napewa sana maji ya miwa na madafu nakumbuka nikiambiwa nikanyage takataka za miwa kwa unayo nashkuru nimepona sijaugua tena sijui pengine unatulia tu au nimepona sshv Nina umri wa miaka 30
 
Pole ndugu kwa kuuguliwa.. Huo ugonjwa kiukweli unatisha but kuna neema ya MUNGU pia. Ntakueleza kidogo kwa uelewa na elimu niliyopewa na wataalamu.
Huo ugonjwa ni ugonjwa unaoshambulia Cell ktk INI.
Ni ugonjwa unaosababishwa na kugusana na majimaji na mtu anaeumwa huo ugonjwa. Yawezekana kujamiina, mate nk.

Sijajua ndugu yako alipima kipimo gani, ila kuna kipimo cha awali (HbsAg) ambacho hiki kinaweza kuonesha unao ugonjwa huo. Lakini kumbe ugonjwa ulipoingia ukakutana na kinga ya mwili ipo vizuri, ikapigana na hicho kirusi na kukiua so kinapokufa inachukua muda kutoka nje ya INI ndomana ukipima hicho kipimo unaweza ambiwa unayo kumbe kilishauliwa na kinga ya mwili.!

NOTE : HbsAg hiki hupima viashiria vya uwepo wa kirusi. Na (Ag) inamaanisha Antigen. Hii ni miguu ya kirusi. So hatakama mwili/kiini cha kirusi kikiuliwa na kinga ya mwili hii miguu (Antigen) inachelewa kuondoka ktk ini ndo mana ukipimwa unaambiwa unaugonjwa.

So ukishapimwa kipimo hicho kuna kipimo ambacho hiki kinathitisha kuwa kuwa kweli kirusi kipo na kinashambulia INI so ugonjwa anahitaji tiba. Kipimo hiki kinapima uwepo wa kirusi kamili
*Hb e Ag
*Hb core Ag
Baada ya kupima vipimo hivyo ndo itathibitisha hali ya mgonjwa je amefikia stage ya yeye kuambukiza wengine au lah..Inasemekana mgonjwa akishafikia stage hii ya kuambukiza mwingine huwa kupona ni ngumu kwani cell zake ktk INI zinakuwa zimesha shambuliwa sana na mwisho zinapelekea cancer ya INI.

TIBA
Kuhusu matibabu ikishafikia stage ya kuambukiza wengine ni ngumu kupata tiba ya moja kwa moja. Japo kuwa huku mwanzoni wanasema ukitumia maji ya dafu na juice ya miwa inasaidia sana
Zaidi zaidi fatilieni zaidi kwa wataalamu hospitals

ZINGATIA: Huu ugonjwa ni hatari mno na wengi tupo ktk hatari ya kuupata. Kibaya zaidi dalilizake huanza kuonekana wakati ambao umeshakushambulia mno na upo ktk nyakati za mwisho. So tunapaswa kuchukua tahadhari kubwa sana coz ni rahisi kuambukizwa huu ugonjwa kuliko Ukimwi
 
kama kichwa cha habari kilivyojieleza, kaka yangu amepimwa amekutwa na ugonjwa wa hepatitis b.
Naomba msaada kwa mwenye kujua tiba yake na nini cha kufanya maana tumechanganyikiwa sana wakuu.

OKOA JAHAZI TAFADHARI
Waliompima hawajui matibabu?
 
unatibika kwa njia gani mkuu. tell me same please

Hospital atapewa dawa ambazo atazitumia kwa miezi sita, anaweza kupona ama asipone.

Usijali na wala usiogope, kama hato bahatika kupona nitafute, atapona tu kwa uwezo wa mungu.

Ipo kwenye stage gani?
 
kama kichwa cha habari kilivyojieleza, kaka yangu amepimwa amekutwa na ugonjwa wa hepatitis b.
Naomba msaada kwa mwenye kujua tiba yake na nini cha kufanya maana tumechanganyikiwa sana wakuu.

OKOA JAHAZI TAFADHARI

Nipe namba yako ya simu na uweke kwenye whatsup nitakuelekeza sehemu ya kupata tiba kama una imani na Mungu. Ni bure hakuna malipo wala zaka, atapona ila kwepa waganga wa kienyeji, medical report ni muhimu sana.
 
hapo mnatakiwa nyie watu wa karibu muanze kujikinga kwnz mkachome sindano za kinga ya huo ugonjwa then watu wanaomhudumia nao wawe katika mazingira mazuri nguo zake zifuliwe kwa mashine au mfuaji afue kwa kuvaa groves ngumu hapo ni kama uyo mgonjwa hawezi kufanya kazi na mpunguze kushikana nae mikono kukumbatiana naye maana iyo nayo ni njia ya kusambaa kwa huo ugonjwa na kwa iyo stage aliyofikia ya b kupata tiba kwa hospital itakua vigumu kidogo labda kama kuna njia nyingine
 
Back
Top Bottom