gosikulu
Member
- Oct 7, 2018
- 71
- 125
Ndugu zangu salamu!! Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu ,baba yangu mzazi anaugua ugonjwa ambao umemsumbua kwa takribani miaka miwili sasa,kwanza mguu mmoja unakufa ganzi kuanzia kwenye paja mpaka vidoleni,pia inaambatana na maumivu makali anapokanyaga,alienda hospitali baada ya maelezo wakampa dozi ya mwaka mzima ya ukoma ,akaitumia mpaka akamaliza lakini hali bado ni ileile,ndugu zangu naomba msaada nini nifanye kwa wajuzi wa haya mambo ili niweze kumsaidia mzee wangu,mbarikiwe nyote
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app