fundiaminy
JF-Expert Member
- Jun 4, 2009
- 355
- 51
Ni UVOSI (UKOSEFU wa VOCHA SIMUNI).
Ugonjwa mbaya sana na dalili zake ni:
kudipu ovyo ovyo.
Tafazali nipigie.
Kusambaziwa vocha.
Kuangalia salio kila wakati mpaka dole gumba linamea sugu.
Kuzuia kitufe cha kukata simu hata ingawa wewe ndio unapigiwa.
MAUMIVU YAKIZIDI JIMUVUZISHE KWA MITANDAO NAFUU TAFAZAALI.
Ugonjwa mbaya sana na dalili zake ni:
kudipu ovyo ovyo.
Tafazali nipigie.
Kusambaziwa vocha.
Kuangalia salio kila wakati mpaka dole gumba linamea sugu.
Kuzuia kitufe cha kukata simu hata ingawa wewe ndio unapigiwa.
MAUMIVU YAKIZIDI JIMUVUZISHE KWA MITANDAO NAFUU TAFAZAALI.