Thomas Juma
Member
- Nov 9, 2010
- 88
- 17
Nisaidieni maana hadi najiogopa!
Ninakama siku tano sasa nimefikwa na ugonjwa wa aibu tena hata siufaham, katika njia ya haja kubwa kuna kama nyama imetokeza nje ikionyesha kama vile ni ya ndani na hairudi, hadi sasa kukaa na umia kutembea ndio kabisa na inapofika wakati wa kwenda haja kubwa mmh ni tabu tupu manake hadi haja ndogo wakati wa mwishoni inanasababishia maumivu huko. Waungwana niambieni hili ni gonjwa gani?, linasababishwa na nini? ni tumie au nifanyeje nirudie hali yangu ya kawaida?
Sina raha wala amani!
Ninakama siku tano sasa nimefikwa na ugonjwa wa aibu tena hata siufaham, katika njia ya haja kubwa kuna kama nyama imetokeza nje ikionyesha kama vile ni ya ndani na hairudi, hadi sasa kukaa na umia kutembea ndio kabisa na inapofika wakati wa kwenda haja kubwa mmh ni tabu tupu manake hadi haja ndogo wakati wa mwishoni inanasababishia maumivu huko. Waungwana niambieni hili ni gonjwa gani?, linasababishwa na nini? ni tumie au nifanyeje nirudie hali yangu ya kawaida?
Sina raha wala amani!